<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:blogger='http://schemas.google.com/blogger/2008' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd="http://schemas.google.com/g/2005" xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240</id><updated>2024-11-01T13:36:19.848+03:00</updated><category term="HABARI"/><category term="MAFUNDISHO"/><category term="NENO"/><category term="TAARIFA"/><category term="JAMII"/><category term="KWAYA"/><category term="MATANGAZO"/><category term="LML"/><category term="KUHUSU SISI"/><category term="WASIFU"/><category term="PICHA"/><category term="WASILIANA NASI"/><title type='text'>LUDOVICKMEDIA</title><subtitle type='html'>Hii ni Blog inayohusu Dini,jamii na Wasifu wa watu mbalimbali.</subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default?redirect=false'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default?start-index=26&amp;max-results=25&amp;redirect=false'/><author><name>Adm</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17722123044386533615</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>428</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>25</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-6101668637046163131</id><published>2020-01-04T13:10:00.001+03:00</published><updated>2020-01-04T13:12:36.179+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="KWAYA"/><title type='text'>WIMBO WA NOELI</title><content type='html'>&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilQQHmSagb87NU-OdGdYs_1ZgtQ3PvyX2v3nOs-IhND0moZwDmoyNx3mxx_grYjwvOEuR1whmi6dux8EX0TnIWHn7T0tIUmWxt3BTO-5-PG49YnhSr1UQJWFHPiIRYJk6IVo1PjhpHuiI/s1600/INSTA-AVAILABLE+ON+YOUTUBE-BMTL.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;1350&quot; data-original-width=&quot;1080&quot; height=&quot;320&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilQQHmSagb87NU-OdGdYs_1ZgtQ3PvyX2v3nOs-IhND0moZwDmoyNx3mxx_grYjwvOEuR1whmi6dux8EX0TnIWHn7T0tIUmWxt3BTO-5-PG49YnhSr1UQJWFHPiIRYJk6IVo1PjhpHuiI/s320/INSTA-AVAILABLE+ON+YOUTUBE-BMTL.jpg&quot; width=&quot;256&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a href=&quot;https://www.youtube.com/watch?v=5A4rc-qejSA&amp;amp;t=3s&quot;&gt;UNGANENI NASI&lt;/a&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/6101668637046163131/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/6101668637046163131?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/6101668637046163131'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/6101668637046163131'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2020/01/wimbo-wa-noeli.html' title='WIMBO WA NOELI'/><author><name>Adm</name><uri>http://www.blogger.com/profile/17722123044386533615</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEilQQHmSagb87NU-OdGdYs_1ZgtQ3PvyX2v3nOs-IhND0moZwDmoyNx3mxx_grYjwvOEuR1whmi6dux8EX0TnIWHn7T0tIUmWxt3BTO-5-PG49YnhSr1UQJWFHPiIRYJk6IVo1PjhpHuiI/s72-c/INSTA-AVAILABLE+ON+YOUTUBE-BMTL.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-213967450478356142</id><published>2018-04-03T07:14:00.001+03:00</published><updated>2018-04-03T07:15:59.157+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="KWAYA"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="LML"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MATANGAZO"/><title type='text'>MAKOMBOLA YA KUTOSHA (official Gospel Video-HD)</title><content type='html'>&lt;iframe allowfullscreen=&quot;&quot; frameborder=&quot;0&quot; height=&quot;270&quot; src=&quot;https://www.youtube.com/embed/7_k9r9sFxqk&quot; width=&quot;480&quot;&gt;&lt;/iframe&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/213967450478356142/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/213967450478356142?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/213967450478356142'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/213967450478356142'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2018/04/makombola-ya-kutosha-official-gospel.html' title='MAKOMBOLA YA KUTOSHA (official Gospel Video-HD)'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://img.youtube.com/vi/7_k9r9sFxqk/default.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-1672695712406457596</id><published>2018-02-11T03:23:00.001+03:00</published><updated>2018-02-11T03:24:07.800+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="KWAYA"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="LML"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>NITAKUPENDA MILELE(official Gospel Video-HD)</title><content type='html'>&lt;iframe allowfullscreen=&quot;&quot; frameborder=&quot;0&quot; height=&quot;270&quot; src=&quot;https://www.youtube.com/embed/0htyEzWA310&quot; width=&quot;480&quot;&gt;&lt;/iframe&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/1672695712406457596/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/1672695712406457596?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/1672695712406457596'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/1672695712406457596'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2018/02/nitakupenda-mileleofficial-gospel-video.html' title='NITAKUPENDA MILELE(official Gospel Video-HD)'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://img.youtube.com/vi/0htyEzWA310/default.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-8114979713159191374</id><published>2018-02-11T03:22:00.001+03:00</published><updated>2018-02-11T03:22:04.052+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>Maaskofu watoa ujumbe wa Kwaresima 201</title><content type='html'>&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background-color: white; color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVg5SvF684ynqLNFG2j2fd8JJqHR8fdXuPTdF4vnbWZnrsxbgR-yYelCplM85XNKlwrdOIF3PIWO6Zco6X0a6C4zrARqMRNw9abEDHAXGhtltbapf0cN1nFt_LwtJZ2jP9JmtWngRtZz0/s1600/thecross.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;400&quot; data-original-width=&quot;600&quot; height=&quot;213&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVg5SvF684ynqLNFG2j2fd8JJqHR8fdXuPTdF4vnbWZnrsxbgR-yYelCplM85XNKlwrdOIF3PIWO6Zco6X0a6C4zrARqMRNw9abEDHAXGhtltbapf0cN1nFt_LwtJZ2jP9JmtWngRtZz0/s320/thecross.jpg&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;MAASKOFU 35 wanaounda Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania wametoa ujumbe wa Kwaresima kwa 2018, huku wakiwataka waamini wakatoliki&amp;nbsp;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang=&quot;SW&quot; style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;wote kuuitikia ujumbe huo kwa moyo wa toba, mageuzi na kushiriki kwa kujitoa zaidi katika uinjilishaji wa nchi kama mwanga na chumvi ya ulimwengu wa Tanzania.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background-color: white; color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;SW&quot; style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;Katika ujumbe huo unaoongozwa na kaulimbiu “Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu: Mt.28:19” wamesema kuwa Kwaresima huwaalika wakristo kutumia muda huo kufunga, kufanya toba na kufanya matendo &lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;ya huruma kwa wote wenye mahitaji huku wakijitafakari kuhusu uhalisia wa hali yao ya kuwa ni wenye dhambi mbele ya Mungu, ili waweze kufanya toba ya kweli na yenye mageuzi na wongofu katika maisha.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background-color: white; color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;SW&quot; style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;“Hivyo basi, ili kuhakisha kuwa tuna pata majibu ya kweli na yenye kuleta mabadiliko katika nafsi zetu na mahusiano na mashirikiano katika jamii yetu, ujumbe huu wa Kwaresima una lengo la kuwahimiza, kuwahamasisha na hata kuwadai waumini Wakatoliki wote kuuitikia kwa moyo wa toba, mageuzi na kushiriki kwa kujitoa zaidi katika uinjilishaji wa nchi yetu kama mwanga na chumvi ya ulimwengu wa Tanzania” wameeleza.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background-color: white; color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px;&quot;&gt;
&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background-color: white; color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px;&quot;&gt;
&lt;b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;Upekee wa kwaresima ya 2018&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background-color: white; color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;SW&quot; style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;Aidha maaskofu wamesema kuwa kwaresima ya mwaka huu ni kipindi chenye upekee wa aina yake kwa sababu kuu tatu ikiwa nii katika mwaka huu Kanisa Katoliki Tanzania&amp;nbsp;&amp;nbsp;linaadhimisha na kusherehekea miaka 150 ya Ukatoliki Tanzania Bara, na kilele chake kitakuwa Oktoba 7 Mwaka huu, pia utakuwa ni mwaka wa 50 tangu Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania watoe tamko rasmi kuhusu mwelekeo na hatima ya nchi. Pia mwaka huu ni mwaka wa maandalizi ya utekelezaji wa haki ya msingi ya kidemokrasia ya raia wote ya kuchagua viongozi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji&amp;nbsp;&amp;nbsp;hapo mwakani 2019&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background-color: white; color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;br /&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background-color: white; color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;b&gt;&lt;span lang=&quot;SW&quot; style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;Uminyaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background: rgb(254, 254, 254); color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;Hata hivyo, maaskofu wamesema kuwa shughuli za siasa bado zinaendelea kuzuiwa kwa kutumia vyombo vya dola.&amp;nbsp;&amp;nbsp;Wamesema kuwa shughuli za kiuenezi za vyama vya siasa,&amp;nbsp;&amp;nbsp;kama vile mikutano ya hadhara, maandamano, makongamano, mijadala na hata mikutano ya ndani, ambayo ni haki ya kila raia, zimekoma mpaka uchaguzi mwingine. Kisheria, huu ni uvunjifu wa Katiba na Sheria za nchi.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;background: rgb(254, 254, 254); color: #0a0a0a; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; font-size: 13.2px; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;; font-size: 12pt; line-height: 18.4px;&quot;&gt;“Vile vile baadhi ya vyombo vya habari vimefungiwa au kusimamishwa kwa muda, na hivyo kupunguza uwigo wa uhuru wa wananchi wa kupata habari, maoni na wa kujieleza. Kufungiwa huku kwa vyombo vya habari kumeenda sambaba na kuminya uhuru wa mahakama na bunge kwa njia ya kuminya haki wabunge na kutowapa nafasi ya mikutano ya hadhara kama haki yao ya msingi ya Kikatiba” wameongeza.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/8114979713159191374/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/8114979713159191374?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/8114979713159191374'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/8114979713159191374'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2018/02/maaskofu-watoa-ujumbe-wa-kwaresima-201.html' title='Maaskofu watoa ujumbe wa Kwaresima 201'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhVg5SvF684ynqLNFG2j2fd8JJqHR8fdXuPTdF4vnbWZnrsxbgR-yYelCplM85XNKlwrdOIF3PIWO6Zco6X0a6C4zrARqMRNw9abEDHAXGhtltbapf0cN1nFt_LwtJZ2jP9JmtWngRtZz0/s72-c/thecross.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-3120021992785577342</id><published>2018-02-11T03:18:00.001+03:00</published><updated>2018-02-11T03:19:35.836+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="KWAYA"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="LML"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MATANGAZO"/><title type='text'>MATUMIZI YA ULIMI (Official Gospel Video -HD)</title><content type='html'>&lt;iframe allowfullscreen=&quot;&quot; frameborder=&quot;0&quot; height=&quot;270&quot; src=&quot;https://www.youtube.com/embed/xI8jhiRD02M&quot; width=&quot;480&quot;&gt;&lt;/iframe&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/3120021992785577342/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/3120021992785577342?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/3120021992785577342'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/3120021992785577342'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2018/02/matumizi-ya-ulimi-official-gospel-video.html' title='MATUMIZI YA ULIMI (Official Gospel Video -HD)'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://img.youtube.com/vi/xI8jhiRD02M/default.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-6039971701477802278</id><published>2018-01-12T10:12:00.001+03:00</published><updated>2018-01-12T10:12:25.898+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><title type='text'>MAPADRI HESHIMUNI SADAKA ZA WAAMINI</title><content type='html'>&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;PAROKO wa Parokia ya Bikira Maria wa
Mlima Kalmeli jimboni Morogoro Padri Vivian Menezes, amewaasa mapadri nchini
kushika njia ya utakatifu na kuthamini masakramenti ya Kanisa ikiwa ni pamoja
na kuadhimisha misa takatifu ili kuokoa waamini wenye kiu ya kukutana na
Mwenyezi Mungu.&amp;nbsp;&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRtLulU-MIBKTUKaY_VKrrJMDQRBtYlhFLwCJqbUzmavrS-YslMTr7k8eR1VPwwBldsDPtsqKETWMs6G1G4eGswTZV0r7Me7uR_QwT3Y8OjFEYt27xzGRR4XTyQOAKhOjOy_J3QCOEMI0/s1600/660x400-zekat-ve-sadaka-vermenin-hikmetleri-1509691932206.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;388&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;194&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRtLulU-MIBKTUKaY_VKrrJMDQRBtYlhFLwCJqbUzmavrS-YslMTr7k8eR1VPwwBldsDPtsqKETWMs6G1G4eGswTZV0r7Me7uR_QwT3Y8OjFEYt27xzGRR4XTyQOAKhOjOy_J3QCOEMI0/s320/660x400-zekat-ve-sadaka-vermenin-hikmetleri-1509691932206.jpg&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Padri Menezes amesema kuwa
kazi kubwa ambayo amepewa padri na Mwenyezi Mungu ni kuokoa roho za watu
kupitia kiti cha maungamo, hivyo mapadri wana jukumu la kuwasaidia na
kuwahudumia waamini kiroho, kwa furaha hata kama wapo katika hali ya uchovu,
ili waweze kupata tuzo mbinguni mara baada ya kutekeleza vyema wajibu wao ndani
ya Kanisa kupitia waamini wao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Padri Menezes amesema hayo
katika mahojiano maalum na gazeti hili, kufuatia &lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;kumbukumbu yake ya kutimiza
miaka 15 ya upadri, akielezea furaha yake katika safari hiyo ndefu ya utume.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Amesema kuwa maisha ya padri
bila kuzingatia muda wa sala hawezi kufurahia wito wake, kiasi kwamba inakuwa
rahisi kupotea katika vishawishi vya dunia, mojawapo&amp;nbsp; ikiwa ni kukata
tamaa mapema kwa changamoto zinazoweza kujitokeza, daima mapadri humaliza changamoto
zao kwa sala pekee.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Padri Menezes ameeleza kuwa
mapadri wanaalikwa kuishi maisha ya ufukara na usafi kamili hasa kuepuka
kutumia pesa za waamini nje ya matarajio kwa kufanya maendeleo binafsi ambayo
yanaleta kasoro katika utumishi na viapo vyao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Kazi mojawapo ya padri
katika parokia ni kuhakikisha anaweka mikakati ya kuwashirikisha waamini
kuchangia maendeleo ya Kanisa kwa kujenga makanisa ili kusogeza karibu huduma
za kiroho kwao badala ya kujiwekea miradi yao binafsi na kutumia vibaya pesa za
waamini.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;“Padri haoni uchovu katika
kazi yake. Kazi ya upadri inahitaji zaidi uaminifu. Usiweke mkono wako katika
sadaka za waamini na kuiba michango yao kwa maendeleo binafsi. Ukiwa padri
jisikie fahari kuona maendeleo ya mahali unakofanyika kazi,” amesema padri
Menezes.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Mbali na hayo ametaja baadhi
ya mambo ambayo muda mwingine yamekuwa kikwazo kwa mapadri kutoka kwa waamini,
mojawapo akieleza kuwa ni masengenyo dhidi ya mapadri zinapojitokeza kasoro
ndogondogo, ambapo kazi ya waamini si kuwakosoa mapadri ila kuwaombea.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;“Wapendwa waamini
tushirikiane na mapadri, tusiwakwaze kwa makusudi, kama padre mmoja ana kasoro
fulani tumuombee kwanza, mwendee kwa upole na kumueleza. Padri amepakwa mafuta
ya krisma katika vitanga vya mikono yake. Mikono hiyo ni Yesu mwenyewe, usiangalie
tabia zake, wala sura yake&amp;nbsp; angalia Kristo aliyejaa moyoni mwake, kwa
sababu amewekwa kando padri huyu hata kama ana tabia mbaya kiasi gani,” amesema
padri Menezes.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Hata hivyo kiongozi huyo wa
kiroho amewashauri mapadri na jumuiya zao, kupendana katika jumuiya zao na kama
kuna kasoro za mmojawapo katika shirika warekebishane kwa upendo hasa kuonyana
kwa upole.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Padri Menezes alipata daraja
takatifu la upadri Desemba 28 mwaka 2002 ambapo wakati wote wa utume ndani ya
Kanisa amefanikiwa kuzikabili changamoto mbalimbali ambazo zimeimarisha wito
wake ikiwa ni pamoja na kusimamia ahadi zake na kushirikiana na waamini kiroho
kuboresha maendeleo ya Kanisa&lt;/span&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/6039971701477802278/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/6039971701477802278?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/6039971701477802278'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/6039971701477802278'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2018/01/mapadri-heshimuni-sadaka-za-waamini.html' title='MAPADRI HESHIMUNI SADAKA ZA WAAMINI'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRtLulU-MIBKTUKaY_VKrrJMDQRBtYlhFLwCJqbUzmavrS-YslMTr7k8eR1VPwwBldsDPtsqKETWMs6G1G4eGswTZV0r7Me7uR_QwT3Y8OjFEYt27xzGRR4XTyQOAKhOjOy_J3QCOEMI0/s72-c/660x400-zekat-ve-sadaka-vermenin-hikmetleri-1509691932206.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-7651723284972559753</id><published>2018-01-12T10:09:00.002+03:00</published><updated>2018-01-12T10:09:31.564+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="JAMII"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><title type='text'>WAZAZI WAWE MAKINI NA VIPINDI VYA LUNINGA KWA WATOTO</title><content type='html'>&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkRABeF3kX_2sQyGhHg7CLRWIRhmwqQ87oOeNE_jcfEfxacJi8jey8RLuxSuCtTh1oxnOmYaoDNcgTXdoHgzvNiq5lj4IDn71oOcbSDsfNlKc2njlpnO2EmoikAwCF-p4-laY5c2FQniE/s1600/Watching-TV.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;635&quot; data-original-width=&quot;634&quot; height=&quot;640&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkRABeF3kX_2sQyGhHg7CLRWIRhmwqQ87oOeNE_jcfEfxacJi8jey8RLuxSuCtTh1oxnOmYaoDNcgTXdoHgzvNiq5lj4IDn71oOcbSDsfNlKc2njlpnO2EmoikAwCF-p4-laY5c2FQniE/s640/Watching-TV.jpg&quot; width=&quot;638&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;margin-bottom: 2.1pt; margin-left: 6.4pt; margin-right: 0in; margin-top: 0in; mso-line-height-alt: 6.75pt; text-indent: -6.4pt;&quot;&gt;
&lt;b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Na Angela Kibwana, Morogoro&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify;&quot;&gt;
&lt;b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;ASKOFU wa Jimbo Katoliki Morogoro
Mhashamu Telesphor Mkude amewaonya baadhi ya wazazi wenye tabia ya kuwaacha
watoto kutazama luninga kwa muda mrefu wakiwa peke yao hasa picha zisizofaa
kwani zimekuwa chanzo cha uvunjifu wa maadili.&amp;nbsp;&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Askofu Mkude amesema kuwa
wazazi wanapaswa kuweka ratiba maalum kwa watoto wao hasa kupanga muda maalum
wa kuweka vipindi vyenye tija ndani ya familia zao, hususani&amp;nbsp; kuelimisha
kuliko kuwaacha watoto kutazama picha zinazopotosha maadili na kuathiri ukuaji
wao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Askofu Mkude amesema hayo
katika mazungumzo maalumu mara baada ya misa takatifu iliyofanyika katika
Kanisa Kuu la Mtakatifu Patris jimboni humo, akiwaonya wazazi kuwa makini na
athari zitokanazo na utandawazi na matumizi mabaya ya luninga.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Amebainisha kuwa wazazi
wanapaswa kuwasadikisha na kuwafundisha watoto kwamba si kila kitu
kinachoonekana katika luninga kinafaa, hivyo ni wajibu wao kutowapa uhuru
watoto kwa mambo yasiyofaa.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Askofu Mkude ameeleza kuwa
ili kuwasaidia watoto na matumizi ya muda mrefu katika luninga, ni vyema kila
familia ikaweka ratiba maalumu ya kutazama luninga kwani kwa kufanya hivyo
itakuwa rahisi kufuatilia maendeleo ya mtoto shuleni pamoja na kupata muda wa
kuwafundisha kusali.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;“Mkiwaruhusu muda wote
kutazama luninga peke yao wakati ninyi mnaenda kulala mnategemea nini? Mbona
mnaweka muda wa chakula mnashindwaje kusimamia hili, wasadikisheni watoto
kwamba si kila kitu katika luninga kinafaa, lazima wawe na uchaguzi, lazima
kuwafundisha nidhamu ya kuchagua wangali wadogo,” amesema Askofu Mkude.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;Wakati huo huo, kiongozi huyo
wa kiroho jimboni Morogoro amewaasa wazazi kuunda dhamira ya kila mtoto aweze
kujitambua nafasi yake katika familia kuwa yeye ni nani, ambapo watoto
wanapaswa kuelimishwa faida za ukweli na uwazi kadiri wanavyoendelea kukua
kiroho na kimwili.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot; style=&quot;mso-line-height-alt: 7.5pt; text-align: justify; text-indent: 7.75pt;&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-family: &amp;quot;Times New Roman&amp;quot;;&quot;&gt;“Kuwaacha watoto kujisimamia
wenyewe ni makosa katika sheria za Kanisa, nawashauri wazazi undeni dhamira ya
ndani kwa watoto wenu wajijue tangu wadogo, wapeni mwongozo wa maadili, mtoto
umleavyo ndivyo akuavyo, lakini pia anaweza kujikuza vibaya asiposimamiwa ipasavyo,
lazima asimamiwe kimaadili na kufundishwa kusema ukweli, mema wayaendeleze
mabaya waelekezwe,” amesema Askofu Mkude.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;br /&gt;

</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/7651723284972559753/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/7651723284972559753?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/7651723284972559753'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/7651723284972559753'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2018/01/wazazi-wawe-makini-na-vipindi-vya.html' title='WAZAZI WAWE MAKINI NA VIPINDI VYA LUNINGA KWA WATOTO'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkRABeF3kX_2sQyGhHg7CLRWIRhmwqQ87oOeNE_jcfEfxacJi8jey8RLuxSuCtTh1oxnOmYaoDNcgTXdoHgzvNiq5lj4IDn71oOcbSDsfNlKc2njlpnO2EmoikAwCF-p4-laY5c2FQniE/s72-c/Watching-TV.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-54565827445073269</id><published>2018-01-12T10:05:00.001+03:00</published><updated>2018-01-12T10:05:12.498+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="KUHUSU SISI"/><title type='text'>Kwa msaada wa Roho Mtakatifu, Liturujia iwe ni shule ya sala!</title><content type='html'>&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;Naye Neno alifanyika 
mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana 
pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli. Huu ni utangulizi wa Neno
 la Mungu kwenye Katekesi iliyotolewa na Baba Mtakatofu Francisko, 
Jumatano, tarehe 10 Januari 2018. Huu ni mwendelezo wa Katekesi kuu 
maadhimisho ya Fumbo la Ekaristi Takatifu. Tendo la toba linawawezesha 
waamini kujiweka wazi mbele ya Mwenyezi Mungu na kujiona jinsi walivyo; 
kwa kujitambua kwamba, ni wadhambi, lakini wenye matumaini ya kuweza 
kusamehewa dhambi zao!&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7v3YypYOq4KCH_ybtnEREfNDf_w3v6CD9AmKKvAapwvi07qdzFJsiE8tz_oSZpgtyiBWdN8pHKgHuSl4-6epExJxnPaOWTXa1FwkFG_HZmCgBt1qlif3hqGyV7YHVqzFKsHl7WbRDiBw/s1600/2082007_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;452&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7v3YypYOq4KCH_ybtnEREfNDf_w3v6CD9AmKKvAapwvi07qdzFJsiE8tz_oSZpgtyiBWdN8pHKgHuSl4-6epExJxnPaOWTXa1FwkFG_HZmCgBt1qlif3hqGyV7YHVqzFKsHl7WbRDiBw/s640/2082007_Articolo.jpg&quot; width=&quot;640&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;Baba Mtakatifu 
anasema, huruma ya Mungu inamwilishwa kwa namna ya pekee katika Wimbo wa
 Utukufu kwa Mungu Juu, wimbo wa zamani sana ambamo Mama Kanisa 
anayekusanywa chini ya Roho Mtakatifu, anamtukuza na kumwomba Mwenyezi 
Mungu na Mwana Kondoo! Huu ni wimbo unaopata chimbuko lake kutoka kwa 
Malaika wakati wa kuzaliwa kwa Kristo Yesu mjini Bethlehemu. Hii ni mbiu
 ya furaha juu mbinguni na duniani, inayowaunganisha waamini wanaosali 
“Utukufu kwa Mungu juu na amani duniani kwa watu wenye mapenzi mema”. 
Baada ya Wimbo wa Utukufu na kama haupo, mara tu baada ya “Tendo la 
Toba”, kunafuatia “Sala fupi” inayofafanua maana ya adhimisho la siku 
hiyo, mintarafu siku na kipindi cha Mwaka. Na kwa mwaliko wa “Tuombe”, 
Padre mhudumu, anawaalika waamini kukaa kimya kwa kitambo, ili kutambua 
kwamba, wako mbele ya Mwenyezi Mungu, changamoto na mwaliko kwa kila 
mwamini kuzama katika undani wa moyo wake, kuunganisha nia ambazo 
amekuja nazo kushirikisha wakati wa Ibada ya Misa Takatifu.&lt;br /&gt;


Hapa Baba Mtakatifu anapenda kukazia umuhimu wa ukimya, ili kuweza 
kusikiliza sauti ya ndani kabisa inayotoka kwa Roho Mtakatifu. Katika 
maadhimisho ya Ibada ya Misa Takatifu inategemea kwa kiasi kikubwa 
kipindi kinachofuatia kwani, waamini wanahamasishwa kusali baada ya 
Mahubiri kama ilivyo pia mara baada ya Kupokea Ekaristi Takatifu. Lengo 
ni kuwasaidia waamini kusali kutoka katika undani wa maisha yao. Kumbe, 
ukimya katika Ibada ya Misa Takatifu ni muhimu sana, ili kumwezesha 
mwamini kutambua kwamba, yeye ni nani, ili kusikiliza nyoyo na kuifungua
 kwa ajili ya Mwenyezi Mungu.&lt;br /&gt;


Pengine, waamini wanaodhuhuria Ibada hii ya Misa Takatifu ni wale 
wanaopambana na magumu katika maisha; ni watu wanaobubujika furaha, au 
wana majonzi; yote haya waamini wanataka kumshirikisha Mwenyezi Mungu na
 kumwomba aweze kuwa karibu na waja wake. Huu ni muda wa sala kwa ajili 
ya ndugu, jamaa na marafiki wagonjwa au wanaoteseka kutoka na majaribu 
makubwa ya maisha. Kumbe, waamini wanataka kumtolea Mwenyezi Mungu 
matumaini ya Kanisa na Ulimwengu katika ujumla wake.&lt;br /&gt;


Baba Mtakatifu anawataka mapadre kutokuwa na haraka wakati wa &quot;Sala 
ya Tuombe&quot;, watoe muda wa ukimya muhimu sana&amp;nbsp; kwa waamini kuweza 
kujikusanya tena kutoka katika undani wao. Katika mazingira kama haya, 
Mapadre wanaadhimisha Fumbo la Ekaristi Takatifu wakiwa wamefungua 
mikono yao, kielelezo cha mwamini anayesali. Ni ushuhuda unaoneshwa pia 
katika ”Mapango ya Kale” kama yanavyojulikana kama ”Macatacombe ya 
Kiroma”, ili kumuiga Kristo Yesu aliyefungua mikono yake pale Msalabani.
 Ni Kristo anayesali, Kwa njia ya Kristo Mteswa, waamini wanamtambua 
Padre anayetoa sadaka kwa Mwenyezi Mungu kama kielelezo cha shukrani na 
utii wa kimwana.&lt;br /&gt;


Katika Liturujia ya Kiroma Sala ya Maombi ina utajiri mkubwa, 
changamoto na mwaliko kwa waamini kufanya tafakari ya kina kwenye sehemu
 hizi za sala, ili kujifunza namna ya kumwomba Mwenyezi Mungu sanjari na
 kuchagua maneno ya kutumia. Ni matumaini ya Baba Mtakatifu kwamba, kwa 
msaada wa Roho Mtakatifu Liturujia itaweza kuwa kweli ni shule ya sala. 
Hii inatokana na ukweli kwamba, Ibada ya Misa Takatifu ina utajiri 
mkubwa wa sala za kijumuiya pamoja na nafasi kwa sala binafsi. Hapa 
waamini wanaweza kujifunza namna ya kusali vyema. Mwishoni, Baba 
Mtakatifu Francisko anawatakia wote neema na baraka, ili kweli kipindi 
cha Mwaka Mpya wa 2018 kiwe ni kipindi cha neema, amani na matumaini. 
Bikira Maria awe ni shuhuda wa imani na matumaini kati ya ndugu, jirani 
na marafiki zao!&lt;br /&gt;


Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S.&lt;br /&gt;


Vatican News!&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/54565827445073269/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/54565827445073269?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/54565827445073269'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/54565827445073269'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2018/01/kwa-msaada-wa-roho-mtakatifu-liturujia.html' title='Kwa msaada wa Roho Mtakatifu, Liturujia iwe ni shule ya sala!'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7v3YypYOq4KCH_ybtnEREfNDf_w3v6CD9AmKKvAapwvi07qdzFJsiE8tz_oSZpgtyiBWdN8pHKgHuSl4-6epExJxnPaOWTXa1FwkFG_HZmCgBt1qlif3hqGyV7YHVqzFKsHl7WbRDiBw/s72-c/2082007_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-7090906841048686278</id><published>2018-01-12T10:02:00.001+03:00</published><updated>2018-01-12T10:02:38.273+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="JAMII"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><title type='text'>Kardinali Pengo: Jitahidini kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha</title><content type='html'>&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1nuhly_dAzhQUPb2FG8J0Yf7p1XTuc4EECIPRnOW6uw5H3pqcfRKqYTdnEA3_dd5IN8x8DaxXueP26VJf2jQMQgukHqNj7710fzmVc0HIIVqmYyWzFWucUxaklZMzlpmyn32zwfvhha8/s1600/images.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;276&quot; data-original-width=&quot;183&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1nuhly_dAzhQUPb2FG8J0Yf7p1XTuc4EECIPRnOW6uw5H3pqcfRKqYTdnEA3_dd5IN8x8DaxXueP26VJf2jQMQgukHqNj7710fzmVc0HIIVqmYyWzFWucUxaklZMzlpmyn32zwfvhha8/s1600/images.jpg&quot; /&gt;&lt;/a&gt;Yamekuwa ni mapokeo 
kwa Kardinali Polycarp Pengo, Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam 
kutoa Daraja Takatifu ya Ushemasi kwa Majandokasisi wa Jimbo lake wakati
 wa maadhimisho ya Sherehe ya Tokeo la Bwana inayoadhimishwa na Mama 
Kanisa kila mwaka ifikapo tarehe 6 Januari! Huyu ndiye Kristo Yesu, 
Mwana wa Mungu, Mfalme na Masiha anayewafunulia watu wa Mataifa uso wa 
huruma na upendo wa Mungu katika maisha yao.&lt;br /&gt;


Kardinali Pengo katika Ibada ya kutoa Daraja ya Ushemasi, amewataka 
Mashemasi wapya kusikiliza kwa makini sauti ya Mungu katika maisha na 
utume wao, tayari kutekeleza mapenzi ya Mungu, vinginevyo wataishia 
pabaya kama ilivyokuwa kwa Mfalme Herode ambaye hofu na wasi wasi wake 
wa kudhani kwamba angeporwa Ufalme huo, aliishia katika mauaji ya watoto
 wasiokuwa na hatia! Kristo Yesu, alizaliwa kwenye Pango la kulishia 
wanyama kule mjini Bethlehemu. Mamajusi katika mawazo yao ya kibinadamu,
 wakaenda &lt;br /&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;kumtafuta Mfalme wa Wayahudi kwenye Jumba la Kifalme mjini 
Yerusalemu! Hapa walighafilika kama binadamu, lakini walipoiangalia 
nyota, ikawaelekeza hadi pale alipokuwepo Mtoto, wakafurahi sana na 
kumpatia Mtoto hazina zao yaani: dhahabu, uvumba na manemane. Kardinali 
Pengo anawaalika waamini lakini zaidi Mashemasi wapya kuongozwa na nyota
 ili hatimaye, waweze kukutana na Mtoto Yesu, Ufunuo wa upendo na huruma
 ya Mungu kwa binadamu.&lt;br /&gt;


Kardinali Pengo, ametumia maadhimisho haya kutangaza Parokia Mpya ya 
Mtakatifu Benedikto, ambayo kwa sasa inakuwa ni Parokia ya 109 
zinazounda Jimbo kuu la Dar es Salaam, hadi kufikia Januari 2018. 
Amewapangia Majandokasisi 5 vituo vya mwaka wa kichungaji pamoja na 
kuwabadilishia Mapadre vituo vya kazi na utume. Katika mabadiliko haya, 
Kardinali Pengo amemteua Padre Frank Mtabangu kuwa Katibu wa Jimbo Kuu 
la Dar es Salaam na Padre Aidan Mubezi aliyekuwa anashikilia nafasi hii 
amepangiwa kusimamia ujenzi wa nyumba ya Mapadre Jimbo Kuu la Dar es 
Salaam.&lt;br /&gt;


Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S kwa ushirikiano na Padre Joseph Peter Mosha kutoka Jimbo kuu la Dar es Salaam.&lt;br /&gt;


                        
                    
                    </content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/7090906841048686278/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/7090906841048686278?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/7090906841048686278'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/7090906841048686278'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2018/01/kardinali-pengo-jitahidini-kutekeleza.html' title='Kardinali Pengo: Jitahidini kutekeleza mapenzi ya Mungu katika maisha'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1nuhly_dAzhQUPb2FG8J0Yf7p1XTuc4EECIPRnOW6uw5H3pqcfRKqYTdnEA3_dd5IN8x8DaxXueP26VJf2jQMQgukHqNj7710fzmVc0HIIVqmYyWzFWucUxaklZMzlpmyn32zwfvhha8/s72-c/images.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-106699790868525577</id><published>2017-11-27T00:52:00.001+03:00</published><updated>2017-11-27T00:52:42.676+03:00</updated><title type='text'>ALELUYA- MUCE IRINGA (official Gospel Video)</title><content type='html'>&lt;iframe allowfullscreen=&quot;&quot; frameborder=&quot;0&quot; height=&quot;270&quot; src=&quot;https://www.youtube.com/embed/qaL_OyLKx5s&quot; width=&quot;480&quot;&gt;&lt;/iframe&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/106699790868525577/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/106699790868525577?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/106699790868525577'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/106699790868525577'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/aleluya-muce-iringa-official-gospel.html' title='ALELUYA- MUCE IRINGA (official Gospel Video)'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://img.youtube.com/vi/qaL_OyLKx5s/default.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-5030668783560579221</id><published>2017-11-20T19:14:00.004+03:00</published><updated>2017-11-20T19:14:43.046+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'></title><content type='html'>&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAy3cJVIS_Z1mnxBNAd44_i3lBAMP-EN8wBF7TcokGageQgKeKOjno7IKr3rqr1XGLFlvhmifA3Eh-hJTpwVBrGyYuKyekO-zxm73lUJ5AuQr9cWefQnRlcyepy5_keAaJcW8ZuyizxD8/s1600/EPA2255667_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;226&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAy3cJVIS_Z1mnxBNAd44_i3lBAMP-EN8wBF7TcokGageQgKeKOjno7IKr3rqr1XGLFlvhmifA3Eh-hJTpwVBrGyYuKyekO-zxm73lUJ5AuQr9cWefQnRlcyepy5_keAaJcW8ZuyizxD8/s320/EPA2255667_Articolo.jpg&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Tabia ya Baba 
Mtakatifu katika mawasiliano daima ni nyepesi, mtazamo na ishara zake 
ndiyo mtindo wake. Ni maneno ya Monsinyo Dario Vigano’ Mwenyekiti wa 
Sekretarieti ya Mawasiliano Vatican wakati wa kuwasilisha Toleo Jipya la
 Kitabu kinacho eleza historia mawasiliano ya&amp;nbsp; Papa Francisko, chenye 
kichwa cha habari ” Mawasiliano ya Papa katika nyakati za kuunganishwa 
na mawasiliano duniani (toleo jipya 2017) katika Makao ya Kituo cha 
Habari Italina (RAI) Mjini &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;Roma.&lt;br /&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

Katika maelezo ya Monsinyo Vigano&#39; juu ya kitabu hicho anasema, 
kinajikita zaidi kufafanua mchakato mzima wa mawasiliano ya Baba 
Mtakatifu, kwa njia hiyo kitabu kinaunda hata uhusiano wa watu 
wanaotazama moja kwa moja au wanaotazama kwa njia ya mitandao.&lt;br /&gt;
Mawasiliano ya Baba Mtakatifu ni ya moja kwa moja, pamoja na kuwa 
tofauti au mbali na uteknolojia. Yeye anao uwezo wa kuwasilisha ujumbe 
wa haraka na kawaida! Kwa njia hiyo anasema wakati mwingine ni 
changamoto iliyopo kwa kazi ya mitandao ya Vatican ya kwa na&amp;nbsp; ule ya 
utayari kutambua kwa haraka kile ambacho kimesahulika katika protokali.&lt;br /&gt;


Hata hivyo akisifia&amp;nbsp; waandishi wa kitabu anasema kuwa,wameonesha ni 
jinsi gani, Baba Mtakatifu pia anajibu&amp;nbsp; kwa vyombo vya habari vinapotoa 
habari zisizo za kweli kuhusu yeye, na kwamba ni fursa ya 
kuchangamotisha na kutoa hoja . Na mwisho waandishi wa habari wameuliza 
swali kuhusu simu ambazo Baba Mtakatifu amegusia wakati wa 
maadhimisho ya ibada Takatifu. Monsinyo Vigano&#39; anaunga mkono juu ya 
kuwa makini na simu kwa maana ni lazima kutambua jambo Takatifu la 
Ekaristi wakati huo, kuliko kutawaliwa na jambo la kusumbua &quot; 
ndani ya mfuko&quot; na &quot;nje ya mfuko&quot;.Kwa maana hiyo ni kupokea na kujikita 
jambo la muhimu wakati wa maadhimisho ya misa Takatifu!.&lt;br /&gt;


Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican&lt;/span&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/5030668783560579221/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/5030668783560579221?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/5030668783560579221'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/5030668783560579221'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/tabia-ya-baba-mtakatifu-katika.html' title=''/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhAy3cJVIS_Z1mnxBNAd44_i3lBAMP-EN8wBF7TcokGageQgKeKOjno7IKr3rqr1XGLFlvhmifA3Eh-hJTpwVBrGyYuKyekO-zxm73lUJ5AuQr9cWefQnRlcyepy5_keAaJcW8ZuyizxD8/s72-c/EPA2255667_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-1688877050092574741</id><published>2017-11-20T19:12:00.002+03:00</published><updated>2017-11-20T19:12:34.199+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><title type='text'>Tusikunje mikono yetu,tuwajibike na kuwafungulia maskini!</title><content type='html'>&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
Tunayo furaha kubwa 
ya kuumega mkate wa Neno na baadaye utamegwa na kuupokea mkate wa 
Ekaristi, kirutubisho cha safari ya maisha. Na ni furaha kwa wote kwani&amp;nbsp;
 hakuna asiye hitaji maana wote ni waombaji wa jambo muhimu la upendo wa
 Mungu anayetoa maana ya maisha, yaani maisha yasiyo na mwisho,na&amp;nbsp; kwa 
njia&amp;nbsp; hata sisi leo hii tunaamsha mikono yetu kupokea zawadi kutoka 
kwake.&lt;br /&gt;
&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiz_w2e9Yu1totMXVGlURDe126JoFH7gU0ArGNF_4osNLKT4ysrJ7U_3kHjoUoJOS3405dypSt1tFmRsf8aGA8iOKRm4UVi6LKpOPTpmPXLJdsSUSeE8klSgOsSWalF2C5AI8kUyGNeIXE/s1600/REUTERS2488823_Articolo.JPG&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;226&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiz_w2e9Yu1totMXVGlURDe126JoFH7gU0ArGNF_4osNLKT4ysrJ7U_3kHjoUoJOS3405dypSt1tFmRsf8aGA8iOKRm4UVi6LKpOPTpmPXLJdsSUSeE8klSgOsSWalF2C5AI8kUyGNeIXE/s320/REUTERS2488823_Articolo.JPG&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;

Ni sehemu ya mahubiri ya Baba Mtakatifu Francisko aliyo anza nayo 
siku ya Jumapili 19 Novemba, asubuhi wakati wa Kuadhimisha Siku ya 
Masikini Duniani 2017 katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro Mjini 
vatican. Baba Mtakatifu akiendelea kufafanua juu Injili ya siku ya 
Jumapili anasema, Injili inaelezea&amp;nbsp; zawadi hizo, kwa maana sisi tumepewa
 talanta za Mungu kwa mujibu wa uwezo wa kila mmoja alio nao (Mt 25,15).
 Ni lazima kuwa na utambuzi wa talanta hizo tulizo nazo&amp;nbsp; machoni pa 
Mungu. Hakuna mtu yoyote ambaye anaweza kufikiria kuwa hana faida au 
kuwa&amp;nbsp; maskini kiasi cha kutoweza kutoa chochote kwa wengine. Sisi 
tumechaguliwa na kubarikiwa na Mungu ambaye anashahuku ya kututuliza kwa
 zawadi zake, kama vile baba na mama wanavyo tamani kuwapa watoto wao. 
Mbele ya Mcho ya Mungu asiye bagua yoyote anamkabidhi kila kila mmoja 
utume wake.&lt;br /&gt;


Hayo inajidhihirisha kwamba, ni&amp;nbsp; baba wa pendo lakini ambaye&amp;nbsp; 
anatuwajibisha, kwa maana ya kutazama Injili ikieleza juu ya watumwa 
waliopewa talanta ziweze kuzaa mara dufu. Lakini inaonekana wakati wale 
wawili wa kwanza, waliweza kutimiliza utume waliopewa, mtumishi wa tatu 
hakuweza kuzalisha talanta mara dufu badala yake akamrudishia jinsi&amp;nbsp; 
ilivyo Bwana wake, na kusema, aliogopa akaenda kuifukia chini ya ardhi 
hiyo talanta na&amp;nbsp; hivyo aipokee iliyo yake jinsi ilivyo (Mt 25).&lt;br /&gt;
Baba Mtakatifu Francisko anaongeza kusema, lakini mtumwa huyo alipokea 
maneno makali mno yasemayo kwamba,“wewe mtumwa mbaya na&amp;nbsp; mlegevu”. Je ni
 kitu gani hakupenda huyo Bwana kwake? Akifafanua anasema, ni neno moja 
ambalo kwa sasa tunaliita “kutotimiza wajibu”. Akifafanua, zaidi 
anasema, ubaya wake ulikuwa ule wa kutofanya mema. Lakini hata hivyo&amp;nbsp; 
&amp;nbsp;hata sisi mara nyingi tunayo mawazo ya kwamba hatujafanya ubaya na 
hivyo tunajifurahisha na kuendelea kuishi jinsi tulivyo&amp;nbsp; kana kwamba 
sisi ni wema na wenye haki.&lt;br /&gt;


Lakini kwa kufikiria hivyo, Baba Mtakatifu anathibitisha kuwa,&amp;nbsp; ipo 
hatari ya kufananishwa na mtumwa mbaya: kwa maana hata yeye hakufanya 
jambo baya, kutokana na kwamba hakuharibu hiyo talanta, badala yake 
alikwenda akahifadhi chini ya ardhi. Yeye hakufanya chochote cha ubaya 
basi. Mungu siyo mkaguzi wa kwenda kutafuta tiketi ambazo bado 
hazijatiwa muhuri, ni Baba wa kutafuta watoto wake ambao aliwapatia 
zawadi na mipango yake .&lt;br /&gt;
Ni huzuni anaongeza, iwapo Baba wa upendo hapokei jibu la upendo wa 
ukarimu kutoka kwa watoto wake, ambao wana vizingiti&amp;nbsp; katika&amp;nbsp; kuheshimu 
sheria, kutimiza amri, lakini baadaye wana kukumbuka kuwa kuna 
wafanyakazi wengi wanaopata mshahara kwa baba na wanakula na kusaza&amp;nbsp; (Lk
 15,17).&lt;br /&gt;


&amp;nbsp;Mtumwa mbaya pamoja na kupokea talanta ya Bwana anayependa 
ishirikishwe na kuzaa matunda mara mbili alikwenda kaitunza kwa wivu 
wake, kwa maana alifurahia kufanya hivyo. Hiyo ni kuthibitisha kuwa mtu 
wa kufanya hivyo siyo mwaminifu kwa Mungu&amp;nbsp; maana anangaikia kuhifadhi, 
kuhifadhi tunu za kale. Injili inaeleza kuwa yule mwenye talanta mpya ni
 mwaminifu kweli kwa maana anayo mantiki sawa na Mungu, siyo tu kukaa 
bila kuwajibika. Ni mtu ambaye anajikitia kwa dhati kwa ajili ya upendo 
wa maisha ya wengin na haiwezekani kuicha jinsi ilivyo kwa ajili yake na
 ndiyo jambo muhimu la kutimiza hasa wajibu.&lt;br /&gt;


Kutotimiza wajibu ni dhambi kubwa mbele ya maskini Baba Mtakatifu 
amesema. Hiyo inatoa jina kamili la utofauti kwa maana wapo wengine 
wanaosema inanihusu nini;siyo shauri langu bali ni kosa la jamii. 
Wanageuka pembeni wakati ndugu wanayo mahitaji, ni kubadilisha mkondo 
inapoonekana suala fulani ni nyeti, linakera, au kuwa na hasira mbele ya
 mabaya japokuwa si ya kweli.&lt;br /&gt;
Lakini Mungu hataomba kama tulikuwa na haki au hasira, yeye atauliza 
iwapo umetenda mema. Katika mahubiri Baba Mtakatifu anaendelea kufafanua
 jinsi gani ya kumfurahisha Mungu, akitoa mfano rahisi ya kwamba 
unapotaka kumzawadia rafiki yako mpendwa, kwanza lazima ujue kitu gani 
anapendelea ili kuhepuka zawadi siyo stahili kwa rafiki yako na ndivyo 
hivyo unapotaka kutoa zawadi kwa Bwana ni lazima kuzipata kwa njia ya 
Injili yake. Na katika Injili ya Matayo (Mt 25,40), inasema “kile 
ambacho mlitoa kwa yule mdogo, mmefanya kwa ajili yangu” .&lt;br /&gt;


Ndugu wapendwa wa Mungu ni wale wenye njaa, wagonjwa,wageni,wafungwa,
 walioachwa pweke wanaoteseka bila kuwa na paa la nyumba na wote walio 
baguliwa. Katika sura yao tunaweza kufikiria kuwa ni sura ya Mungu, 
katika midomo yao, hata kama imefungwa na uchungu wao,&amp;nbsp; katika maneno 
yake anasema ni mwili wake.(Mt 26,26). Kwa maskini Yesu anabisha mlango 
wa moyo wake kwa maana anayo kiu na anataka upendo. Tukishinda utofauti 
kwa jina la Yesu na kuwatumikia walio wadogo, basi sisi ni marafiki wema
 na waamini kwa maana ndiyo wajibu huo. Baba Mtakatifu akielezea juu ya 
somo la kwanza kuhusu mwanamke: Mungu anafurahia kuona tabia ya mfano wa
 mwanamke katika somo la kwanza ambaye ni mwenye nguvu, anafungua mikono
 yake kwa ajili ya masikini na wahitaji (Meth 31,10.20).&lt;br /&gt;


Leo hii tunaweza kujiuliza ni kitu gani kinahitajika katika&amp;nbsp; maisha 
yangu? Katika utajiri unaopita ambapo dunia haishibishwi nao , au katika
 utajiri wa Mungu anayetoa maisha ya milele? Uchaguzi huo uko mbele yetu
 kuchagua kuishi ili upate ardhi hii au kutazama juu mbinguni. Kwani&amp;nbsp; 
ili uweza kuingia katika&amp;nbsp; ufalme mbingu hauitaji kile ulicho nacho,bali 
kile unachotoa kwa wengine!&lt;br /&gt;


Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican&lt;br /&gt;


&lt;br /&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/1688877050092574741/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/1688877050092574741?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/1688877050092574741'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/1688877050092574741'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/tusikunje-mikono-yetutuwajibike-na.html' title='Tusikunje mikono yetu,tuwajibike na kuwafungulia maskini!'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiz_w2e9Yu1totMXVGlURDe126JoFH7gU0ArGNF_4osNLKT4ysrJ7U_3kHjoUoJOS3405dypSt1tFmRsf8aGA8iOKRm4UVi6LKpOPTpmPXLJdsSUSeE8klSgOsSWalF2C5AI8kUyGNeIXE/s72-c/REUTERS2488823_Articolo.JPG" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-3302548946796945041</id><published>2017-11-08T00:00:00.003+03:00</published><updated>2017-11-08T00:00:51.592+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>Papa amekutana na kuzungumza na Bw.Kofi Annan</title><content type='html'>&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_V-asTOVqC7hU2u9baQZK3wbNNPRTQc6ZQCEgajrKkwjIbbgm7lU0hXiylyQgcKfPeGvP5lLkZ1d_EiUtK9oGExkN6i6mYgJGIla2w27nSxwyHcVA7T4hFwzpB_nI6w4Y-NteYqv36a4/s1600/REUTERS2464798_Articolo.JPG&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_V-asTOVqC7hU2u9baQZK3wbNNPRTQc6ZQCEgajrKkwjIbbgm7lU0hXiylyQgcKfPeGvP5lLkZ1d_EiUtK9oGExkN6i6mYgJGIla2w27nSxwyHcVA7T4hFwzpB_nI6w4Y-NteYqv36a4/s1600/REUTERS2464798_Articolo.JPG&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;
Tarehe 6 Novemba 
2017 Mchana katika nyumba ya Mtakatifu Marta mjini Vatican , Baba 
Mtakatifu amekutana na Bwana Kofi Annan aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja 
wa Mataifa tangu mwaka 1997 hadi 2006 akiongozana na wajumbe wengine wa 
Mashirika ya Kimataifa&amp;nbsp; yasiyo ya selikali “The Elders” Kati yao hata Bi
 Mary Robinson, aliyekuwa Rais&amp;nbsp; wa Jamhuri ya nchi ya Ireland 
mwaka1990-1997.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


Hili ni Shirika lililoanzishwa&amp;nbsp; na Nelson Mandela miaka 10 iliyopita ,
 kikundi kinacho jihusisha na kuhamasisha amani na haki za binadamu, 
ambacho kinaundwa na viongozi wa dunia na viongozi wa nchi walio 
angatuka madarakani, ndiyo maana jina lake ni “The Elders” maana yake 
wazee.....&lt;br /&gt;
Naamini sisi kwetu imekuwa muhimu kuja hapa kwasababu tuna mambo muhimu 
yanayotuunganisha&amp;nbsp; pamoja na Baba Mtakatifu na tumetaka kukutana naye 
ili kufikiria jinsi gani tunaweza kufanya kazi kwa pamoja na kutia 
juhudi zetu zote katika mambo muhimu. Ni maneno Bwana Kofi Annan katika 
Mahojiano na mwandishi wa habari wa Radio Vatican mara baada ya mkutano 
na Baba Mtakatifu Francisko.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


Bwana Kofi Annan anasema, katika mkutano wao na Baba Mtakatifu 
wamegusia mada ya wahamiaji na wakimbizi, silaha za kinyuklia, mada 
ambayo Vatican imeandaa pia Mkutano wake utakaoanza hivi Ijumaa ijayo. 
Wamezungumzia juu ya mani na kutafakari kwa kina juu ya michakato 
inayoweza kufanywa ili&amp;nbsp; kuisha kwa migogoro mingi duniani na hata hivyo 
akataja kuwa&amp;nbsp; Bi “Mary Robinson anaweza kueleza mazungumzo juu ya 
wanawake na umuhimu wa kuwapa sauti wanawake, heshima na nafasi waliyo 
nayo katika jamii.&amp;nbsp; Na mwisho amesema, Bwana Annan kuwa,&amp;nbsp; ni matumaini 
yake ikawa ndiyo mojawapo ya&amp;nbsp; mwanzo wa mikutano mingi ambayo wataweza 
kuifanya na Baba Mtakatifu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


Kwa maana hiyo hata&amp;nbsp; Bi Mary Robinson katika maelezo ya mkutano na 
Baba Mtakatifu&amp;nbsp; ametoa sifa nyingi kwa ajili ya nafasi ya Baba 
Mtakatifu, kwa kazi anazozifanya hasa kwa juhudi ambazo anatoa sauti kwa
 ajili ya wale wasio kuwa na sauti, walio baguliwa au kukabiliana na 
mambo nyeti na magumu kama yanayo husu&amp;nbsp; suala la nchi ya Venezuela, kwa 
mantiki ya Bara la Amerika ya Kusini, Congo na mabadiliko ya hali ya 
hewa ambayo kwa namna ya pekee ni hali halisi anayojikita nayo.&lt;br /&gt;


Bi Robinson pia ameelezea juu ya kupokelewa vema na Baba 
Mtakatifu,ambapo yeye binafsi&amp;nbsp; amebaki na mshangao kwa ukarimu wake, kwa
 maana wameweza kucheka na kutaniana kama vile&amp;nbsp; ni mmojawapo wa kikundi 
chao, anasema kweli amejisikia kuwa mmoja kati yao na wametambua walivyo
 na mambo mengi ya pamoja yanayofanana na yenye thamani,mapendekezo ya 
maadili na matatizo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatica</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/3302548946796945041/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/3302548946796945041?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/3302548946796945041'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/3302548946796945041'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/papa-amekutana-na-kuzungumza-na-bwkofi.html' title='Papa amekutana na kuzungumza na Bw.Kofi Annan'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_V-asTOVqC7hU2u9baQZK3wbNNPRTQc6ZQCEgajrKkwjIbbgm7lU0hXiylyQgcKfPeGvP5lLkZ1d_EiUtK9oGExkN6i6mYgJGIla2w27nSxwyHcVA7T4hFwzpB_nI6w4Y-NteYqv36a4/s72-c/REUTERS2464798_Articolo.JPG" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-8493545351661502202</id><published>2017-11-07T23:59:00.002+03:00</published><updated>2017-11-07T23:59:24.320+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><title type='text'>Papa:Tumsifu Mungu anayetoa zawadi ya wito bila kuuondoa kamwe!</title><content type='html'>&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwLTCpkO3FAelkZiq4GawaEjLZdoQHSLR4Fk3Tl-oOb-bVXcdMYZJgmoFQAaMUM6XyR9BVHWL00WWJjg-B-Eq3iqAeHP_1mV5klbbKbivjw8f9Y4__ZmOtlvumI2HLqhv3JnJS5bvrT9I/s1600/AP4214715_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;452&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwLTCpkO3FAelkZiq4GawaEjLZdoQHSLR4Fk3Tl-oOb-bVXcdMYZJgmoFQAaMUM6XyR9BVHWL00WWJjg-B-Eq3iqAeHP_1mV5klbbKbivjw8f9Y4__ZmOtlvumI2HLqhv3JnJS5bvrT9I/s640/AP4214715_Articolo.jpg&quot; width=&quot;640&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;
Kila mmoja 
amechaguliwa na Bwana Mungu. Na kila mmoja anachukua ahadi ya Bwana 
alivyo toa ahadi ya kwamba tembea katika uwepo wangu na kutii na mimi 
nitakufanyia hivyo. Kila mmoja wetu anafanya agano na Bwana, lakini 
unaweza kuamua kufanya au kuacha maana unao uhuru wa kuchagua.&lt;br /&gt;
Ni maneno ya Baba Mtakatifu Francisko Jumatatu tarehe 6 Novemba 2017 
wakati wa mahubiri yake katika Kikanisa cha Mtakatifu Martha mjini 
Vatican. Baba Mtakatifu akitafakari masomo ya Siku&amp;nbsp; na hasa katika somo 
la kwanza anaendelea kufafanua zaidi kuwa, Bwana anapotoa zawadi 
haiondoi tena kwa maana ya kuitoa leo na kesho kuchukua tena. Mungu 
anapoita,&amp;nbsp; ule wito unabaki maisha yote.&lt;br /&gt;


Akiendelea na uchambuzi wa barua ya Mtakatifu Paulo kwa Waroma 
anasisitiza, kuna zawadi tatu katika historia ya ukombozi yaani zawadi 
na wito wa watu wa Mungu. Lakini zawadi hizo hazirudishwi mara 
zitolewapo na Bwana Mungu kwa maana Mungu ni mwaminifu anasema Baba 
Mtakatifu!&lt;br /&gt;
Akizitaja&amp;nbsp; zawadi hizo, anasema ya kwanza&amp;nbsp; ni zawadi ya kuchaguliwa, 
zawadi ya ahadi na zawadi ya agano. Zawadi hizo zilitendeka&amp;nbsp; kwa 
Ibrahimu Baba wa Imani&amp;nbsp; na ndivyo hata sisi tunajaliwa na Mwenyezi 
Mungu. Baba Mtakatifu anaongeza, kila mmoja wetu amechaguliwa na Mungu. 
Kila mmoja wetu anachukua ahadi ambayo Bwana alihaidi kwa watu wake 
akisema,”tembea katika uwepo wangu na kunitii&amp;nbsp; na mimi nitakufanyia 
hivyo.&lt;br /&gt;


Kila mmoja anafanya agano na Bwana, lakini kila mmoja yuko huru 
kufanya hivyo&amp;nbsp; au kutokufanya, Baba Mtakatifu anathibitisha. Na hiyo 
anaongeza,&amp;nbsp; linaweza likawa hata swali la kujiuliza ndani ya nafsi zetu 
je namna gani ya kufanya uchaguzi huo? je mimi ninahisi kuchanguliwa au 
ninahisi kuwa mkristo kwa bahati mbaya? je ninaishije ahadi yaani ahadi 
za ukombozi wa safari yangu? je mimi ni mwaminifu wa agano hilo kama 
Yeye alivyo mwaminifu?&lt;br /&gt;
Kwa upande wa uaminifu ambao Mungu anaonesha kwetu sisi, ni lazima 
kutafakari kwa kina&amp;nbsp; juu ya hisia za ukarimu wa Bwana, anayetutunza , 
anayetutafuta tunapokwenda mbali naye anasema Baba Mtakatifu!&lt;br /&gt;


Akielezea zaidi juu ya barua ya Mtakatifu Paulo katika kuchaguliwa na
 Mungu , anasema mtume anarudia mara nne katika maneno mawili ya kutotii
 na huruma. Lakini kumbuka kuwa, mahali palipo na mojawapo, lazima 
iendane na nyingine kwa maana ndiyo safari ya ukombozi wetu.&lt;br /&gt;
Hiyo ina maana, katika aina tatu za safari , yaani safari ya 
kuchaguliwa, kuelekea katika ahadi na agano daima vitafuatana na dhambi 
na kutokutii, lakini dhidi ya kutokutii ipo daima huruma ya Mungu. Ni 
sawa na hatua ya safari yetu kuelekea katika ukomavu. Daima kuna huruma 
kwa sababu Bwana ni mwaminifu na kamwe haondoi zawadi ambazo amekwisha 
itoa.&lt;br /&gt;


&amp;nbsp;Je ni kwasababu gani zawadi hizi haziondolewi? Baba Mtakatifu 
anasema,&amp;nbsp; mbele ya udhaifu wetu na dhambu zetu, daima ipo huruma. Hata 
Mtume Paulo anapofika katika tafakari hilo, anapiga hatua mbele kwa 
maana hatoi maelezeo bali anaabudu. Ina maana ya kuabudu , kusifu kwa 
kimya mbele ya fumbo la kutokutii na huruma inayotufanya tuwe huru, na 
mbele ya uzuri wa zawadi ambazo hazitolewi kama ile ya kuchaguliwa, 
ahadi na agano.&lt;br /&gt;
Na mwisho&amp;nbsp; Baba Mtakatifu anatoa wito ya kwamba, itakuwa vema na wajibu 
wa kutafakari kwa siku ya leo juu ya kuchaguliwa kwetu, ahadi ya Bwana 
anayo kwetu sisi,&amp;nbsp; pia jinsi gani ninaishi agano na Bwana.&lt;br /&gt;


Je Neno la Bwana linajikitaje ndani ya maisha yangu ambalo ni huruma 
ya Bwana mbele ya dhambi&amp;nbsp; na kutotiii kwangu? Ninao uwezo wa kusifu 
Mungu kwa mema mengi aliyoitendea? ....Na zaidi kila mmoja leo hii asifu
 na kuabudu&amp;nbsp; bila kusahau daima zawadi&amp;nbsp; na wito wambao Mungu ametoa bila
 kuuondoa.&lt;br /&gt;


&lt;br /&gt;
Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;
Idhaa ya kiswahili ya radio Vatican&lt;br /&gt;


&lt;br /&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/8493545351661502202/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/8493545351661502202?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/8493545351661502202'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/8493545351661502202'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/papatumsifu-mungu-anayetoa-zawadi-ya.html' title='Papa:Tumsifu Mungu anayetoa zawadi ya wito bila kuuondoa kamwe!'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwLTCpkO3FAelkZiq4GawaEjLZdoQHSLR4Fk3Tl-oOb-bVXcdMYZJgmoFQAaMUM6XyR9BVHWL00WWJjg-B-Eq3iqAeHP_1mV5klbbKbivjw8f9Y4__ZmOtlvumI2HLqhv3JnJS5bvrT9I/s72-c/AP4214715_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-6678885466426908879</id><published>2017-11-07T23:57:00.003+03:00</published><updated>2017-11-07T23:57:40.653+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>Baba Mt.amemteua Padre Jean-Patick Iba-Ba kuwa Askofu mpya wa Francaville </title><content type='html'>&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3R07LRGQmgEbrEnFfYzUXq6OpKzcXtbiQZbEGDHK2oLhnuzwDdM8wNbChdf_tkJq7iTo63fmJ3BcPdJYiaTPhZw_yma52t0DPDXk_zta8R_9VegIxBvb0MHQH7SU30rMkaJtQpEuW3lk/s1600/RV29386_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;226&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3R07LRGQmgEbrEnFfYzUXq6OpKzcXtbiQZbEGDHK2oLhnuzwDdM8wNbChdf_tkJq7iTo63fmJ3BcPdJYiaTPhZw_yma52t0DPDXk_zta8R_9VegIxBvb0MHQH7SU30rMkaJtQpEuW3lk/s320/RV29386_Articolo.jpg&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;Baba Mtakatifu 
amemteua Askofu mpya wa Jimbo la Franceville&amp;nbsp; nchini Gabon, Padre 
Jean-Patick Iba-Ba, ambaye hadi uteuzi huo alikuwa ni Gombera wa 
Seminari Kuu ya Kitaifa ya Mtakatifu Augustin” huko Libreville Gabon.&amp;nbsp; 
Padre Jean-Patick Iba-Ba, alizaliwa tarehe 18 Aprili 1966 huko 
Libreville, na kuanza shule ya msingi mnamo&amp;nbsp; mwaka 1973 - 1979&amp;nbsp; huko 
Port-Gentil Gabon. &lt;br /&gt;
Aliendelea na masomo ya Sekondari&amp;nbsp; kuanzia 1979 
-1989, huko Libreville. Majiundo ya upadre, alitumwa na Askofu Mkuu wake
 huko Seminari kuu ya Kardinali Emile Biayenda huko Brazzaville, mji 
Mkuu wa&amp;nbsp; Congo. Mwaka 1993-1998 aliendeleza na&amp;nbsp; masomo ya Taalimungu 
katika &lt;br /&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;Chuo Kikuu cha Kipapa Urbaniano Roma.&lt;br /&gt;


Alipata daraja Takatifu la upadre tarehe 19 Julai 1999 katika Jimbo 
Kuu la Libreville. Na baada ya upadrisho alifanya utume mbambali kama 
ifuatavyo:&amp;nbsp; kama msaidizi wa Gombera katika Seminari kuu ya Mtakatifu 
Augustin&amp;nbsp; huko&amp;nbsp; Libreville kuanzia&amp;nbsp; 1998-1999 ; Gombera wa Siminari 
ndogo ya Mtakatifu Jean wa&amp;nbsp; Libreville mwaka 1999-2001 na Paroko wa 
Parokia ya Mtakatifu Michel&amp;nbsp; wa Ndjole mwaka 2001-2004.&lt;br /&gt;


Mwaka 2004-2009&amp;nbsp; &amp;nbsp;alirudi Roma kuendelea na masomo na kupata digrii 
ya Sheria katika Chuo Kikuu cha Kipapa Urbaniano. Mwaka&amp;nbsp; 2009-2012&amp;nbsp; 
&amp;nbsp;kuwa makamu wa Gombera ya Seminari Kuu ya&amp;nbsp; Augustin wa&amp;nbsp; Libreville; 
mwaka 2010-2012&amp;nbsp; &amp;nbsp;Mkurugenzi wa Shule Katoliki nchini Gabon na 
Msimamizi&amp;nbsp; Mkuu wa Taasisi za Elimu Katoliki. Na tangu 2012 hadi uteuzi 
wake amekuwa Gombera wa Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustin nchini Gabon.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


&amp;nbsp;Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican&lt;br /&gt;


&lt;br /&gt;


                        &lt;br /&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/6678885466426908879/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/6678885466426908879?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/6678885466426908879'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/6678885466426908879'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/baba-mtamemteua-padre-jean-patick-iba.html' title='Baba Mt.amemteua Padre Jean-Patick Iba-Ba kuwa Askofu mpya wa Francaville '/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg3R07LRGQmgEbrEnFfYzUXq6OpKzcXtbiQZbEGDHK2oLhnuzwDdM8wNbChdf_tkJq7iTo63fmJ3BcPdJYiaTPhZw_yma52t0DPDXk_zta8R_9VegIxBvb0MHQH7SU30rMkaJtQpEuW3lk/s72-c/RV29386_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-2636340444932745824</id><published>2017-11-07T23:55:00.005+03:00</published><updated>2017-11-07T23:55:48.968+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><title type='text'>WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI WAOMBEWA NA PAPA FRANSISKO </title><content type='html'>&lt;div style=&quot;background-color: white; border: 0px; color: #444444; font-family: Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 16px; font-stretch: inherit; font-variant-numeric: inherit; line-height: 24px; padding: 20px 0px; text-align: justify; vertical-align: baseline;&quot;&gt;
Hapo jana (Ijumaa tarehe 3 Novemba), Baba Mtakatifu Fransisko 
ameadhimisha misa Takatifu kwa ajili ya kuwaombea marehemu wote 
makardinali na Maaskofu waliokufa kwa kipindi cha mwaka huu. Katika 
mahubiri yake anasema, kwa mara nyingine tena Liturujia ya siku 
inatuweka katika hali halisi ya kifo na kukumbusha watu tulioshi nao 
karibu pia wale walio tutendea mema. Lakini vile vile Liturujia 
inaongeza matumaini yetu kwa ajili yao na hata sisi wenyewe.&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4s1MZtVMyZUBAyr2IWRaK8t3z-DTnS06Qqj6yPGc6vPtQ87ba_5sNcSeSK7X3LkTE4ydl5SVJYPvNebFpxSrnSWi7mjCa4cSqNIUt4q96ugx0NDfIQOcDUrtpb-8squ1gQcKbdIWNbMY/s1600/ANSA1281876_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;452&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4s1MZtVMyZUBAyr2IWRaK8t3z-DTnS06Qqj6yPGc6vPtQ87ba_5sNcSeSK7X3LkTE4ydl5SVJYPvNebFpxSrnSWi7mjCa4cSqNIUt4q96ugx0NDfIQOcDUrtpb-8squ1gQcKbdIWNbMY/s640/ANSA1281876_Articolo.jpg&quot; width=&quot;640&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div style=&quot;background-color: white; border: 0px; color: #444444; font-family: Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 16px; font-stretch: inherit; font-variant-numeric: inherit; line-height: 24px; padding: 20px 0px; text-align: justify; vertical-align: baseline;&quot;&gt;
Somo la kwanza linaeleza juu ya matumaini ya kufufuka kwa wale wenye 
haki.Tena, wengi wa hao walalao katika mavumbi ya nchi wataamka, wengine
 wapate uzima wa milele, wengine aibu na kudharauliwa milele. (Dn 12,2).
 Baba Mtakatifu anaongeza, kifo ndiyo upeo wa mwisho kuondokana na 
makona kona ambayo yako mbele yetu katika ulimwengu huu: Njia ya maisha 
inayotupeleka katika mungano na Mungu au njia ya kifo inayotupeleka 
mbali na Yeye. Wangi&amp;nbsp; ambao watafufuka katika maisha ya milele, wako 
wanasubiri kama wale ambao Kristo amemwaga damu yake kwa ajili yao. Hawa
 ni undi kubwa kwa neema ya huruma ya Mungu ambayo inajieleza katika 
hali halisi ya maisha ambayo yana ushindi juu ya kifo kwakuwa kuna 
ufufuko.&lt;/div&gt;
&lt;div style=&quot;background-color: white; border: 0px; color: #444444; font-family: Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 16px; font-stretch: inherit; font-variant-numeric: inherit; line-height: 24px; padding: 20px 0px; text-align: justify; vertical-align: baseline;&quot;&gt;
Injili inaimarisha matumaini yetu: “ Mimi ni mkate wa uzima ushukao 
mbinguni, kila aulaye mkate huo ataishi milele (Yh 6,51). Hayo ni maneno
 yanayoeleza sadaka ya Kristo Msalabani. Yeye alikubali kifo kwa ajili 
ya kuwakomboa watu ambao Baba yake alimkabidhi, ni watu ambao walikuwa 
wamekufa katika utumwa wa dhambi. Yesu amekuwa kaka yetu na kushiriki&amp;nbsp; 
maisha yetu hadi kifo. Ni kwa njia ya upendo wake , alivunja minyororo 
ya kifo na kutufungulia mlango wa maisha. Kwa kulishwa mwili wake na 
damu yake sisi sote tunaungana na upendo wake mwaminifu, ambao 
unatupatia matumaini ya ushindi hadi mwisho dhidi ya ubaya, mateso na 
kifo.&lt;/div&gt;
&lt;div style=&quot;background-color: white; border: 0px; color: #444444; font-family: Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 16px; font-stretch: inherit; font-variant-numeric: inherit; line-height: 24px; padding: 20px 0px; text-align: justify; vertical-align: baseline;&quot;&gt;
Kwa nguvu za agano la Mungu kwa upendo wa Kristo sisi sote tunatambua 
kuwa umoja kwa walio kufa syo wa kufikirika, bali ni utashi, ni jambo 
halisi. Imani tunayokiri katika ufufuko inatupelekea kuwa watu wa 
matumaini, Baba Matakatifu anasisitiza, na wala siyo kuhangaika, sisi ni
 watu wa maisha na siyo wa kifo , kwasababu Yeye anatufariji na kutoa 
ahadi za maisha ya milele yanayotokana na umoja na Kristo Mfufuka.&lt;br /&gt;Imani
 hii inayowaka ndani mwetu kwa njia ya Neno la Mungu inatusiadia kuwa na
 tabia ya matumaini mbele ya kifo. Hiyo ni kutokana na kwamba Yesu 
mwenyewe alituonesha kuwa kifo hakina neno la mwisho bali ni upendo wa 
huruma ya Baba yake ambaye anajionesha kwetu na kutufanya tuishi katika 
muungano naye daima.&lt;/div&gt;
&lt;div style=&quot;background-color: white; border: 0px; color: #444444; font-family: Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 16px; font-stretch: inherit; font-variant-numeric: inherit; line-height: 24px; padding: 20px 0px; text-align: justify; vertical-align: baseline;&quot;&gt;
Tabia msingi ya maisha ya kikristo ni matarajio ya mwisho ya kukutana na
 Mungu, kama zaburi&amp;nbsp; ( 42,3) isemavyo : Nafsi yangu inamwonea kiu Mungu,
 Mungu aliye hai, lini nitakapokuja nionekane mbele za Mungu? Baba 
Mtakatifu anaongeza kusema, hayo ni maneno yanaojieleza kwa namna ya 
kutoa mshangao wa matarajio, kwa maana ya kuona kiu ya upendo, ya uzuri 
na hata ya furaha na matumaini kwa Mungu.&lt;/div&gt;
&lt;div style=&quot;background-color: white; border: 0px; color: #444444; font-family: Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 16px; font-stretch: inherit; font-variant-numeric: inherit; line-height: 24px; padding: 20px 0px; text-align: justify; vertical-align: baseline;&quot;&gt;
Maneno ya mzaburi yaliyojiweka kama muhuri katika mioyo ya makardinali 
na maaskofu ambao leo hii wanakumbukwa: wao wameondoka baada ya 
kuhudumia Kanisa na watu wa Mungu walio kabidhiwa , na katika mtazamo wa
 umilele. Baba Mtakatifu anasema, tukiwa tunashukuru Mungu kwa huduma 
yao na ukaribu walioonesha katika Injili na Kanisa, ni vema kurudia na 
mtume Paulo kuwa matumaini hayakatishi tamaa, na kwa maombezi ya Maria 
maa Yetu Mtakatifu atusaidie ili tuweze kushiriki katika meza ya Bwana ,
 ambayo kwa imani na upendo tumeonja kipindi chote cha hija ya hapa 
duniani.&lt;/div&gt;
&lt;div style=&quot;background-color: white; border: 0px; color: #444444; font-family: Verdana, Geneva, sans-serif; font-size: 16px; font-stretch: inherit; font-variant-numeric: inherit; line-height: 24px; padding: 20px 0px; text-align: justify; vertical-align: baseline;&quot;&gt;
Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican&lt;/div&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/2636340444932745824/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/2636340444932745824?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/2636340444932745824'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/2636340444932745824'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/waliotangulia-mbele-ya-haki-waombewa-na.html' title='WALIOTANGULIA MBELE YA HAKI WAOMBEWA NA PAPA FRANSISKO '/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj4s1MZtVMyZUBAyr2IWRaK8t3z-DTnS06Qqj6yPGc6vPtQ87ba_5sNcSeSK7X3LkTE4ydl5SVJYPvNebFpxSrnSWi7mjCa4cSqNIUt4q96ugx0NDfIQOcDUrtpb-8squ1gQcKbdIWNbMY/s72-c/ANSA1281876_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-8798743568716975013</id><published>2017-11-07T23:54:00.001+03:00</published><updated>2017-11-07T23:54:16.011+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><title type='text'>‘KUTOSALI ROZARI NI KUKOSA DIRA’ </title><content type='html'>&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9E88tmCA2kSBh1F972Fe8DW3rrKaUOUBgObNONjuTOd84PxrwRxnsLCLsJPH_nM77HAVCMLsEL3jCGshCf6oaKGMHVdmzHHxUNXC5JfQtwY64DpAFk-VEhd8sooJuLjVvVKi0yIDxvfw/s1600/_DSC0009.JPG&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;426&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;426&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9E88tmCA2kSBh1F972Fe8DW3rrKaUOUBgObNONjuTOd84PxrwRxnsLCLsJPH_nM77HAVCMLsEL3jCGshCf6oaKGMHVdmzHHxUNXC5JfQtwY64DpAFk-VEhd8sooJuLjVvVKi0yIDxvfw/s640/_DSC0009.JPG&quot; width=&quot;640&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: Gotham-Ultra; mso-bidi-font-family: Gotham-Ultra; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;P&lt;/span&gt;&lt;b&gt;&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT-Bold; mso-bidi-font-family: NimrodMT-Bold; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;AROKO wa Parokia ya Bikira Maria Msaada wa Wakristo, Kizota
Jimbo Kuu Katoliki Dodoma&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Padri Joby
Tharayil amewataka waamini nchini kusali Rozari Takatifu&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa Imani kuu, jambo ambalo litawasaidia
kuishi maisha ya amani huku&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;shetani
akikosa nafasi kwenye familia zao.&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Ameyasema hayo
katika adhimisho la Misa ya kuadhimisha mwezi wa Rozari Takatifu yaliyoanza kwa
maandamano na mafundisho ya jumuiya hadi jumuiya iliyoenda sambamba na uzinduzi
wa ofisi mpya ya Parokia.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Padri Joby amesema
kuwa ni jambo la kumshukuru Mungu kuadhimisha mwezi wa Rozari katika Parokia
yake kwani tangu mafundisho yaanze kutolewa kuhusu umuhimu wa kusali Rozari
waamini wamekuwa na mwitikio mkubwa huku kwa kiasi kikubwa wakitambua umuhimu
wake tofauti na hapo awali.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;“Katika Parokia yetu
tuliweka mikakati ya kuwafundisha waamini wetu juu ya umuhimu wa kusali Rozari
kwa Imani japo ilikuwa kazi ngumu kwani wengi wanasali kwa mazoea na wengine
hawajui kabisa, ila tuliendelea kuwafundisha kuanzia watoto mpaka wazee na
kweli tumefanikiwa wanajua kusali na wametambua umuhimu wake, nawaomba tusiwe
wavivu, “ amesema Paroko Joby.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;“Wapo waamini ambao
wamekuwa wakisali&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Rozari Takatifu kwa
mazoea huku wakiwaza mambo yao mengine ya kifamilia na changamoto za
maisha&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa sababu ya kutojua umuhimu
wake jambo ambalo linasababisha kuendelea kuangamizwa na Shetani.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Pale waamini
wanaposali Rozari Takatifu kwa Imani wanajifunika na ulinzi wa Mungu kwenye
maisha yao, shetani hapati nafasi magonjwa na mikosi havitawafika bali
watafanikiwa kwenye shughuli zao,wenye shida zitatatuliwa&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na kuendelea kutafakari maisha ya baadaye.”&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Vile vile Ameongeza
kuwa kwa sasa Dunia inakabiliwa na changamoto mbalimbali, watu wanapenda mambo
ya kidunia zaidi kuliko Mungu na matokeo yake Imani yao kuwa haba na kuanza
kutangatanga kwenye madhehebu mengine hata kwenda kwa waganga wa kienyeji na
hatimaye kuangamia.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Amewataka waamini
kutambua kuwa pale wanapojikita kumuomba Mungu wanatengeneza maisha mazuri ya
mbinguni, hivyo wajiepushe na mambo ya kidunia kwa kutaka kupata vitu ambavyo
havitawafikisha popote.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Katika hatua
nyingine amewashukuru waamini wa parokia hiyo kwa ushirikiano waliouonesha
kukamilisha Ofisi ya Parokia yenye vyumba vitano&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;iliyogharimu kiasi cha shilingi milioni 35
ndani ya miezi mitatu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;“Parokia hii ina
miaka miwili tangu kuanzishwa kwake lakini tumekuwa na mafanikio makubwa
kupitia umoja wa waamini kuanzia watoto hadi wazee&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ambao wamekuwa wakijitoa kwa moyo wote&lt;span style=&quot;mso-spacerun: yes;&quot;&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ukilinganisha kwamba ni familia 586 wanafanya
kazi, kama familia moja nawaomba waendelee na jitihada hizo,” amesema Paroko
Joby.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;br /&gt;

&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Hata hivyo amesema
wana mpango wa kujenga Kanisa kubwa la kihistoria pamoja na kuanzisha Miradi
mbalimbali ikiwemo ya maduka kwani Kanisa lililopo kwa sasa ni dogo kadri
parokia inavyozidi kukua.&amp;nbsp;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Chanzo cha habari TEC&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-size: 12.0pt; mso-ansi-language: EN-GB; mso-font-width: 98%;&quot;&gt;Na Doreen Aloyce, Dodoma&lt;/span&gt; &lt;/span&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/8798743568716975013/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/8798743568716975013?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/8798743568716975013'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/8798743568716975013'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/kutosali-rozari-ni-kukosa-dira.html' title='‘KUTOSALI ROZARI NI KUKOSA DIRA’ '/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh9E88tmCA2kSBh1F972Fe8DW3rrKaUOUBgObNONjuTOd84PxrwRxnsLCLsJPH_nM77HAVCMLsEL3jCGshCf6oaKGMHVdmzHHxUNXC5JfQtwY64DpAFk-VEhd8sooJuLjVvVKi0yIDxvfw/s72-c/_DSC0009.JPG" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-2130990702764532437</id><published>2017-11-07T23:52:00.004+03:00</published><updated>2017-11-07T23:52:34.998+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><title type='text'>Papa:Sisi sote ni ndugu hatuna haja ya kujiona bora zaidi ya wengine!</title><content type='html'>&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
Madaraka yoyote 
yakitumika vibaya yanaunda ukosefu wa uaminifu na kuleta&amp;nbsp; vizingiti, 
lakini mitume wa Yesu wanaalikwa kuwa makini na wasijiweke juu ya 
wengine kwa hali yoyote badala yake watoe huduma. Haya ni maonyo 
yanayojitokeza katika mahubiri ya Baba Mtakatifu Francisko wakati wa 
Sala ya Malaika wa Bwana kwenye uwanja wa Mtakatifu Petro Jumapili 
tarehe 5 Novemba 2017 akitafakari Injili ya Siku. Katika Injili hiyo kwa
 ujumla anawaalika wote kutokuwa na tabia za kiburi, bali kuwa watu wa 
kawaida na kujikita kwanza kumtafuta na kufuata Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2ihMgWv1CADMgo_cqB8QuGj4Zu1Gq336WcoLeUT_lk1d5Ei6UatJvqL4euTBoXTLqWiEBxp6pJYIT0W4cOKgspNhUA0uOpVDvTACYmBsEcXXEVqTweEGvaowG4ri_azaq4h5TGMnynyE/s1600/2042030_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2ihMgWv1CADMgo_cqB8QuGj4Zu1Gq336WcoLeUT_lk1d5Ei6UatJvqL4euTBoXTLqWiEBxp6pJYIT0W4cOKgspNhUA0uOpVDvTACYmBsEcXXEVqTweEGvaowG4ri_azaq4h5TGMnynyE/s1600/2042030_Articolo.jpg&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;
Injili ya siku ya Jumapili kutoka Matayo (23,1-12), mahali ambapo 
Yesu anawaonya vikali waandishi na mafarisayo, kuwataka watu wafuate 
kile ambacho wanasema wao lakini si kutenda wanavofanya, kwa maana wao 
wanasema lakini hawatendi na kwa njia hiyo Baba Mtakatifu anasema, hiyo 
ni tabia ya wengi hasa wanaoshikilia&amp;nbsp; madaraka, na hayo ni madaraka ya 
raia na hata ya Kanisa, ambayo mra nyingi wanaagiza wengine kutekeleza 
hata kama ni ya kweli na haki lakini wao hawadiriki kamwe kuyaweka 
katika matendo binafsi. Hawa ni ndumila kuwili!&amp;nbsp; Baba Mtakatifu 
anathibitisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


Ni tabia mbaya huduma ya madaraka ya namna hii! badala ya kuwa mstari
 wa mbele na kutoa mfano ulio bora anasema Baba Mtakatifu. Akifafanua 
zaidi, madaraka yanatokana na kutoa mfano mwema, ili kuwasaidia wengine 
waweze kutenda jambo la haki na wajibu hata kukabiliana na majaribu 
ambayo yanajitokeza katika yao ya maisha. Baba Mtakatifu anatoa wito wa 
kuishi madaraka kama njia kiongozi ya kusaidia kwa maana yakitumiwa 
vibaya hugeuka kukandamiza, pia hayatoi nafasi ya mtu kukua , badala 
yake ni kujenga hali ya ukosefu wa uaminifu na vizingiti, hatimaye pia 
kupelekea ufisadi. Injili ya Yesu inathibitisha baadhi ya tabia hasi za 
waandishi na wafarisayo kama vile tabia za kufurahia nafasi za kwanza 
katika masinagogi, na salam katika masoko.&lt;br /&gt;
Hivi ni vishawishi vya kiburi
 ambavyo siyo rahisi kuvishinda, kwa maana ni tabia ya kuishi kifitina 
tu.&lt;br /&gt;


Yesu anawaeleza mitume wake na kuwaalika wasijiite walimu au viongozi
 kwa maana yupo mwalimu mmoja, ambaye ni mkubwa na ambaye atakuwa 
mtumishi wao Baba Mtakatifu anasisitiza. “Sisi kama mitume wa Yesu 
hatupaswi kutafuta cheo, utukufu, madaraka au ukuu wa aina yoyote”, Baba
 Mtakatifu anasema na kuongeza kutoa mfano binafsi ya kwamba, anashikwa 
na uchungu kuona mtu ambaye kisaikolojia anaishi au kukimbizana nyuma ya
 ubatili wa kutafuta utukufu. Badala yake, anasisitiza kuwa, “kama 
mitume wa Yesu hatuna badi kuacha tabia hizo kwani kati yetu, ni lazima 
kuwa na tabia rahisi ya kuishi kindugu”.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


“Sisi sote ni ndugu, hatuna haja ya kushindana na wengine, hivyo 
iwapo tumepokea tunu fulani kutoka kwa Mungu Baba wa mbinguni, tunapaswa
 kuziweka katika huduma ya ndugu zetu, lakini sio kwa ajili ya 
kujinufaisha binafsi”. Kwa njia hiyo Baba Mtakatifu anatoa wito wa 
kutofikiria kuwa wewe ni zaidi ya wengine kwasababu anasema,&amp;nbsp; 
“unyenyekevu ni msingi kwa ajili maelekezo ya pamoja katika mafundisho 
ya Yesu, aliyekuja kwa ajili ya kuhudumia na siyo kuhudumiwa”. 
Anamalizia kuomba kwa&amp;nbsp; Bikira Maria mnyenyekevu atusaidie kupambana na 
kiburi na ubatili wa maisha haya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;


Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican&lt;br /&gt;


&lt;br /&gt;


                        &lt;br /&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/2130990702764532437/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/2130990702764532437?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/2130990702764532437'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/2130990702764532437'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/papasisi-sote-ni-ndugu-hatuna-haja-ya.html' title='Papa:Sisi sote ni ndugu hatuna haja ya kujiona bora zaidi ya wengine!'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2ihMgWv1CADMgo_cqB8QuGj4Zu1Gq336WcoLeUT_lk1d5Ei6UatJvqL4euTBoXTLqWiEBxp6pJYIT0W4cOKgspNhUA0uOpVDvTACYmBsEcXXEVqTweEGvaowG4ri_azaq4h5TGMnynyE/s72-c/2042030_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-2154699956736247103</id><published>2017-11-07T23:50:00.002+03:00</published><updated>2017-11-07T23:50:50.404+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>‘Nimesamehe’  Ni baada ya Askofu Mkude kuzushiwa kifo</title><content type='html'>&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;b&gt;&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT-Bold; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT-Bold; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;ASKOFU
wa Jimbo Katoliki Morogoro Mhashamu Telesphor Mkude amesema amewasamehe wale
wote waliomzushia kifo wakati akiwa nchini India akiendelea kupatiwa matibabu
kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhnkAYcyqe-PJqVilHQVvO1a_6m3t-RZyT5c31kqybTi-tLkzTGX4X3_NY7vhekj3nPga1Qp0BNjGPonuy5mZasrNFtqahwYuIxCM3ZlK4KGeKktsCyu62irkup9KcilBEmct0fJqszyEo/s1600/DSC04143+copy.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;640&quot; data-original-width=&quot;544&quot; height=&quot;320&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhnkAYcyqe-PJqVilHQVvO1a_6m3t-RZyT5c31kqybTi-tLkzTGX4X3_NY7vhekj3nPga1Qp0BNjGPonuy5mZasrNFtqahwYuIxCM3ZlK4KGeKktsCyu62irkup9KcilBEmct0fJqszyEo/s320/DSC04143+copy.jpg&quot; width=&quot;272&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;/span&gt;&lt;/b&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;Askofu Mkude ameyasema hayo hivi karibuni katika Kanisa Kuu la Mtakatifu
Patrick jimboni Morogoro wakati akitoa shukrani kwa waamini wa Kanisa hilo mara
baada ya&amp;nbsp; misa ya tegemeza Jimbo
iliyofanyika kanisani hapo ikiongozwa na Makamu wa Askofu padri Patrick
Kung’alo ambapo amesema kuwa kwa kawaida mtu yoyote anayesikia taarifa za kifo
cha&amp;nbsp; ndugu, rafiki au jirani huanza kwa
kusinyaa na kuwa na simanzi na majonzi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;Askofu Mkude amesema kuwa taarifa walizozipata waamini kwa uzushi wa msiba
wake hata yeye mwenyewe binafsi alizipata akiwa nchini India kwa matibabu
ambapo amesema kuwa zilimtia simanzi na huzuni kubwa lakini hakuwa na namna ya
kuweza kukanusha.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;“Ni habari ya kusikitisha ukisikia mtu unaempenda ameondoka duniani, si
habari ya kuchangamsha hata&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt; kidogo,” amesema Askofu Mkude.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;&amp;nbsp;Hata hivyo Askofu Mkude amewataka
waamini kutambua kuwa duniani wapo wengi na kwamba yapo mengi yanayotokea
yakiwemo hayo ya kuzushiana mambo mbalimbali ambapo amesema kuwa hataki kujibu
lolote kwa watu wachache waliofanya hivyo hasa usambazaji wa taarifa za uzushi
zilizokuwa zimeenea katika mitandao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;&amp;nbsp;“Kupigana na mtu usiyemjua ni sawa
na kupigana na mtu ukiwa gizani utarusha ngumi itaenda hewani, yalimpata
kiongozi wetu Yesu Kristo, alipata kashfa na matusi aliyopata wakati wote tena
hata alipokuwa msalabani lakini alisema baba wasamehe kwa kuwa hawajui
watendalo, vivyo hivyo nami nimeona dozi yake ni hiyo hiyo,” amesema Askofu
Mkude.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;&amp;nbsp;Hata hivyo amesema kuwa baada ya
uvumi na uzushi wa taarifa zilizokuwa zimeenea juu ya kifo, alichoamua yeye ni
kusamehe na kuacha ambapo amesema kuwa imani ya Kanisa Katoliki&amp;nbsp; inawaagiza wanadamu kusamehe na kupendana.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;&amp;nbsp;Askofu Telesphor Mkude akizungumza
kwa huzuni kubwa amewataka waamini hao waliohudhuria ibada kanisani hapo
kuchunguza na kuchagua&amp;nbsp; kila linalopita
masikioni mwao, kuliko kuamini kila jambo wanalosikia masikioni mwao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;BasicParagraph&quot; style=&quot;mso-hyphenate: none; text-align: justify; text-indent: 14.15pt; text-justify: inter-ideograph;&quot;&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;&amp;nbsp;Aidha amesema kuwa&amp;nbsp; hana budi kuwashukuru watu hao ambapo amesema
kuwa&amp;nbsp; inawezekana kuwa kulikuwa na watu
waliokuwa wakimuombea katika kipindi chote tangu ugonjwa wake na wakazidisha
maombi baada ya taarifa hizo lakini pia huenda baada ya uvumi&amp;nbsp; wa kifo waombaji waliongezeka, hivyo
amewashukuru kwa maombi yao.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span lang=&quot;EN-GB&quot; style=&quot;font-family: NimrodMT; letter-spacing: -.15pt; mso-bidi-font-family: NimrodMT; mso-font-width: 95%;&quot;&gt;&amp;nbsp;Askofu Mkude aliondoka nchini&amp;nbsp; Tanzania kwenda nchini India kwa ajili ya
kupatiwa matibabu zaidi Agosti 25 mwaka huu ambapo alikuwa akisumbuliwa na
maradhi, amerejea Oktoba 25 akiwa na afya njema na kuendelea na majukumu yake
ya kichungaji jimboni humo.&lt;/span&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/2154699956736247103/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/2154699956736247103?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/2154699956736247103'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/2154699956736247103'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/nimesamehe-ni-baada-ya-askofu-mkude.html' title='‘Nimesamehe’  Ni baada ya Askofu Mkude kuzushiwa kifo'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhnkAYcyqe-PJqVilHQVvO1a_6m3t-RZyT5c31kqybTi-tLkzTGX4X3_NY7vhekj3nPga1Qp0BNjGPonuy5mZasrNFtqahwYuIxCM3ZlK4KGeKktsCyu62irkup9KcilBEmct0fJqszyEo/s72-c/DSC04143+copy.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-4542781207806955228</id><published>2017-11-07T23:48:00.000+03:00</published><updated>2017-11-07T23:48:20.316+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>Askofu Castory Msemwa wa Jimbo Katoliki Tunduru- Masasi afariki dunia</title><content type='html'>&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyK-QaC5UhgqDoBHYW7hv9T0RNH9wSds3pviYbGphlzwneQcIHqwPbGXcSyUss718L0K8f20YolQ1KGRkWbBTsKbePYlFPSMvYHfuy2WNqx4jeNprNAYPvmje2AUpb-YAi_SJ0XEVfnEY/s1600/RV2710_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;226&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyK-QaC5UhgqDoBHYW7hv9T0RNH9wSds3pviYbGphlzwneQcIHqwPbGXcSyUss718L0K8f20YolQ1KGRkWbBTsKbePYlFPSMvYHfuy2WNqx4jeNprNAYPvmje2AUpb-YAi_SJ0XEVfnEY/s320/RV2710_Articolo.jpg&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
Jimbo Katoliki 
Tunduru Masasi nchini Tanzania linasikitika kumpoteza mpendwa wao Baba 
Askofu&amp;nbsp; Castory Msemwa aliyefariki tarehe 19 Oktoba 2017, saa 7 mchana 
nchini Oman. Kwa mujibu wa Makamu wa Askofu wa Jimbo Katoliki Tunduru 
Masasi, Padri Jordan Liviga, anasema, Askofu Msemwa amefariki dunia 
akiwa mjini Muscat (Oman), wakati wa safari ya kwenda nchini India 
kupata matibabu ya maradhi yaliyokuwa yakimsumbua.&lt;br /&gt;


Marehemu Msemwa amekuwa na tatizo la kiafya kwa kipindi cha miaka 
miwili, na amekuwa akipata tiba mbalimbali na kuendelea na utume &lt;br /&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;kama 
kawaida. Aliondoka nchini siku ya Jumatano 18 Oktoba kuelekea nchini 
India kwa matibabu kabla hajafariki dunia. Padri Liviga amebainisha kuwa
 utaratibu wa kuuleta nchini mwili wa marehemu Askofu Castory Msemwa 
siku ya Jumapili Dar es Salaam unafanyika. Na hivyo taarifa zaidi za 
utaratibu wa mazishi zitatolewa baadaye.&lt;br /&gt;


Askofu Castory Paul Msemwa amezaliwa mwaka 1955 katika kijiji cha 
Kitulira, Parokia ya Matola Jimbo Katoliki Njombe. Alipata elimu ya 
msingi katika shule ya Motola, baadaye Sekondari katika Seminari Kuu ya 
Peramiho ambapo pia alisomea Falsafa na Teolojia kati ya mwaka 1981 na 
1987. Alipata daraja ya Upadri tarehe 7 Juni 1987. Amekuwa Paroko 
Msaidizi na&amp;nbsp; kiongozi wa vijana jimboni Njombe. Alikuwa pia mwalimu na 
amesomea katika Chuo cha Kipapa cha kitasaufi cha&amp;nbsp; Teresiaunum Roma na 
kuhitimu mwaka 1996. Alipata Daraja la Uaskofu tarehe 30 Januari 2005&amp;nbsp; 
na&amp;nbsp; kusimikwa rasmi katika Jimbo Katoliki Tunduru Masasi tarehe 25 
Agosti 2005.&lt;br /&gt;


Mwenyezi Mungu ampumzishe pema mbinguni, Amina.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Chanzo cha habari ni TEC &lt;br /&gt;


Na Bernard James, DSM.&lt;br /&gt;


&lt;br /&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/4542781207806955228/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/4542781207806955228?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/4542781207806955228'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/4542781207806955228'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/11/askofu-castory-msemwa-wa-jimbo-katoliki.html' title='Askofu Castory Msemwa wa Jimbo Katoliki Tunduru- Masasi afariki dunia'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyK-QaC5UhgqDoBHYW7hv9T0RNH9wSds3pviYbGphlzwneQcIHqwPbGXcSyUss718L0K8f20YolQ1KGRkWbBTsKbePYlFPSMvYHfuy2WNqx4jeNprNAYPvmje2AUpb-YAi_SJ0XEVfnEY/s72-c/RV2710_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-86527389032354958</id><published>2017-10-31T17:54:00.006+03:00</published><updated>2017-10-31T17:54:58.410+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="NENO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>Papa:Kuhudumia Ufalme wa Mbinguni, unahitaji ujasiri !</title><content type='html'>&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiiydp5GEbQ0qchXq_UzYVp9Uq61riAyDDStBkwLTOM95pv9JjI-ZdHUBe1E2RXzOsQ_rqTab4JIZ838PLoY3DqDhoKONxHXPQ5-diO3hSSSbBXtLmt8rUn0423msWYEJKhULekaGWBugc/s1600/2038222_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;226&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiiydp5GEbQ0qchXq_UzYVp9Uq61riAyDDStBkwLTOM95pv9JjI-ZdHUBe1E2RXzOsQ_rqTab4JIZ838PLoY3DqDhoKONxHXPQ5-diO3hSSSbBXtLmt8rUn0423msWYEJKhULekaGWBugc/s320/2038222_Articolo.jpg&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
Inahitaji ujasiri 
ili kufanya ufalme wa Mungu ukue, yaani wa kutupa mbegu ya aradali na 
kuchanganya chachu. Lakini mara nyingi wapo wachungaji wanaotaka&amp;nbsp; 
kuhifadhi badala ya kupanda hiyo mbegu ili ikue. Ni maneno ya Baba 
Mtakatifu Francisko wakati akitafakri Injili ya Mtakatifu (Luka 
13,18-21) Siku tarehe 31 Oktoba 2017 katika Kikanisa cha&amp;nbsp; Mtakatifu 
Marta Mjini Vatican.&lt;br /&gt;
Katika Injili ya siku Bwana Yesu anafananisha Ufalme wa Mungu kama mbegu
 ndogo ya aradali na chachu,&amp;nbsp; kwa njia hiyo Baba Mtakatifu&lt;br /&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt; anabainisha 
kwamba, mambo haya mawili japokuwa ni madogo, lakini ndani yake yana 
nguvu zaidi ya kukuza, ndiyo ilivyo hata ufalme wa&amp;nbsp; Mungu maana una 
nguvu ndani yake.&lt;br /&gt;


Hata barua ya kwanza ya Mtakatifu Paulo iliyosomwa inaweka bayana 
mivutano ya maisha ya mateso,&amp;nbsp; lakini inaoesha kwamba mateso hayo&amp;nbsp; 
hayawezi fananishwa na utukufu tunao usubiri. Yote hayo ni mivutano kati
 ya mateso na utukufu,lakini katika mivutano hiyo bado kuna matatajio ya
 makubwa ya ufalme wa Mungu anathibitisha Baba Mtakatifu. Matarajio hayo
 siyo tu ya binadamu peke yake barua hiyo inasema,&amp;nbsp; kwani ni viumbe 
vyote pia vinaugua pamoja navyo vina utungu. Baba Mtatifu anaongeza, 
lakini&amp;nbsp; nguvu za ndani zinazotoa matumaini katika ukamilifu wa Ufalme wa
 Mungu&amp;nbsp; ni Roho Mtakatifu.&lt;br /&gt;
Ni matumaini yanayotupeleka katika ukamilifu na kutoka katika kifungo 
cha: vizingiti, utumwa, ufisadi na kufikia utukufu, lakini hiyo 
inahitaji&amp;nbsp; hija ya matumanini. Hata hivyo Baba Mtakatifu anasema&amp;nbsp; 
matumaini ni zawadi ya Roho kwa maana roho Mtakatifu akiwa ndani mwetu, 
anatoa mambo mengi na makubwa, anakuokoa , anatoa uhuru na&amp;nbsp; utukufu 
mkubwa. Na ndiyo maana Yesu anasema mbegu ya aradali japokuwa ni ndogo 
lakini ndani yake kuna nguvu zaidi ya kukuza jambo lisilofikirika.&lt;br /&gt;


Ndani mwetu kuna kazi ya uumbaji, kwa maana ni roho Mtakatifu 
anayetoa matumaini. Akifafanua zaidi anasema kuishi kwa matumaini ni 
kuachia nafasi nguvu ya Roho ili aweze kusaidia kukua kuelekea ukamilifu
 unaotungojea.&lt;br /&gt;
Kama ilivyo chachu kuchanganywa na unga,&amp;nbsp; hata mbegu ya aradali lazima 
ipandwa ardhini, la sivyo nguvu yake ya ndani itabaki bila kuongezeka … 
ndivyo ufalme wa Mungu unavyokua ndani,&amp;nbsp; lakini siyo kwa wapinzani 
wake.&lt;br /&gt;


Daima Kanisa limekuwa na ujasir wa kuchukua na kupanda, japokuwa, 
kuchukua na kupanda daima kunaleta hofu anaeleza. Hiyo ni kwasababu mara
 nyingi huonekana wachungaji wanaopenda kuhifadhi badala ya kuacha 
ufalme wa Mungu ukue. Lakini&amp;nbsp; bila kuchukua mbegu na kupanda huwezi 
kukua bali itakaa ilivyo, hivyo ndivyo ufalme wa Mungu , hauwezi&amp;nbsp; 
kukua,&amp;nbsp; kwa njia hiyo, inahitajika ujasiri kufanya ufalme wa Mungu ukue…
 lazima kujikita katika&amp;nbsp; kutupa mbegu na kuchanganya chachu 
anathibitisha Baba Mtakatifu Francisko.&lt;br /&gt;


Ole wao wanaohubiri Ufalme wa Mungu kwa kuwadanyanya wengine wakati 
wao hawataki kuchafua mikono yao. Hawa ni kama wale wanaotunza sanaa, 
wanapendelea mambo mazuri, lakini siyo ile ishara ya kutupa mbegu ili 
kwa nguvu iweze kuchanua, au kuchanganya chachu ili ukue. Huo ndiyo 
ujumbe wa Yesu&amp;nbsp; na Mtakatifu&amp;nbsp; Paulo mivutono ambayo inaanzia katika 
utumwa wa dhambi, ili uweze kuwa rahisi , na kukamilishwa na utukufu wa 
Mungu , na matumaini ni yale yanayojikita mbele bila kudanyanya 
kwasababu matumaini ni madogo sana kama ua mbegu ya aradali na kama 
chachu.&amp;nbsp; &amp;nbsp;&lt;br /&gt;
Baba Mtakatifu anaongeza kusema, matumani ni fadhila ya kinyenyekevu, ni
 huduma, lakini mahali ambapo kuna matumaini kuna roho Mtakatifu 
anayepeleka mbele Ufalme wa Mungu.&amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &amp;nbsp; &lt;br /&gt;


Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican&lt;br /&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/86527389032354958/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/86527389032354958?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/86527389032354958'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/86527389032354958'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/10/papakuhudumia-ufalme-wa-mbinguni.html' title='Papa:Kuhudumia Ufalme wa Mbinguni, unahitaji ujasiri !'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiiydp5GEbQ0qchXq_UzYVp9Uq61riAyDDStBkwLTOM95pv9JjI-ZdHUBe1E2RXzOsQ_rqTab4JIZ838PLoY3DqDhoKONxHXPQ5-diO3hSSSbBXtLmt8rUn0423msWYEJKhULekaGWBugc/s72-c/2038222_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-95068986462894861</id><published>2017-10-31T17:53:00.002+03:00</published><updated>2017-10-31T17:53:40.572+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>PAROKIA MPYA YAZINDULIWA JIMBO KUU KATOLIKI DODOMA </title><content type='html'>&lt;div class=&quot;MsoNoSpacing&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;KATIKA &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;safari&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kueneza&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Injili &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;watu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wote&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hapa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;duniani, Jimbo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Kuu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Katoliki Dodoma&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;limepata&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mpya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Pwaga&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;iliyozinduliwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hivi&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;karibuni&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Askofu&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Mkuu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wa Jimbo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hilo Mhashamu &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;&lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;Beatus &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;Kinyaiya OFM-Capp.&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrdeU8xDC4NVnaN1hIemzSJuRh2MFVazUETNJ6t1nCTp4bDQyKe72iQ5m2tRlB1t9JUN9sdTw6NMWrtfASzgmR2s85kCtH95Ff7x0Wbbrk5gWTJ6qckBviVyx7YxwvjZ-CsHdaNNnoWpY/s1600/Cl0GVSHXIAApGuN.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;640&quot; data-original-width=&quot;622&quot; height=&quot;320&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrdeU8xDC4NVnaN1hIemzSJuRh2MFVazUETNJ6t1nCTp4bDQyKe72iQ5m2tRlB1t9JUN9sdTw6NMWrtfASzgmR2s85kCtH95Ff7x0Wbbrk5gWTJ6qckBviVyx7YxwvjZ-CsHdaNNnoWpY/s320/Cl0GVSHXIAApGuN.jpg&quot; width=&quot;311&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNoSpacing&quot;&gt;
&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNoSpacing&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Akizindua parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;hiyo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mpya hivi karibuni, Askofu &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;Mkuu Kinyaiya OFM-Capp amesema&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;safari&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;injili&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;ni ngumu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;si&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;vyema&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wanadamu&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kuipuuzia&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwani&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ni&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;safari&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;toba huku Kanisa &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;likiwa ni&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;moyo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;muamini&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;popote&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;pale na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;pamoja&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hiyo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mpya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;haina&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;jengo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kubwa lakini Kanisa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ni&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;watu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na ni&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;popote&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;pale bila kujali&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ni&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wapi&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;wanasalia, la msingi ni kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;imani&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Mungu.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNoSpacing&quot;&gt;
&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;“Mama&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Kanisa&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;anasisitiza &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;watu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;&lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;kusali &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;moyo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;nguvu&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kubwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;bila&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kujali&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;sala&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;inafanyika&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wapi, mkristo &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;anatakiwa &lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;kusalia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mahali&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;popote &lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;kwani&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;sala&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;ni&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Baraka&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na muamini&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;anapata&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;nafasi&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kuongea&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Mungu&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;si&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Kanisa. Parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Pwaga&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;uchanga&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;wake&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;majengo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;isiwe&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;sababu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kuibeza&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;bali&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;itiwe&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;nguvu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;waamini&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wake&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kusali&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;nguvu&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;suala&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;la&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;majengo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;makubwa &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;mazuri&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;yatakuja&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;baadaye.” Amesema Askofu Kinyaiya.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Amesema&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mpya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Pwaga&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;imefunguliwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kutokana&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mahitaji&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;waamini kutaka&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;huduma&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;za&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kiroho&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kufanyika&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;karibu &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;nao&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na
kuwa ombi hilo lilitolewa kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;marehemu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Askofu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;pili&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wa &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;Jimbo Kuu&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Dodoma&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Mhashamu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Joseph Isuja Shungu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;miaka&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;30&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;iliyopita yaani mwaka &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;1987.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;“Kristo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;hapatikani&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;katika&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;majengo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;mazuri&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;bali&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;anapatikana&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;katika&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mioyo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;yenu, saline kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;nguvu&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;msitafute&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;pa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kusalia bali&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;pa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kusalia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;pawe&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;popote&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ili&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mradi&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;mnasali&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;moyo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Kristo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;atapatikana&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;hapo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hapo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mlipo, msifadhaike&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mioyoni&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;mwenu. Majengo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mazuri&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;makubwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;yatakuja,&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ruhusuni Roho&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Mtakatifu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;aingie&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mioyoni&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;mwenu&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;atawaelekeza cha&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kufanya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;huku&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mkijitoa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kama&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;mlivyojitoa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;katika&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ujenzi&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;wa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;nyumba&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hii&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mapadri.” Amesisitiza.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Amesema&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;sababu&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hiyo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Pwaga&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;inaanza&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;chini&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;yake,&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ni&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;vyema&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;iwe&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kioo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;ajili&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kufundisha&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;watu&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kumuongokea&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Mungu&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;huku&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;akiwaonya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wana&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kipaimara&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;26&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;aliowapa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;sakramenti&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;siku&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hiyo kulisikia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;neno&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;hilo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na kulifuata.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Pamoja&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kutangazwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hiyo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;mpya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Askofu &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;Mkuu&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Beatus&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Kinyaiya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;OFM-Capp&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;amemtangaza&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Padri Nestory&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Ngunwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;paroko&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hiyo mpya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;na&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;sasa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;atakuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;akikaa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;parokiani&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Lumuma&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hadi &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;hapo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;nyumba&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mpya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mapadri
&lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;hapo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;Pwaga&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;itakapomalizika.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Paroko&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wa Parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hiyo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;mpya, padri&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Ngunwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;amesema&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kuwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;anamshukuru&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Mungu&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kumuona,&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;na kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;kutumwa na Askofu katika&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hiyo, ataifanya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kazi&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Bwana&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;kwa&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;moyo wote.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Parokia&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;hiyo&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;mpya&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;ya&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;Pwaga &lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;ina&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;vigango&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;12&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;ambavyo&lt;span&gt;&amp;nbsp;
&lt;/span&gt;ni &lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;Godegode, Mgoma, Kisisi,
Tambukareli, Wisuzaje, Idibulilo, Lufu, Kidenge, Gomhungile, Munguwi, Idaho na Maswala
. &lt;span&gt;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/95068986462894861/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/95068986462894861?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/95068986462894861'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/95068986462894861'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/10/parokia-mpya-yazinduliwa-jimbo-kuu.html' title='PAROKIA MPYA YAZINDULIWA JIMBO KUU KATOLIKI DODOMA '/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrdeU8xDC4NVnaN1hIemzSJuRh2MFVazUETNJ6t1nCTp4bDQyKe72iQ5m2tRlB1t9JUN9sdTw6NMWrtfASzgmR2s85kCtH95Ff7x0Wbbrk5gWTJ6qckBviVyx7YxwvjZ-CsHdaNNnoWpY/s72-c/Cl0GVSHXIAApGuN.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-630985723092898891</id><published>2017-10-31T17:52:00.002+03:00</published><updated>2017-10-31T17:52:22.652+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>RATIBA YA BABA MTAKATIFU MWISHONI MWA MWAKA HUU 2017 </title><content type='html'>&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7rJ0L3I4Auh7CBta1UHQ_LRF9JpwhkqLIPZkLM6OnvL_okboSNTthdzvPHcXsvZpwv5-Kq4Sdw-cXidC-3QS0jyG9EBiOQxcQYrtsYvdr0OjqH36TZN_PLSU4da0QdPGTdtvB_u7gGgY/s1600/RV13337_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;226&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7rJ0L3I4Auh7CBta1UHQ_LRF9JpwhkqLIPZkLM6OnvL_okboSNTthdzvPHcXsvZpwv5-Kq4Sdw-cXidC-3QS0jyG9EBiOQxcQYrtsYvdr0OjqH36TZN_PLSU4da0QdPGTdtvB_u7gGgY/s320/RV13337_Articolo.jpg&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Ziara ya Kitume 
nchini Chile na Peru kuanzia tarehe 15 -22 Januari 2018, Misa ya tarehe 2
 Novemba katika Makaburi ya waamerika Nettuno na Siku ya Masikini&amp;nbsp; 
Duniani&amp;nbsp; tarehe 19 Novemba katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro.&lt;br /&gt;
Ni baadhi ya matukio katika ratiba ya Baba Mtakatifu Francisko 
iliyotolewa mapema karibuni kwa miezi kuanzia Novemba, Disemba 2017 na 
Januari 2018 iliyothibitisha katika Kalenda ya maadhimisho ya Baba 
Mtakatifu ktuoka katika Ofisi ya Maadhimisho ya Liturujia Vatican.&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Baba Mtakatifu ataadhimisha misa ya kumbukumbu ya waamini marehemu huko 
Nettuno Italia tarehe 2 Novemba 2017, baadaye, tarehe 3 Novemba 
ataadhimisha misa nyingine katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro kwa 
ajili ya kukumbuka makardinali na maaskofu marehemu waliofariki kwa 
kipindi cha mwaka huu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tarehe 19 Novemba anatarajiwa kuadhimisha misa Takatifu kwa ajili ya 
Siku ya Maskini Duniani, aliyoitangaza mwishoni wa mwaka wa Jubilei ya 
huruma, na wiki itakayofuata kuanzia tarehe 26 Novemba hadi 2 Desemba, 
ataanza ziara yake ya kitume nchini Myanmar na Bangladesh.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tarehe 8 Desemba 2017 ni sSkukuu ya Bikira Maria Mkingiwa dhambi ya 
asili Baba Mtakatifu kama utamaduni, antarajiwa kwenda kuweka shahada la
 maua katika sanamu ya Mama Maria kwenye uwanja wa Hispania Roma, na 
tarehe 12 Desemba ataadhimisha Misa Takatifu ya Bikira Maria wa 
Guadalupe, msimamizi wa Bara la Marekani. Misa zote kipindi cha Krismasi
 kama utamaduni zitafanyika katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, Misa 
ya mkesha wa Krismasi tarehe 24 Desemba itaanza saa tatu na nusu za 
usiku masaa ya Ulaya, na sikukuu ya Epifania itafanyika tarehe 6 Januari
 2018.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jumapili tarehe 7 Januari, Baba Mtakatifu ataadhimisha Misa Takatifu ya 
sikukuu ya Ubatizo wa Bwana katika Kanisa la Sistina, mahali ambapo 
atawapa sakramenti ya ubatizo baadhi ya watoto. Na maadhimisho ya mwezi 
Januari yafungwa huko Cile na Peru mahali ambapo ataanza ziara ya kitume
 kuanzia tarehe 15 hadi 22 Janauri 2018.&lt;br /&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Sr Angela Rwezaula&lt;br /&gt;
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican&lt;/span&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/630985723092898891/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/630985723092898891?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/630985723092898891'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/630985723092898891'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/10/ratiba-ya-baba-mtakatifu-mwishoni-mwa.html' title='RATIBA YA BABA MTAKATIFU MWISHONI MWA MWAKA HUU 2017 '/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7rJ0L3I4Auh7CBta1UHQ_LRF9JpwhkqLIPZkLM6OnvL_okboSNTthdzvPHcXsvZpwv5-Kq4Sdw-cXidC-3QS0jyG9EBiOQxcQYrtsYvdr0OjqH36TZN_PLSU4da0QdPGTdtvB_u7gGgY/s72-c/RV13337_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-7365621367880893740</id><published>2017-10-31T17:50:00.002+03:00</published><updated>2017-10-31T17:50:36.799+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>Maaskofu Katoliki wataka hukumu ya kifo itazamwe upya </title><content type='html'>&lt;div class=&quot;separator&quot; style=&quot;clear: both; text-align: center;&quot;&gt;
&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6zNnQgEaI47KyniuseQrXodk9ADyQ8sWsPgiKbFoTW2cpFRzdrGoOrR28Vj6Izj4WV8KCqlqKA01MN-WotPN0N69LxH_90aeVOkZA0qMTB_qEEema4A8VbFqyp02IDpubtc-horxaIEM/s1600/askofu.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;margin-left: 1em; margin-right: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;426&quot; data-original-width=&quot;640&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6zNnQgEaI47KyniuseQrXodk9ADyQ8sWsPgiKbFoTW2cpFRzdrGoOrR28Vj6Izj4WV8KCqlqKA01MN-WotPN0N69LxH_90aeVOkZA0qMTB_qEEema4A8VbFqyp02IDpubtc-horxaIEM/s1600/askofu.jpg&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;/div&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;MAASKOFU wa Kanisa Katoliki nchini wameiasa serikali
kubadili sheria inayoruhusu adhabu ya kifo kwa wahalifu badala yake watoe hukumu
ya kifungo cha maisha.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC)
Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya ameeleza hayo kwa niaba ya Maaskofu Katoliki
Tanzania hivi karibuni huko jimboni TUNDURU-Masasi kwenye ibada ya mazishi ya
Askofu wa Jimbo hilo marehemu Castory Msemwa.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;“Leo tunapomzika Askofu Msemwa tunakumbuka kuwa mwanadamu
anazaliwa na anakufa kupitia vifo mbalimbali ukiwemo uzee na magonjwa. Huo ni
mpango wa Mungu kwamba mwanadamu afe ili afike kwenye makao aliyomuandalia.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Lakini kuna vifo ambavyo ni kinyume na mpango wa Mungu
ikiwemo sheria inayoruhusu mahakimu kutoa hukumu ya kifo. Aliye na mamlaka ya
kuchukua uhai wa mwanadamu ni Mungu peke yake kwani uhai ni zawadi kutoka kwa
Mungu. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Sababu ya vifo vinavyotokea duniani ni sisi wanadamu
wenyewe. Maandiko matakatifu yanatuambia Mungu peke yake ndiye ana uwezo na
mamlaka ya kuchukua uhai. Uhai ni kitu kitakatifu lakini baadhi yetu tunapuuza.&lt;a href=&quot;https://www.blogger.com/null&quot; name=&quot;_GoBack&quot;&gt;&lt;/a&gt;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Tunafahamu kwamba sheria za nchi nyingi duniani zinaruhusu
mahakimu kutoa adhabu ya kifo ikiwemo Tanzania. Tunaiomba serikali yetu ione namna
ya kubadili sheria hiyo na badala ya kifo, wahalifu wapewe adhabu ya kifungo
cha maisha. Kama taifa tusikubali kuridhia mikataba ambayo haiheshimu uhai,”
amesisitiza Askofu Mkuu Kinyaiya.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;&lt;span&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;Aidha maaskofu pia
wameisisitiza jamii kuacha kutoa mimba kwani ni namna nyingine ya kutoa uhai wa
mwanadamu suala ambalo wamesema ni kosa na ni dhambi kwa anayetoa na yeyote
anayeshiriki. Hivyo jamii nzima ina wajibu wa kuheshimu na kutunza uhai ambao
ni zawadi kutoka kwa Mungu. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Wamewaonya vijana ambao ni nguvu ya taifa la Tanzania kuacha
kuhatarisha maisha yao kwa kukumbatia utamaduni wa kifo. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;“Vijana wanakufa kabla ya wakati wao kwa kudhoofisha miili
yao kwa kutumia sumu mbalimbali kama vile mahusiano ya hovyo hovyo, dawa za
kulevya nk. Wakidhani ndiyo namna ya kupata starehe kumbe wanajiangamiza.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Tatizo la vijana kujiua wenyewe nalo linaongezeka Tanzania.
Kufuatana na ripoti ya Shirika la Afya duniani Tanzania ni kati ya nchi 10
duniani, zinazoongoza kwa watu hasa vijana kujiua. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Wapendwa vijana sisi wazee wenu tunawaasa muachane na huo utamaduni
wa kifo, ishini maadili, maadili mliyofundishwa na Askofu Castory MSEMWA,
mnayofundishwa na viongozi wenu wa dini mkijua kuwa miili yenu ni hekalu la
Roho Mtakatifu,” amesema. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Katika mazishi hayo Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya amesema
kuwa, Maaskofu Katoliki Tanzania pia wametaka jamii itafakari pia kifo cha
mazingira katika dunia wanayoishi.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Katika barua yake ya pili inayojulikana kama &#39; Laudato Si&#39;
yaani ‘sifa&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;iwe kwako’ Baba Mtakatifu
Fransisko pamoja na mambo mengine anazungumzia jinsi&lt;span&gt;&amp;nbsp; &lt;/span&gt;wanadamu wanavyoiua dunia kwa vitendo
mbalimbali. Wanatumia dunia kwa uroho bila mpango kiasi kwamba wanaiua dunia
ambayo ni mama yao. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;“Matokeo ya madhara yanaturudia kwa njia ya ukame, ongezeko
la hewa ya ukaa ambalo ni mbaya kwa afya zetu nk. Tutakimbilia wapi tukiiharibu
dunia? &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Tunamuasa kila mmoja wenu asiiumize dunia kwa vitendo
visivyofaa, kama vile kukata miti hovyohovyo, kuchoma uoto asilia, kuua wanyama
nk.” amesisitiza Askofu Mkuu Beatus Kinyaiya ambaye pia ni Askofu wa Jimbo Kuu
Katoliki Dodoma.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Ameiasa jamii kuacha kulilia kifo kwani jinsi wanavyomuona
Marehemu Askofu Castory Msemwa ndivyo kila mmoja atakuwa hivyo kwani kuzaliwa
ni bahati na matokeo yake ni kifo ili mwanadamu aende kuishi na Mungu kwenye
makao aliyomuandalia.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;“Kuna watu wengi hawajapata bahati ya kuzaliwa duniani kwa sababu
hawakutungwa mimba kabisa na hawakuja duniani kabisa na kwakuwa hawakuja
duniani kabisa hawatakufa kwa sababu hawapo. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Sisi tuliobahatika kuzaliwa duniani hatma yetu ni kufa ili
turudi kwa Baba, hivyo tusilalamikie kifo kwani ni sehemu ya hiyo bahati ya
kuishi hapa duniani. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Tumeambiwa kuwa&amp;nbsp; Askofu MSEMWA amefariki kwa ugonjwa ambapo
Mwenyezi Mungu ameamua kumchukua. Sisi kama wanadamu jukumu letu ni kupokea
mapenzi ya Mungu ijapokuwa ni magumu kama wanadamu. Tuendelee kumuombea. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Ni wakati wetu wa kumshukuru Mungu kwa zawadi ya Askofu
Msemwa hapa duniani kwani aliyoyafanya hakuna mtu mwingine ambaye anaweza
kufanya kwani duniani hakuna watu wawili wanaweza kufanana na kufanya jambo
lilelile. Kila mtu ana namna yake ya kutenda, naye alikuwa maalumu. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Tunamshukuru Askofu Msemwa kwa kutumia vipaji vyake
kulitumikia Kanisa na jamii kwa ujumla bila kulalamika. Tunaamini kuwa kwakuwa
alijitahidi kuishi wito wake kama Padri na Askofu Mwenyezi Mungu atampokea
kwake mbinguni.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Suala la msingi ni kuishi ukristo wetu, tuishi maisha ya Sakramenti
ili tujitakatifuze, tuwe watu wa toba tujiandae ili siku moja turudi kwa baba
yetu Mbinguni,” ameeleza.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Amesema kuwa Maaskofu wanashukuru wote waliojitolea kumuuguza
na kujaribu kuokoa maisha ya Askofu Msemwa kuanzia madaktari katika hospitali
ya Taifa Muhimbili, India nk.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Pia anashukuru Ubalozi wa Tanzania nchini Oman pamoja na
serikali nzima ya Tanzania kwa ushirikiano wa kusafirisha mwili wa marehemu
kutoka Oman hadi Tunduru kwenye maziko.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Amesema Maaskofu wote wa Kanisa Katoliki wanaungana na wana
Tunduru kufarijiana na kutiana moyo katika kipindi hicho kigumu. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Amewataka mapadri wa Jimbo Katoliki TUNDURU-Masasi kuwa na
ushirikiano wakati huo ambapo wanasubiria wapewe msimamizi wa muda.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;“Ni wazi kiti cha Askofu hapa Tunduru Masasi kipo wazi, sasa
ni wajibu wetu kusali na kuomba ili Roho wa Mungu atuchagulie mchungaji
mwingine wa Tunduru Masasi. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Tunawaomba mtunge sala maalumu mtakayoisali kila jumapili
baada ya Misa kwa lengo hilo. &lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;

&lt;/span&gt;&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Na wakati tukisubiri Askofu mwingine, sisi Maaskofu
tunawasihi sana mkae kwa amani, upendo na mshikamano,” amesisitiza Askofu Mkuu
Kinyaiya.&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;Chanzo cha habari-TEC&amp;nbsp;&amp;nbsp;&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
&lt;div class=&quot;MsoNormal&quot;&gt;
&lt;span style=&quot;font-size: medium;&quot;&gt;http://tec1956.blogspot.com/2017/10/maaskofu-katoliki-wataka-hukumu-ya-kifo.html&lt;/span&gt;&lt;/div&gt;
</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/7365621367880893740/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/7365621367880893740?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/7365621367880893740'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/7365621367880893740'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/10/maaskofu-katoliki-wataka-hukumu-ya-kifo.html' title='Maaskofu Katoliki wataka hukumu ya kifo itazamwe upya '/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6zNnQgEaI47KyniuseQrXodk9ADyQ8sWsPgiKbFoTW2cpFRzdrGoOrR28Vj6Izj4WV8KCqlqKA01MN-WotPN0N69LxH_90aeVOkZA0qMTB_qEEema4A8VbFqyp02IDpubtc-horxaIEM/s72-c/askofu.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-1262807118532703240.post-6297875034177281317</id><published>2017-10-31T17:47:00.003+03:00</published><updated>2017-10-31T17:47:57.996+03:00</updated><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="HABARI"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="MAFUNDISHO"/><category scheme="http://www.blogger.com/atom/ns#" term="TAARIFA"/><title type='text'>Jubilei ya Miaka 50 ya Parokia ya Manyoni, Jimbo Katoliki Singida</title><content type='html'>&lt;a href=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRcOous-rQMPfvUNXH__up9FowPhJUMwwAp7rSSjh-iUvQkcwJfnYWdZjAG68x35n6nDQ4LDmo2F-fNGBVPCgJZWvwiQVIqEsoR0Tg6UElnSmb4Q18j_Dk58M0K6zvwK6aXkWochdLNL8/s1600/OTHER1393390_Articolo.jpg&quot; imageanchor=&quot;1&quot; style=&quot;clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;&quot;&gt;&lt;img border=&quot;0&quot; data-original-height=&quot;453&quot; data-original-width=&quot;640&quot; height=&quot;226&quot; src=&quot;https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRcOous-rQMPfvUNXH__up9FowPhJUMwwAp7rSSjh-iUvQkcwJfnYWdZjAG68x35n6nDQ4LDmo2F-fNGBVPCgJZWvwiQVIqEsoR0Tg6UElnSmb4Q18j_Dk58M0K6zvwK6aXkWochdLNL8/s320/OTHER1393390_Articolo.jpg&quot; width=&quot;320&quot; /&gt;&lt;/a&gt;&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;Askofu Edward Mapunda 
wa Jimbo Katoliki Singida, kuanzia tarehe 19 Oktoba hadi tarehe 21 
Oktoba 2017, Kumbu kumbu ya Mtakatifu Gaspar del Bufalo mwanzilishi wa 
Shirika la Wamisionari wa Damu Azizi ya Yesu, atakuwa na ziara ya 
kichungaji Parokia ya Kupaa Bwana Mbinguni, Manyoni ili kuzindua 
maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 50 tangu Parokia ya Kupaa Bwana Mbinguni
 ilipoanzishwa na Wamisionari wa Damu Azizi ya Yesu kunako mwaka 1967. 
Askofu Mapunda anatembelea ili kukagua maendeleo ya Parokia: kiroho na 
kimwili; ataweka jiwe la msingi wa ujenzi wa Kigango &lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
&lt;a name=&#39;more&#39;&gt;&lt;/a&gt;cha Msemembo pamoja
 na kutoa Sakramenti ya Kipaimara kwa waamini wa Parokia ya Manyoni, 
kielelezo makini cha ukomavu wa imani unaowadai kuilinda na kuishuhudia 
katika matendo&lt;br /&gt;
&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;span id=&quot;testo-articolo&quot; itemprop=&quot;articleBody&quot;&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;br /&gt;
Kauli mbiu ya 
maadhimisho haya ni “Jubilei Manyoni, Imani na Matendo” (Rej. Yak. 2: 
16-18). Imani bila matendo hiyo imekufa ndani mwake! Maadhimisho ya 
Mwaka Mtakatifu wa Jubilei ya huruma ya Mungu, ilikuwa ni changamoto kwa
 familia ya Mungu kuhakikisha kwamba, inamwilisha huruma na upendo wa 
Mungu katika matendo ya huruma: kiroho na kimwili! Ndiyo maana familia 
ya Mungu Parokiani Manyoni inapenda kumwimbia Mungu utenzi wa sifa, 
shukrani, toba na wongofu wa ndani kwa kuhakikisha kwamba, imani hii 
inakuwa ni sehemu ya ushuhuda kwa Kristo Yesu na Kanisa lake.&lt;br /&gt;


Kilele cha Jubilei hii ni hapo tarehe 13 Mei 2018, Mama Kanisa 
atakapokuwa anaadhimisha Siku kuu ya Kupaa Bwana Mbinguni. Tukio hili ni
 sehemu pia ya maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 150 ya Uinjilishaji 
Tanzania Bara, familia ya Mungu nchini Tanzania inapomwimbia Mwenyezi 
Mungu utenzi wa sifa na shukrani kwa sadaka na majitoleo ya Wamisionari 
waliosaidia kupandikiza imani na sasa matunda ya kazi hii yanaanza 
kuonekana Kanisa la Tanzania kuendelea kushamiri katika sekta mbali 
mbali za maisha ya kiroho na kimwili!&lt;br /&gt;


Jubilei ya Miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Parokia ya Manyoni, Singida 
ni muda muafaka wa kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uinjilishaji wa kina 
uliowawezesha watu wa Mungu Parokiani Manyoni kupata huduma makini: 
kiroho na kimwili na kwamba, uwepo wa wamisionari wa Damu Azizi ya Yesu,
 Manyoni, Singida na Tanzania katika ujumla wake, umesaidia sana katika 
kukoleza huduma makini katika mchakato wa ukombozi wa mtu mzima: kiroho 
na kimwili. Manyoni kimekuwa ni kitovu cha huduma ya maji safi na salama
 kwa watu waliokuwa wanaishi katika maeneo yenye ukame wa kutisha!&lt;br /&gt;


Manyoni ni chimbuko la ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mtakatifu 
Gaspar, Itigi, Manyoni, Singida na leo hii imekuwa chemchemi ya huruma 
ya huruma ya Mungu na kitovu cha huduma bora ya afya kwa maskini na wale
 wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii kutokana na magonjwa yao. 
Manyoni, imekuwa ni chimbuko ya ukombozi kwa wasichana na wanawake, 
waliokuwa wanaelemewa kwa kiasi kikubwa na mfumo dume, leo hii kwa njia 
ya elimu makini na endelevu kutoka katika Chuo cha ufundi hadi kufikia 
sekondari, wasichana wanaohitimu katika taasisi za Kanisa wamejengewa 
uwezo mkubwa katika kupambana na changamoto za maisha yao ndani na nje 
ya Manyoni!&lt;br /&gt;


Elimu imewajengea vijana wengi fursa za ajira binafsi na wengi wao 
wamepata mafanikio makubwa kutokana na nidhamu, bidii, juhudi na maarifa
 waliyojengewa wakati wakiwa chuoni hapo! Huduma kwa wazee na watoto 
yatima imepewa msukumo wa pekee kabisa katika maisha na utume wa 
Wamisionari wa Damu Azizi ya Yesu! Kijiji cha Matumaini, Jimbo kuu la 
Dodoma kwa ajili ya watoto waliothirika kwa ugonjwa wa Ukimwi, ni ndoto 
iliyoanzia Manyoni, leo hii kuna watoto waliozaliwa, wakatunzwa na 
kulelewa na Kijiji cha Matumaini, leo ni watu wazima wanaojitegemea na 
kuwategemeza ndugu zao! Kwa hakika ndoto ya Mtakatifu Gaspar, bado 
inaendelea!&lt;br /&gt;


Padre Thomas Wambura, Paroko wa Parokia ya Kupaa Bwana Mbinguni, 
Manyoni, Jimbo Katoliki la Singida anasema, maadhimisho ya Jubilei ya 
Miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Parokia hii ni muda pia wa kuomba toba, 
huruma na upendo wa Mungu katika maisha na utume wa Kanisa. Kwa wakati 
huu, mkazo zaidi ni kwa ajili ya kuendeleza mchakato wa kuhuisha na 
kupyaisha imani, ili iweze kumwilishwa katika ushuhuda wenye mvuto na 
mashiko!&lt;br /&gt;


Ni kipindi cha kuimarisha Jumuiya ndogo ndogo za Kikristo: Shule ya 
Neno la Mungu, Sakramenti za Kanisa na Matendo ya huruma: kiroho na 
kimwili. Jubilei hii inapania kuimarisha makuzi ya kiroho, kiutu na 
kimaadili, ili kuwajengea watu wa Mungu uwezo wa kupambana na changamoto
 za maisha mintarafu Neno la Mungu, Mafundisho Jamii ya Kanisa, kanuni 
maadili na utu wema. Ili kufanikisha matamanio yote haya, Parokia 
inapania kuimarisha mfumo wa uongozi na utekelezaji wa sera na mikakati 
mbali mbali ya shughuli za kichungaji, kwa ajili ya ustawi, maendeleo na
 mafao ya wengi! Pia inataka kukuza moyo na ari ya waamini kulitegemeza 
Kanisa kwa hali na mali ili kuondokana na tabia ya kutegemea wafadhili 
ambayo kwa sasa imepitwa na wakati! Miaka 50 ni muda muafaka wa 
kujijengea utamaduni wa kujitegemea! Ni wakati muafaka wa kujenga 
Makanisa bora zaidi vigangoni pamoja na kukarabati yale yaliyopo, ili 
kweli waamini waweze kuwa na mahali pazuri zaidi pa sala na ibada kwa 
kusoma alama za nyakati!&lt;br /&gt;


Kama sehemu ya kumbu kumbu hai ya Jubilei ya Miaka 50 tangu 
kuanzishwa kwa Parokia ya Manyoni, Singida, familia ya Mungu ndani na 
nje ya Jimbo Katoliki Singida inapania kuchangia ujenzi wa shule ya 
awali na msingi itakayoendeshwa na kusimamiwa na Parokia, kama sehemu ya
 mchango wa Kanisa katika malezi na makuzi ya watoto na vijana wa kizazi
 kipya. Hii ni kumbukumbu inayoanzishwa katika Mwaka wa Bwana kama 
ushuhuda wa imani katika matendo kwa kizazi cha sasa na kile kijacho! 
Makisio ya awali ya gharama za ujenzi wa miundo mbinu ni shilingi 
milioni 206, 700, 000. Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni imetoa ardhi 
yenye ukubwa wa Ekari 18. Familia ya Mungu inaendelea kuchangia fedha na
 vifaa vya ujenzi. Ni matarajio ya viongozi wa Parokia kwamba, shule hii
 itaweza kuzinduliwa wakati wa kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya 
Miaka 50 ya Parokia ya Kupaa Bwana Mbinguni, Manyoni, mwaka 2018.&lt;br /&gt;


Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S.&lt;br /&gt;


Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican.&lt;br /&gt;
 &lt;br /&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/feeds/6297875034177281317/comments/default' title='Chapisha Maoni'/><link rel='replies' type='text/html' href='https://www.blogger.com/comment/fullpage/post/1262807118532703240/6297875034177281317?isPopup=true' title='Maoni 0'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/6297875034177281317'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='https://www.blogger.com/feeds/1262807118532703240/posts/default/6297875034177281317'/><link rel='alternate' type='text/html' href='https://ludovicktmedia.blogspot.com/2017/10/jubilei-ya-miaka-50-ya-parokia-ya.html' title='Jubilei ya Miaka 50 ya Parokia ya Manyoni, Jimbo Katoliki Singida'/><author><name>ADM</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15776171655800216425</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='https://img1.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/" url="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRcOous-rQMPfvUNXH__up9FowPhJUMwwAp7rSSjh-iUvQkcwJfnYWdZjAG68x35n6nDQ4LDmo2F-fNGBVPCgJZWvwiQVIqEsoR0Tg6UElnSmb4Q18j_Dk58M0K6zvwK6aXkWochdLNL8/s72-c/OTHER1393390_Articolo.jpg" height="72" width="72"/><thr:total>0</thr:total></entry></feed>