<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<?xml-stylesheet type="text/xsl" media="screen" href="/~d/styles/rss2full.xsl"?><?xml-stylesheet type="text/css" media="screen" href="http://feeds.feedburner.com/~d/styles/itemcontent.css"?><rss xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/" xmlns:wfw="http://wellformedweb.org/CommentAPI/" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/" xmlns:slash="http://purl.org/rss/1.0/modules/slash/" xmlns:feedburner="http://rssnamespace.org/feedburner/ext/1.0" version="2.0">

<channel>
	<title>TanzaniaSports.com | All About Sports in Tanzania</title>
	
	<link>http://www.tanzaniasports.com</link>
	<description>The Tanzania Sports Website Where People Talk Sports</description>
	<lastBuildDate>Fri, 01 Jun 2012 07:55:18 +0000</lastBuildDate>
	<language>en</language>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.3.2</generator>
		<atom10:link xmlns:atom10="http://www.w3.org/2005/Atom" rel="self" type="application/rss+xml" href="http://feeds.feedburner.com/tanzaniasports1" /><feedburner:info uri="tanzaniasports1" /><atom10:link xmlns:atom10="http://www.w3.org/2005/Atom" rel="hub" href="http://pubsubhubbub.appspot.com/" /><feedburner:emailServiceId>tanzaniasports1</feedburner:emailServiceId><feedburner:feedburnerHostname>http://feedburner.google.com</feedburner:feedburnerHostname><item>
		<title>Ms. Danna Banks handed over the balls to TBF Vice President Phares Magesa</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/CFj-eV-v67o/ms-danna-banks-handed-over-the-balls-to-tbf-vice-president-phares-magesa</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/ms-danna-banks-handed-over-the-balls-to-tbf-vice-president-phares-magesa#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 01 Jun 2012 07:55:18 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6783</guid>
		<description><![CDATA[US Embassy in Dar Es Salaam today hosted Hasheem Thabeet and TBF Vice President Phares Magesa who was accompanied by TBF Assistant Secretary General Michael Maluwe, TBF Treasurer Ms. Marry Mbaga. The US Embassy thanked Hasheem for agreeing to conduct basketball clinics in Tanzania. During the event US Embassy in Dar donated 50 balls to [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>US Embassy in Dar Es Salaam today hosted Hasheem Thabeet and TBF Vice President Phares Magesa who was accompanied by TBF Assistant Secretary General Michael Maluwe, TBF Treasurer Ms. Marry Mbaga.</p>
<p>The US Embassy thanked Hasheem for agreeing to conduct basketball clinics in Tanzania.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/ms-danna-banks-handed-over-the-balls-to-tbf-vice-president-phares-magesa/attachment/img_1237" rel="attachment wp-att-6784"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/06/IMG_1237-500x307.jpg" alt="" title="US Embassy ufficial with Magesa" width="450" height="276" class="aligncenter size-large wp-image-6784" /></a></p>
<p>During the event US Embassy in Dar donated 50 balls to be used at Under 17 basketball Clinic to be held in Arusha June 9-10, 2012.</p>
<p>Cultural Affairs Officer and first Secretary of the US Embassy in Dar Es Salaam Ms. Danna Banks handed over the balls to TBF Vice President Phares Magesa in the presence of NBA Player Hasheem Thabeet, Portland Trail Blazer Centre. </p>
<p>Also the US state department through US Embassy in Dar es Salaam has given a grant to support administrative cost of running the Arusha Clinic, the grant was signed today by Mr. Magesa and Ms. Banks at the Embassy.</p>
<p>The Arusha Clinic will be conducted by one of the very best US based coach details will be released later.</p>
<p>After the event at the Embassy Hasheem and Mr. Magesa went to Lord Barden Powell High School in Bagamoyo.</p>
<p>Hasheem promised to support various school projects including building of modern basketball court for the school.</p>
<p>On behalf of TBF we than Hasheem for this great initiative.</p>
<p>Hasheem will tomorrow start his clinic for 200 kids from 6 regions to be held at Don Bosco grounds.</p>
<p>We call upon other organizations to join us in developing our youth through various programmes like youth clinics, basketball courts construction/refurbishment etc.</p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/CFj-eV-v67o" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/ms-danna-banks-handed-over-the-balls-to-tbf-vice-president-phares-magesa/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/ms-danna-banks-handed-over-the-balls-to-tbf-vice-president-phares-magesa</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>Fitness shortfall for Taifa stars players…</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/_p34KemeEu0/fitness-shortfall-for-taifa-stars-players</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/fitness-shortfall-for-taifa-stars-players#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 31 May 2012 08:23:48 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6779</guid>
		<description><![CDATA[After almost two weeks of training the national soccer team coach Kim Poulsen has been worried by the player’s fitness ahead of travelling to Abidjan tomorrow. The Danish coach who took over from his name sake early this month, bemoaned a short stay he had with the players which he said is insufficient to deal [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>After almost two weeks of training the national soccer team coach Kim Poulsen has been worried by the player’s fitness ahead of travelling to Abidjan tomorrow.</p>
<p>The Danish coach who took over from his name sake early this month, bemoaned a short stay he had with the players which he said is insufficient to deal with the fitness shortfall.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/kilimanjaro-stars-ya-tanzania-yavulia-taji-la-cecafa/attachment/kilimanjarochallange3" rel="attachment wp-att-6315"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2011/12/KilimanjaroChallange3.jpg" alt="" title="KilimanjaroChallange(3)" width="350" height="250" class="aligncenter size-full wp-image-6315" /></a></p>
<p>However, he said there is a need to communicate with coaches of the premiership clubs where the players spend most of their football playing career.</p>
<p>Despite the shortfall, Poulsen said the team is still promising and are travelling to Abidjan not as underdogs.</p>
<p>“We have a good team and hopefully it might sparkle regardless of the gravity of our opponents”, said the coach who has won promotion from the under 20 side into the senior team in his newest contractual terms.</p>
<p>Taifa Stars as the team is known for decades would board Abidjan-bound flight tomorrow ahead of their first leg tie of the 2014 World Cup qualifier series against the host nation.</p>
<p>Poulsen says he would leave with all players who have been training with the team with the exception of midfielder Nurdin Bakari and striker Thomas Ulimwengu.</p>
<p>While Bakari is yet to gain full fitness, Ulimwengu who was also on the sick bay for a number of days will join the youth team.</p>
<p>Unlike other Stars’ coaches in the past, Poulsen would leave with all the 23 players as he says no one has a permanent place in the first choice line-up.</p>
<p>The full line up of players and their respective clubs in bracket are as follows;<br />
Goalkeepers: Juma Kaseja (Simba), Mwadini Ally (Azam) and Deogratius Munishi (Mtibwa Sugar).</p>
<p>Defenders are: Nassor Masoud, Shomari Kapombe, Juma Nyoso, Amir Maftah, Kelvin Yondani (Simba), Aggrey Morris Erasto Nyoni and Waziri Salum (Azam).</p>
<p>Midfielders are: Mwinyi Kazimoto, Jonas Mkude and Edward Christopher (Simba), Salum Aboubakar and Mrisho Ngasa (Azam), Shabani Nditi (Mtibwa Sugar) and Frank Domayo (JKT Ruvu U-20).</p>
<p>Strikers are: Mbwana Samata (TP Mazembe, Ramadhan Singano (Simba U-20), Simon Msuva (Moro United- U-20), Haruna Moshi (Simba) and John Bocco (Azam).</p>
<p>Stars now relish Tanzania Breweries sponsorship under their Kilimanjaro Beer brand.</p>
<p>The team played a friendly tie against Malawi on May 26 at the National Stadium in Dar es Salaam that ended in barren draw.</p>
<p> Tanzania has never qualified to play at the football’s high profile global stage ever since. The team shares the group together with Gambia and Morocco.</p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/_p34KemeEu0" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/fitness-shortfall-for-taifa-stars-players/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/fitness-shortfall-for-taifa-stars-players</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>SPRITE HASHEEM THABEET U17 BASKETBALL CLINIC, JUNE 1-2, 2012</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/Rx2mBXGcvZg/sprite-hasheem-thabeet-u17-basketball-clinic-june-1-2-2012</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/sprite-hasheem-thabeet-u17-basketball-clinic-june-1-2-2012#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 29 May 2012 15:42:44 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6771</guid>
		<description><![CDATA[On behalf of Tanzania Basketball Federation (TBF), we are happy to announce that Cocacola Company has agreed to sponsor this year Basketball Clinic for under 17 years of age boys and girls from six regions. The Clinic will conducted by a Tanzanian, NBA Star Hasheem Thabeet, Portland Trail Blazers centre, who is already in the [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>
On behalf of Tanzania Basketball Federation (TBF), we are happy to announce that Cocacola Company has agreed to sponsor this year Basketball Clinic for under 17 years of age boys and girls from six regions. </p>
<p>The Clinic will conducted by a Tanzanian, NBA Star Hasheem Thabeet, Portland Trail Blazers centre, who is already in the country ready for the clinic to be held at Don Bosco basketball courts, Upanga, Dar Es Salaam.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/sprite-hasheem-thabeet-u17-basketball-clinic-june-1-2-2012/attachment/image-1" rel="attachment wp-att-6774"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/Image-1-500x375.jpg" alt="" title="hasheem" width="450" height="337" class="aligncenter size-large wp-image-6774" /></a></p>
<p>The regions that will participate in this year clinic are Mwanza, Mbeya, Dodoma, Kilimanjaro, Arusha, Unguja , Pemba and the host region of Dar Es Saalaam.</p>
<p>About 200 kids will participate in this clinic, Hasheem will be assisted by 3 local coaches and 6 accomplished players, hence all of them will benefit from this clinic.</p>
<p>We are expressing our heartfelt gratitude to Cocacola Company through SPRITE brand for sponsoring this event and we are requesting other companies to do the same as part of their CSR.</p>
<p>We are also thanking Hasheem Thabeet for agreeing to conduct this clinic as part of his social responsibility, he is a hero and true patriot, this is real commendable and other successful athletes should also do the same.</p>
<p>We thank Cocacola for their support in many of our events, they have been supporting us in various local and international tournaments and youth clinics, and they have refurbished several basketball courts in Dar es Salaam, Coast, Dodoma, Mbeya, Mwanza, Arusha and Kilimanjaro.</p>
<p>We are requesting Cocacola and other stakeholders to continue to support us in our upcoming events this year like, Under 16 basketball clinic that will be held in Arusha on 9th and 10th June to be conducted by USA based NBA coach details will be released later, Taifa Cup in October and FIBA Zone 5 National teams Championships scheduled to be held here in Dar es Salaam in Dec, 2012.<br />
We are also requesting Cocacola to continue to refurbish more basketball courts for the benefit of our youth; this is in line with our strategic plan as part of sports infrastructure development programme.</p>
<p>Thank you,</p>
<p>Phares Magesa<br />
TBF- Vice President</p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/Rx2mBXGcvZg" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/sprite-hasheem-thabeet-u17-basketball-clinic-june-1-2-2012/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/sprite-hasheem-thabeet-u17-basketball-clinic-june-1-2-2012</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>Afrika itakavyosuka au kunyoa Olimpiki 2012, London.</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/EBwNEuv33MM/afrika-itakavyosuka-au-kunyoa-olimpiki-2012-london</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/makala-za-michezo/afrika-itakavyosuka-au-kunyoa-olimpiki-2012-london#comments</comments>
		<pubDate>Mon, 28 May 2012 11:42:22 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Makala za Michezo]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6762</guid>
		<description><![CDATA[*Nini matarajio ya Watanzania? *Pata takwimu za maandalizi ya kila nchi MICHEZO ya Majira ya Joto ya Olimpiki ni fursa muhimu kwa wadau wa michezo kuonyesha umahiri wa nchi zao katika medani mbalimbali. Afrika, moja ya mabara yenye vipaji vingi kwa asili, imejiandaa kwa namna tofauti, kutegemea mwamko wa nchi moja hadi nyingine. Zipo ambazo [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>*Nini matarajio ya Watanzania?<br />
*Pata takwimu za maandalizi ya kila nchi</p>
<p>MICHEZO ya Majira ya Joto ya Olimpiki ni fursa muhimu kwa wadau wa michezo kuonyesha umahiri wa nchi zao katika medani mbalimbali.<br />
Afrika, moja ya mabara yenye vipaji vingi kwa asili, imejiandaa kwa namna tofauti, kutegemea mwamko wa nchi moja hadi nyingine.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/makala-za-michezo/afrika-itakavyosuka-au-kunyoa-olimpiki-2012-london/attachment/dsc02048-2" rel="attachment wp-att-6766"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/DSC02048-500x375.jpg" alt="" title="waogeleaji katika sehemu yatakapofanyika mashindano" width="450" height="337" class="aligncenter size-large wp-image-6766" /></a></p>
<p>Zipo ambazo zimekuwa na sifa kubwa ya ushiriki, lakini zinazojivunia rekodi ya ushindi wa medali kedekede ila si nyingi sana.<br />
Safari hii michuano inafanyika Uingereza, moja ya nchi kubwa na mshirika mkubwa wa Afrika, vumbi likitimka kuanzia Julai 27 hadi Agosti 12 jijini London, mara ya tatu kwa jiji hili kuiandaa.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/makala-za-michezo/afrika-itakavyosuka-au-kunyoa-olimpiki-2012-london/attachment/dsc02102" rel="attachment wp-att-6764"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/DSC02102-500x375.jpg" alt="" title="DSC02102" width="450" height="337" class="aligncenter size-large wp-image-6764" /></a></p>
<p>Wakati miezi ikikatika kuelekea sherehe za ufunguzi na hatimaye wanamichezo kuonyesha umahiri wao, Waafrika hawajabaki nyuma katika kujiandaa, hata kama ni kwa uchache.</p>
<p>Kwa bahati mbaya, ni katika mwonekano hasi nchi kama Tanzania inaonekana, kwa sababu ya maandalizi mabovu, yanayosababisha kuwakilishwa na wanamichezo wachache, lakini pia ndoto ya kuzoa medali kufifia hata kabla mashindano kuanza.<br />
Kila miaka minne watu wamekuwa wakisubiri kwa hamu mtu wa kuvunja rekodi za akina Filbert Bayi na Suleiman Nyambui.</p>
<p>Wawili hawa ndio sura ya Tanzania, linapokuja suala chanya la Olimpiki, kwani ndio pekee walioipatia nchi medali, tena za fedha na wote katika riadha kwenye michuano ya mwaka 1980.<br />
Bayi alipata medali yake kutokana na ushindi wake katika mbio za mita 3,000 kwa wanaume kuruka viunzi wakati Nyambui alishinda katika mbio za wanaume mita 5,000 – wote kwenye mashindano yaliyofanyika Moscow, Urusi.</p>
<p>Miaka zaidi ya 30 leo, bado hakuna Mtanzania aliyeweza kufikia, achilia mbali kuvunja rekodi hizo, au wale wa michezo mingine kung’aa.<br />
Simulizi za maandalizi mabovu ziliendelea kama ilivyotarajiwa katika kupata washiriki wa michuano ya mwaka huu.</p>
<p>Hata baadhi ya wanamichezo walipotangaza au kutangazwa kwamba wangeshiriki mashindano haya, palibakia utata, huku mamlaka husika ndani ya nchi ikiwa haina uhakika na kufuzu huko.</p>
<p>Hilo liliwapata wanariadha Mseduki Mohamed nan Faustine Mussa, ambao ilibidi wabaki wamepigwa butwaa hadi pale Shirikisho la Riadha la Kimataifa (IAAF) lilipokuja kutoa tamko.</p>
<p>IAAF ilithibitisha kwamba wawili hao walishiriki kwenye mashindano wanayo yasimamia, na kwamba walifanya vizuri na kufuzu kushiriki kwenye michuano hii ya Olimpiki.<br />
Mseduki alishiriki kwenye michuano iliyofanyika nchini Poland Mach 29 wakati Faustine alicheza Ujerumani Mei 6 na kufanikiwa kufikia viwango.</p>
<p>Ilivyotokea ni kwamba, baada ya wanariadha hao kusema walishiriki mashindano na kufuzu kwa ajili ya ichuano hii kupitia Chama cha Riadha Tanzania (AT), Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) haikuweza kuidhinisha madai hayo, kwa sababu haikuwa na uthibitisho, hadi IAAF walipowaandikia rasmi.</p>
<p>Kwa hali ilivyo, Tanzania itawakilishwa na wachezaji sita kwenye Michuano ya Olimpiki. Wanariadha watakuwa wanne. Watakaoungana na hao wawili wa mwanzo ni Zakia Mrisho na Samson Ramadhan walio kambini tayari.</p>
<p>Michezo mingine ni ngumi, ambapo bondia mmoja, Seleman Kindunda ataiwakilisha nchi kama itakavyokuwa kwa Magdalena Moshi kwa upande wa kuogelea. Huyu amekuwa kambini nchini Austria anakosomea masuala ya utabibu michezoni.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/makala-za-michezo/afrika-itakavyosuka-au-kunyoa-olimpiki-2012-london/attachment/dsc02132" rel="attachment wp-att-6765"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/DSC02132-500x375.jpg" alt="" title="DSC02132" width="450" height="337" class="aligncenter size-large wp-image-6765" /></a></p>
<p>Katibu Mkuu wa TOC, Filbert Bayi (aliyenyakua media ya fedha mwaka 1980), anasema kwamba Tanzania itakuwa na msafara wa watu 13 kwenye mashindano hayo.<br />
Hao wanatarajiwa kuondoka nchini kwa safari ya London kati ya Julai 6 na 7 na kuweka kambi katika Chuo cha Bradford kilichopo Leeds.</p>
<p>Katika msafara huo, watakuwapo makocha wawili – mmoja wa kuogelea na mwingine wa ngumi na wengine watakaoambatana na timu ni viongozi.<br />
Ikiwa maombi ya Chama cha Kuogelea Tanzania yatakubalia na Kamati ya Kimataifa ya Olimpki (IOC), Tanzania itapata uwakilishi zaidi, ambapo mwogeleaji mmoja wa kiume ataongezwa.</p>
<p>Hiyo ndiyo Tanzania, maandalizi na picha inayotolewa kwa ajili ya matokeo kwenye michezo hii muhimu, ambayo nchi zinawekeza vilivyo, kwani ni jukwaa muhimu la kujitangaza na kujipatia sifa.</p>
<p>Na katika Bara la Afrika pia, maandalizi ya wanamichezo kwa ajili ya Olimpiki si haba, ndiyo maana katika nchi mbalimbali unaweza kukuta mashindano ambayo hukujua kama yapo – kumbe ndiyo ya mchujo kwa ajili ya Olimpiki.</p>
<p>Vyombo vya habari katika nchi husika pia, vimejikita kwa sasa kufuatilia na kutoa habari za wanariadha wake zaidi, wakijua ni mbegu zinazopandwa sasa zitakazovunwa Julai na Agosti jijini London.</p>
<p>Ethiopia na Kenya ndizo nchi za Afrika zinazopewa nafasi kubwa zaidi za kufanya vizuri kwa kuzoa medali kwenye Olimpiki mwaka huu.<br />
Wanamichezo wake si wa kawaida na programu zao za Olimpiki hupewa uzito mkubwa, mazoezi yakiwa ya kina, ili kuhakikisha nchi zao haziaibiki na hazipendi kushiriki tu bali kushindana na kujipa nafasi kubwa ya kushinda.</p>
<p>Kuna nchi kama Togo ambazo zipo chini, zikituma wanamichezo wawili wawili tu, kwa sababu haziwezi kumudu kupeleka wengi zaidi hata kama wangekuwa wamefuzu.<br />
Ngumi ni moja ya mashindano yanayowezesha nchi za Afrika zisizokuwa na umaarufu michezoni kuwakilishwa kwenye Olimpiki. </p>
<p>Hapa zinazungumziwa nchi kama Algeria, Botswana, Cameroon, Swaziland na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).<br />
Ukiacha ngumi, kuna michezo mingine kama badminton, taekwondo na judo ambayo hutokea kuibua watu wasiotarajiwa kutoka maeneo yasiyotarajiwa pia na kutinga kwenye Olimpiki kama utani.</p>
<p>Wanamichezo kutoka Sudan Kusini na Somalia, kwa mfano, watashiriki Olimpiki, licha ya maandalizi duni nyumbani na ukosefu wa udhamini kwao.<br />
Angola ndiyo nchi yenye timu bora zaidi katika mchezo wa kikapu barani Afrika na wana matumaini makubwa ya kutwa medali mwaka huu. Pamoja na timu hiyo, Angola inapeleka London waogeleaji wawili.</p>
<p>Benin inatuma waogeleaji wawili na wanariadha wanariadha wawili kadhalika pamoja na mshindani mmoja wa mchezo wa taekwando.<br />
Nyota inamuwakia Amantle Montsho, mwanariadha wa Botswana ambaye ni bingwa wa dunia wa mbio za mita 400, ambaye huenda akaipatia nchi yake medali ya kwanza kwenye mashindano hayo.</p>
<p>Msichana huyo mdogo amejijengea stamina kwa kukimbizana na mbuni kwenye makonde makavu wakati akienda shuleni kaskazini mwa Botswana.</p>
<p>Baba yake ni mfanyabiashara anayemiliki duka dogo la bidhaa za rejareja na hakuamini alipopelekewa taarifa, kwamba bintiye anakimbia kwa kasi kama mvulana!<br />
Burkina Faso inawakilishwa na wachezaji sita watakaoshindana kwenye riadha, fencing, kuogelea na judo. Cape Verde itawakilishwa na mwanasarakasi na bondia kwenye Olimpiki. Kama ilivyo kwa nchi nyingine ndogo za Afrika, Cape Verde ina wakati mgumu kugharamia wanamichezo wake.</p>
<p>Misri imefuzu kwa mchezo wa kuogelea wenye manjonjo ya aina yake, kama waogeleaji kucheza dansi au sarakasi majini. Kadhalika itawakilishwa kwenye kulenga shabaha, badminton, ngumi, mpira wa mikono, kupiga makasia na sarakasi.<br />
Ushiriki wa Misri si haba, kwani nchi hii ya Afrika Kaskazini ina zaidi ya wanamichezo 100, na ingawa si wengi wana nafasi ya kutwaa medali, itavutia kuifuatilia timu yenyewe.</p>
<p>Ethiopia, kama ilivyoelezwa awali, ina nafasi kubwa ya kutwaa medali kadhaa za dhahabu. Haile Gebrselassie ni moja ya nyota wake, akikimbia mbio ndefu na ameshapata medali ya dhahabu mara mbili na sasa anashikilia rekodi ya dunia ya mbio za nyika.<br />
Yupo mwingine – Kenenisa Bekele aliyetwaa medali ya dhahabu mwaka 2008 anayechuana tena kulinda heshima au hata kuvunja rekodi.<br />
Ethiopia itakuwa na wanamichezo 34, baadhi wakipewa nafasi kubwa ya kutwaa medali za dhahabu. Si ajabu wakatwaa dhahabu kwenye mbio za mita 10,000.<br />
Washiriki wake, isipokuwa mmoja wanashindana kwenye mbio ndefu na za kati.<br />
Mmoja ni bondia, Molla Getachew anayepigana katika uzito mwepesi wa unyoya. Huyu hamiliki hata gloves za kupigana, bali huazima kwenye kituo kibovubovu cha mazoezi anakojifua.</p>
<p>Guinea ya Ikweta nayo inashiriki Olimpiki mwaka huu, ikiwa na wachezaji watatu – mmoja wa judo na wawili wa riadha.<br />
Vipi kuhusu Eritrea? Licha ya umasikini wake uliokithiri, mwaka huu inapeleka wachezaji 11 London, wengi wao wakiwa wanariadha. Tumaini lao kubwa lipo kwa mkimbiaji wa mbio ndefu Zersenay Tadese.</p>
<p>Gabon iliyokuwa mwenyeji mwenza wa mashindano ya Kombe la Mabingwa Afrika mwaka huu inapeperushiwa bendera yake na mshindani mwanamama kwenye judo, bondia na wanariadha kadhaa.</p>
<p>Gambia itakuwa na wanariadha wawili na bondia mmoja.<br />
Ghana inawinda medali kwa kupeleka mabondia watano, wanariadha wawili, akiwamo mrukaji aitwaye Ignatius Gaisah anayepewa nafasi kubwa ya kutwaa medali.</p>
<p>Mabondia wa Ghana wanafanya vyema chini ya kocha wao kutoka Cuba, Roberto Ibanez Chavez, aliyefanikiwa kwa kiasi kikubwa kurejesha hadhi ya mchezo huo Ghana.</p>
<p>Nyota nyingine ya Afrika ni Kenya, kwani imekuwa na mafanikio michezoni katika ngazi za kimataifa, huku kikosi chake kinachotinga London majira haya ya joto kikiwa na watu 80.</p>
<p>Humo kuna wanariadha 36, waogeleaji, mpiga makasia, mabondia na mchezaji wa taekwondo.<br />
Matarajio ya medali kwa Kenya yapo zaidi kwa wanariadha wa mbio ndefu – mbio za nyika zikitarajiwa kuleta matunda, kwani Wilson Kipsang na Mary Keitany walifunika na kuibuka na medali kwenye mashindano ya mbio za nyika yaliyofanyika London mwezi Aprili.</p>
<p>Hakuna wasiwasi kwa wanariadha wengine, kwani wote wamepata maandalizi mazuri. Wengine wanaotakiwa kuchungwa na washindani wao ni pamoja na Robert Cheruiyot (mbio ndefu/mbio za nyika) na msichana mdogo Pamela Jelimo anayekimbia mbio za mita 800 aliyeshinda karibu kila alikoshiriki katika majira haya ya joto.</p>
<p>Mwingine ni Ezekiel Kemboi aliyebobea kwenye kuruka viunzi; Edwin Cheruiyot Soi mbio za mita 5,000; David Rudisha na Wilfred Bungei wanaoshiriki mbio za mita 800 wanaume.</p>
<p>Wapo washiriki wengine wengi wenye fursa nzuri za kushinda kwenye mashindano haya muhimu, na kwa ujumla Kenya ina kikosi kinachotarajiwa kutoa ushindani mkubwa, hivyo kuvutia watazamaji.</p>
<p>Madagascar inapeleka wanariadha kadhaa, mcheza judo, bondia, waogeleaji wawili. Mwogeleaji wa kike, anatarajiwa kuwapa wakati mgumu watangazaji, kwani jina lake ni refu kupita kiasi – anaitwa Aina Andriamanjatoarimanana.</p>
<p>Malawi ina waogeleaji wawili na wanariadha wawili pia. Mwogeleaji mmoja ana umri wa miaka 14, Zarra Pinto anayesoma Shule ya Sekondari ya St. Andrews jijini Blantyre. Nchi hii ya kusini mwa Afrika haitarajii kupata medali, lakini yapo matumaini ya kukua kimichezo kwa siku zijazo.</p>
<p>Mali ina timu nzima ya mpira wa kikapu inayokwenda London pamoja na waogeleaji wachache na mwanariadha mmoja.<br />
Mauritania imefanikiwa kupata wanariadha wawili wakati Mauritius itawakilishwa na washiriki tisa kwenye medani tofauti, ikiwamo badminton na kurusha mikuki.<br />
Morocco imejizatiti, kwani safari hii ina kundi la washiriki 50, wengi wao wakiwa wanariadha. Matumaini yake ya kutwaa medali ni kwa wanariadha wa mbio ndefu na wale wa mbio za nyika.</p>
<p>Amine Laalou anayekimbia mita 800 pia anapewa nafasi kubwa kunyakua medali.<br />
Msumbiji inaingia kwenye michuano hii na waogeleaji wanne, mwanamieleka mmoja, wanariadha wawili, mmoja maarufu katika mbio za mita 800 – Maria Mutola, akishiriki kwa mara ya sita kwenye Olipiki, jambo ambalo si la kawaida.</p>
<p>Sura ya Namibia kwenye Olimpiki hii ni shujaa wake, Frankie Fredericks, na pamoja naye, wapo washiriki wengine waliofuzu katika michezo ya kulenga shabaha, kuendesha baiskeli, ndondi na riadha.</p>
<p>Nigeria imepanga kutafuta mataji kwa kupeleka washiriki katika michezo tofauti, wakiwamo wanariadha wa mbio fupi. Wawili kati yao walishawahi kupata medali, nao ni Olusoji Fasuba na Damola Osayemi. </p>
<p>Nigeria inapeleka pia timu mbili za soka (wanaume na wanawake) na wanatarajia kutoa ushindani mkubwa kwenye masumbwi, mpira wa meza, judo, mieleka, kunyanyua vitu vizito, taekwondo, badminton na kuogelea.</p>
<p>Rwanda ina waogeleaji wawili na wanariadha kwa idadi hiyo hiyo.<br />
Ama kwa upande wa Senegal, ina washiriki 16 wanaokwenda kwenye Olimpiki hii, wakijigawa katika michezo ya kuendesha mitumbwi, judo na taekwondo. Mwanariadha Aminata Diouf ni mmoja wa walio tishio na hii ni michuano yake ya Olimpiki ya tatu kushiriki.</p>
<p>Somalia ingalipo, na inapeleka wanariadha wawili ambao kwa kweli wanatarajia kutwaa medali za dhahabu. Kambi yao ya mazoezi ni imo kwenye kiwanja kikuu kuu kaskazini mwa Mogadishu.</p>
<p>Afrika Kusini si nchi ya kutania kwenye michezo. Wamewekeza hasa, na umakini wake unaonekana katika kikosi chao, ambacho ni kikubwa kuliko nchi nyingi zote barani Afrika.<br />
Wamepanga kupeleka washiriki 225 London, wakiwa wamefuzu kwenye michezo kama wa magongo, kulenga shabaha, kuogelea, riadha, bmx, kupiga makasia, mashindano ya mitumbwi, kufyatua mishale kutoka kwenye pinde, mieleka na kuendesha baiskeli.<br />
Moja ya habari kubwa zaidi za michezo za kuvutia nchini humo ni kuhusu mwanariadha wa mbio za mita 400, Oscar Pistorious. Alikuwa anakaribia kufuzu kushiriki Olimpiki, lakini cha kushangaza ni kwamba hana miguu na watu humwita mkimbiaji bapa.</p>
<p>Miguu yake imekatika, hivyo hutumia ya bandia ijulikanayo kama Cheetah Blades.<br />
Mwaka 2008, mwogeleaji wa masafa marefu, Natalie du Toit alipamba vichwa vya habari baada ya kufuzu kwa Olimpiki, akiwa mwanamke wa kwanza aliyekatwa miguu kufanya hivyo tangu zama za Olivér Halassy mwaka 1936.<br />
Afrika Kusini inao waogeleaji 24 na mpiga mbizi mmoja, wote wakiingia kwa kujiamini kwenye Olimpiki hii.</p>
<p>Ronald Schoeman ni mahiri na anapewa nafasi kubwa ya kutwaa medali, kama ilivyo kwa wenzake, Suzaan van Biljon na Gerhard Zanberg wanaoogelea kwa kurudi nyuma.<br />
Sudan inaingiza washindani saba kwenye Michezo ya Olimpiki, wakiwamo wanariadha kutoka kipande cha nchi hiyo kilichochakazwa kwa vita cha Darfur.</p>
<p>Pamekuwapo na miito ya kuizuia Sudan kushiriki michezo hii, kutokana na hali ya kisiasa ilivyokuwa Darfur wakati wa Michezo ya Olimpiki ya mwaka 2008.<br />
Hata hivyo, kama mshiriki mmoja alivyosema wakati ule: “Kuna habari nimesikia, lakini ukweli ni kwamba hazinihusu. Sisi sote ni Wasudani, nami nakimbia kwa ajili ya Sudan.”<br />
Mshiriki huyo alisema hayo wakati wa mapumziko, akiwa kwenye mazoezi katika uwanja wa riadha uliokuwa umejengwa nusu nchini mwake.</p>
<p>Mwaka 2008 Sudan ilipata medali moja tu – ya fedha kwa mwanariadha wa mbio za mita 800. Mwaka huu, mwanaridha Abubaker Kaki anatumaini kusigishana na Wakenya kwenye mbio hizo ili aipatie nchi yake medali ya dhahabu.</p>
<p>Hata hivyo, washiriki wa Sudan wanakabiliwa na uhaba wa viwanja vya mazoezi na kwa kiasi kikubwa wanafadhiliwa na vikundi vya hiari vya Uingereza.<br />
Hali hii ni tofauti kabisa na jirani zao wa Ethiopia na Kenya wenye viwanja vizuri na mipango thabiti ya mazoezi kwa wanamichezo wake. Kadhalika kuna fursa nyingi za ufadhili zinazotolewa kwa mshiriki mmoja mmoja.</p>
<p>Togo inayotuma washiriki wawili ni mfano anuai wa nchi ya Afrika isiyokuwa na fedha za kuwadhamini wanamichezo wake kwa ajili ya Olimpiki.<br />
Tunisia ina kikosi kikubwa kwa ajili ya michezo hii, wakiwamo watakaoshiriki riadha, ndondi, mashindano ya mitumbwi, kuogelea, mieleka, mpira wa meza na mingine mingi. Kwa ujumla wana washiriki 32 katika michezo 10.</p>
<p>Uganda ina msafara usio mdogo, kwani itaingiza washiriki 11 katika michezo minne, kama vile waogeleaji, wanariadha na yumo mchezaji namba moja wa badminton Afrika, Edwin Ekiring.</p>
<p>Zambia inaingiza mwanamasumbwi mmoja na wanariadha sita wanaotarajia kujifanya vyema, hata kama hawatazoa medali safari hii. Atakuwapo pia mchezaji mmoja wa badminton.</p>
<p>Licha ya hali tete ya kisiasa nchini Zimbabwe, taifa hilo linapeleka washiriki 13 London, likiwamo tegemeo lake kubwa &#8211; Kirsty Coventry.<br />
Huyu alishinda medali tatu kwenye mashindano ya Athens, Ugiriki mwaka 2004 na ndiye anashikilia rekodi ya dunia katika kuogelea kwa kurudi nyuma.</p>
<p>Baada ya mafanikio yake kwenye mchezo huo, watoto kadhaa waliozaliwa nchini mwake walipewa jina lake – Kristy – baadhi wakipewa jina la katikati la Coventry, na hata wengine wakiitwa ‘Goldmedal’ au ‘Threemedals’, ilimradi kusherehekea mafanikio yake aliyopata Ugiriki.</p>
<p>Hiyo ndiyo hali ya Afrika, na hayo ndiyo matarajio ya kufanya vizuri au vibaya; kusuka au kunyoa; kupwa au kujaa kwa Afrika kwenye michuano hii mikubwa duniani.<br />
<a href="saria@tanzaniasports.com" title="Niandikie">saria@tanzaniasports.com</a></p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/EBwNEuv33MM" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/makala-za-michezo/afrika-itakavyosuka-au-kunyoa-olimpiki-2012-london/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/makala-za-michezo/afrika-itakavyosuka-au-kunyoa-olimpiki-2012-london</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>Twiga Stars meet  Ethiopia</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/Tkv_des_5v8/twiga-stars-meet-ethiopia</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/twiga-stars-meet-ethiopia#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 27 May 2012 07:18:04 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6756</guid>
		<description><![CDATA[Tanzania women national soccer side, Twiga Stars, face regional rivals Ethiopia in the first leg of the last qualifying round of the Africa Women Championship (AWC) in Addis Ababa. The teams will meet in the return leg match on June 16 at the National Stadium, with the winning side qualifying for the finals to be [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Tanzania women national soccer side, Twiga Stars, face regional rivals Ethiopia in the first leg of the last qualifying round of the Africa Women Championship (AWC) in Addis Ababa.</p>
<p>The teams will meet in the return leg match on June 16 at the National Stadium, with the winning side qualifying for the finals to be hosted by Equatorial Guinea mid-November.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/jkt-maarufu-kwa-timu-za-netiboli-sasa-wataka-ubingwa-wa-soka/attachment/twigapressphoto2-2" rel="attachment wp-att-6166"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2011/10/TwigaPressPhoto2-500x333.jpg" alt="" title="Twiga star player" width="450" height="299" class="aligncenter size-large wp-image-6166" /></a></p>
<p>The team trained by Boniface Mkwasa advanced into this stage after hammering Namibia’s Brave Gladiators by a 7-2 aggregate in January. They won 2-0 in their away match in Windhoek before posting an emphatic 5-2 win in the return leg tie at home.</p>
<p>The Ethiopian side qualified for the final round at the expense of Egypt, one of the pre-tournament favourites. The Ethiopian ladies nicknamed &#8220;Dinkinesh&#8221; defeated their Egyptian counterparts 4-0 in the return leg to advance to the first round on a 6-4 aggregate score.</p>
<p>Twiga Stars were looking upon the Egyptian team as their likely opponents in the coming round after the Pharaohs had won 4-2 in the first leg match but the Ethiopians seized the opportunity of playing on home soil to turn the tables and sail through.</p>
<p>Mkwasa will need to be extra keen in today’s game putting in mind that the home side are always a hard nut to crack when playing at home.</p>
<p>Ethiopia coach Abraham Haimanot will also be looking to maintain his unbeaten record at home.</p>
<p>Players who are in Ethiopia are Amina Ally, Asha Rashid, Ester Chabruma, Ettoe Mlenzi, Evelyn Sekikubo, Fadhila Hamad, Fatuma Bashiri, Fatuma Khatib, Fatuma Mustafa, Fatuma Omari, Maimuna Said, Mwajuma Abdallah, Mwanahamisi Omari, Mwanaidi Tamba, Mwapewa Mtumwa, Rukia Hamis, Semeni Abeid and Zena Khamis.</p>
<p>Twiga Stars were recently beaten 5-2 by South Africa’s Banyana Banyana in a friendly match in Dar es Salaam. They also lost 1-4 at the hands of Zimbabwe in another build up game.</p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/Tkv_des_5v8" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/twiga-stars-meet-ethiopia/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/twiga-stars-meet-ethiopia</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>Drogba: Kama si ubingwa nisingeondoka Chelsea</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/qS9fuK6ntv0/drogba-kama-si-ubingwa-nisingeondoka-chelsea</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-kama-si-ubingwa-nisingeondoka-chelsea#comments</comments>
		<pubDate>Thu, 24 May 2012 20:04:19 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6745</guid>
		<description><![CDATA[*Amshukuru Abramovich, Mourinho na wazazi Mchezaji nyota wa Chelsea, Didier Yves Drogba Tébily anasema huu ni wakati mwafaka kuondoka Stamford Bridge baada ya kutwaa ubingwa wa Ulaya. Nahodha huyo na mfungaji bora wa jumla wa timu ya taifa ya Ivory Coast, anasema iwapo Chelsea haingetwaa taji hilo kubwa zaidi Ulaya, hangefikia uamuzi wa kuondoka. Mshambuliaji [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>*Amshukuru Abramovich, Mourinho na wazazi</p>
<p>Mchezaji nyota wa Chelsea, Didier Yves Drogba Tébily anasema huu ni wakati mwafaka kuondoka Stamford Bridge baada ya kutwaa ubingwa wa Ulaya.<br />
Nahodha huyo na mfungaji bora wa jumla wa timu ya taifa ya Ivory Coast, anasema iwapo Chelsea haingetwaa taji hilo kubwa zaidi Ulaya, hangefikia uamuzi wa kuondoka.<br />
Mshambuliaji huyo wa kati anaondoka Chelsea kama bingwa, mkongwe na maarufu klabuni hapo na mfano wa kuigwa kwa mamilioni kwa jitihada alizotia kwenye soka na kutokata tamaa ya kusaka taji hilo la heshima.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-kama-si-ubingwa-nisingeondoka-chelsea/attachment/chelsea02" rel="attachment wp-att-6746"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/chelsea02-500x338.jpg" alt="" title="chelsea02" width="450" height="304" class="aligncenter size-large wp-image-6746" /></a><br />
“Kama hatungetwaa Kombe la Ubingwa wa Ulaya ningebaki, tumefukuzana na taji hili kwa miaka minane. Tulifikia mahali kule Moscow tukaliona na kulikaribia kabisa, lakini tukashindwa hata kuligusa.<br />
“Hii ilikuwa changamoto kwa wale waliokuwa Moscow, tukadhamiria kurejea kwa nguvu hadi tulipate na tukafanya kila kitu kwa ajili hiyo. Imetugharimu kwneye ligi lakini bora tu.<br />
“Jumamosi nilikuwa kwenye mchezo wangu wa mwisho na Chelsea na nimefurahia sana miaka yangu minane hapa. Kumaliza nikiwa juu na Kombe la Ubingwa wa Ulaya lilikuwa jambo bora kuliko yote.<br />
“Kwa siku mbili za mwisho nilikuwa najisikia kuwa na umri wa miaka 40 badala ya 24! Kucheza fainali ukiwa na miaka 34, tena ucheze muda wa ziada na kufanikisha kile nilichofanya, najivunia.<br />
“Kuchezea Chelsea ndicho kitu kizuri zaidi ambacho kingeweza kutokea maishani mwangu, si kama mchezaji tu, bali pia kama mwanadamu.<br />
“Nimejipatia rafiki wengi hapa, jambo ambalo kwa kawaida huwa ni gumu sana kwenye soka, na watabaki rafiki zangu maishani kwa sababu tumeweka historia hapa,” Drogba anasema akifurahia kutimiza ndoto yake hiyo.<br />
Kipi kinafuata baada ya hapa? Drogba ana haya ya kusema: “Mjadala wa kubaki hapa au la haukujikita juu ya pesa kama watu wanavyodai. Siku zote nimefurahia ninachokuwa nacho kibindoni na mikataba yangu na familia ina furaha pia.<br />
“Si kwamba hawanitaki hapa. Tulikaa pamoja sote na bosi (Roman Abramovich), Ron Gourlay (mtendaji mkuu) na kila mmoja kwenye bodi aliheshimu uamuzi wangu. Najua nilichowafanyia nao wanajua walichonifanyia.<br />
“Nitajipa muda kwa ajili ya kufanya uamuzi sahihi. Mie na mke wangu tutakwenda kupumzika kidogo, japokuwa kuna michezo ya timu ya taifa. Sitachezea timu nyingine ya Uingereza.<br />
“Naiheshimu sana na utii wangu upo kwa Chelsea damu yangu ni ya bluu, kwa kweli nitawakosa sana washabiki lakini daima watakuwa moyoni mwangu.”<br />
Imekuwa inadaiwa kwamba huenda Drogba akaungana na mchezaji mwenzake wa zamani wa Chelsea, Nicolas Anelka katika klabu ya Shanghai Shenhua ya China.<br />
“Ni dhahiri nimecheza naye (Anelka) kwa miaka mingi. Ilikuwa ngumu kuachana naye alipoondoka lakini hiyo ni sehemu ya soka na maisha. Anafurahia kule na anajitahidi vilivyo kuisaidia klabu. Lakini ukweli ni kwamba hakika nataka kuendelea kutafakari juu ya kilichotokea Jumamosi badala ya kuzungumza kuhusu China, Marekani na kwinginepo.<br />
“Tangu nikiwa  mtoto niliota kuhusu nyakati kama hizi, mazingira yalikuwa safi kabisa. Ni kama filamu vile.<br />
“Mpaka leo nataka bado kuwa Munich kwenye uwanja ule wa mpira, nikishangilia na kusherehekea na washabiki. Ilipita mno haraka mara ya kwanza. ningependa ichukue muda mrefu zaidi.<br />
Licha ya ushindi wa Jumamosi, Drogba anataja nyakati nyingine mbili za furaha: “Kutwaa taji la kwanza na Bolton (mwaka 2005) na goli bora zaidi lilikuwa kwenye Kombe la FA dhidi ya Manchester United (mwaka 2007), lile la kwanza kwenye uwanja mpya wa Wembley, nikilifunga katika muda wa ziada.”<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-kama-si-ubingwa-nisingeondoka-chelsea/attachment/drogba02" rel="attachment wp-att-6747"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/drogba02-500x281.jpg" alt="" title="drogba02" width="450" height="252" class="aligncenter size-large wp-image-6747" /></a><br />
Anajivunia kile anachokiacha, akisema: “Siwezi kusema sisi ndio tumeileta Chelsea, bali tumeleta zama mpya. Kwa kweli tumejenga kitu imara sana kiutambulisho.<br />
“Sasa tunakwenda popote duniani na kila mtu anajua kuhusu Chelsea. Nenda Afrika, watu wanaizungumzia Chelsea. Naona watoto wanavaa fulana za Chelsea mitaani…india na kila mahali chapa inayotamba ni ya Chelsea.”<br />
Chelsea inaweza kujiimarisha kwenye msingi wa ushindi dhidi ya Bayern Munich. “Bila shaka matarajio ya washabiki na mmiliki mwenyewe ni sambamba na kile tulichofanya Jumamosi.<br />
“Sasa tumeshaweka kigezo ambacho akija mtu Chelsea, lazima akione kama kitu cha msingi cha kujaribu kufanikiwa, ni kuhakikisha unapata nafasi kufika kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya au kutwaa taji lenyewe.<br />
“Hilo ndilo klabu inalotakiwa kufanya kwa kuwa kama Barcelona, AC Milan au Real Madrid barani Ulaya. Tuna kombe moja tu la Ubingwa wa Ulaya, na tunahitaji zaidi,” anajenga hali ya uendelevu wa kutaka mafanikio michezoni.<br />
Je, Falcao wa Atlético Madrid ataweza kuvaa viatu vyake Chelsea?<br />
“Najua ni mchezaji mzuri sana lakini hilo si langu kuamua. Kitu pekee ninachojua ni kwamba tayari tunao washambuliaji wazuri sana. Kila mtu anajua<br />
Fernando (Torres) kuwa ni mchezaji mzuri. “Amekuwa na nyakati ngumu hapa na hii hutokea kwa kila mtu. Misimu yangu michache ya mwanzo ilikuwa migumu.<br />
“Kitu kizuri ni kwamba tunamuunga mkono. Najua msimu ujao atafanya vizuri zaidi. Chelsea ipo katika mikono salama kwa kuwa na Fernando. Ni wazi tutahitaji washambuliaji wapya, lakini Torres ataifanya kazi,” anamsifu.<br />
Katika kufanya maagano yake, Drogba anatoa shukurani:<br />
“Hakuna kati ya haya ambalo lingewezekana bila bosi mkubwa, Roman Abramovich. Kwa hiyo njia bora zaidi ya kumlipa ni kushinda Kombe la Ubingwa wa Ulaya.<br />
“Bosi alijitolea sana kwa ajili ya klabu hii. Kila mtu anazungumzia kuhusu kununua wachezaji ghali, lakini hakuna anayezungumzia kituo na vifaa vilivyopo Cobham, moja ya miundombinu bora zaidi duniani, na uboreshaji wa kituo cha michezo.<br />
“Alisema anaelewa hisia zangu, akaheshimu chaguo langu nami nikamwambia ningebaki mchezaji wa Chelsea milele. Ni mtu mzuri sana.<br />
“Alitoa kila kitu kwa familia yangu, akaiwezesha kupata fursa ya kufurahia maisha katika mitindo mikubwa ya aina yake. Kama mtakumbuka nilitoka Ivory Coast nikiwa sina vitu vyote hivi.<br />
“Kombe hili la Ubingwa wa Ulaya ni kwa makocha wote waliopita hapa na ambao wamekuwa wakilifukuzia. Kila mtu anamjua aliyenipa nguvu na yule niliyejifunza mengi kwake ni Jose (Mourinho). Alinipa hii tabia ya kushinda, hamu ya kuweka historia. Yeye ni mshindi na tunayo kwenye DNA zetu sasa.<br />
“Nazungumza kuhusu Jose kwa sababu alikuwa muhimu sana kwangu lakini aliyekuwa kocha kwa muda mfupi zaidi hapa ndiye ametwaa Kombe la Ubingwa wa Ulaya (Roberto Di Matteo).<br />
“Huyu ni mtu maarufu kwa Chelsea, amefanya kazi kubwa sana ya kuweza kubadili mawazo na mwelekeo wa wachezaji, kwa sababu hatukuwa katika hali nzuri kifikra.”<br />
Mambo hayakwenda vizuri chini ya Andre Villas-Boas. Drogba anamzungumziaje? “Andre ni rafiki. Ni ngumu. Inasikitisha kwamba ameondoka na hakutoa kwa Chelsea kile alichotaka kufanya hasa. Ikiwa timu haishindi ni rahisi kumnyooshea kocha kidole. Lakini ndani mwetu tunajua kwamba sisi ndio tunaowajibika.”<br />
Hata hivyo, Drogba anatupilia mbali mawazo kwamba ‘wachezaji waandamizi’ wa Chelsea ndio wanaoiongoza klabu.<br />
“Kocha anapokuja hapa, jua ameshakaa kitako na mmiliki, na bodi na wameshawekeana shabaha na malengo juu ya kile cha kufanikisha.<br />
“Wasipofanya hivyo, wanatoa sababu kwa bosi kufanya kile anachotaka kufanya, lakini si mchezaji. Nisingependa wachezaji fulani kuwa na ushawishi juu ya kocha, si vizuri kwao,” anasema.<br />
Di Matteo aliwarejeshea wachezaji hali ya kujiamini, na katika hili, Drogba anasema:<br />
 “Unaweza kumpanga mchezaji dimbani na kumpa hata michezo 30 lakini ikiwa hana ile hisia ya ushindi na kujiamini au mawasiliano si mazuri, hatakuwa na ufanisi.<br />
“Robbie alizungumza nasi mmoja mmoja na pia kwa pamoja alipokabidhiwa ukocha, ndipo tukalazimika kufanya kila kitu kwa ajili ya kujiokoa kwenye msimu huu. Kila mtu alitakiwa kujitazama na kubadili tabia kwa ajili ya klabu.<br />
“Robbie yumo katika mazingira kama yangu kwa sababu anakwenda kuzungumza na bodi na miliki na kuona kipi bora kwake na kwa klabu. Haijalishi kipi kitatokea sasa, ameweka historia.<br />
“Iwe anabaki au anaondoka sasa, ni kwamba amezidi kuwa mkongwe na maarufu katika Chelsea. Kazi aliyoifanya ilikuwa kubwa na ya kipekee – kututoa kwenye msimu mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka hadi kuwa mzuri kuliko yote.”<br />
Drogba amekumbana na nyakati ngumu kama “tulipopoteza mchezo kwenye nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Liverpool kwenye msimu wa kwanza, goli la mzimu” mwaka 2005.<br />
Anakiri kwamba kipindi kifupi cha kocha Luiz Felipe Scolari kati ya mwaka 2008 na 2009 “kulikuwa na nyakati chache kichwani mwangu nikiwaza itabidi niondoke.”<br />
Drogba pia alijihisi vibaya juu ya mwamuzi wa Norway, Tom Henning Ovrebo baada ya ushindi tata wa Barcelona mwaka 2009.<br />
“Ilikuwa ngumu kidogo kwake baada ya mchezo ule na ni soka tu. Wakati mwingine tunafungamanisha uzito mkubwa mno hapo kama nilivyofanya siku ile. Nilitaka kupata ushindi kwa nguvu hivyo kwamba mambo yalipokwenda vibaya, hisia zikaniteka,” anasema kwa masikitiko.<br />
Drogba aliyezaliwa Machi 1978, amekuwa pia akikabiliwa na tuhuma za kujirusha ili apate penalti au mpira wa adhabu nyingine.<br />
“Ninachohisi ni kwamba watu kwa kweli hawakufurahia Chelsea kuifunga Barca na walitarajia tushindwe mechi pale Nou Camp, ndiyo maana walikuwa wakijielekeza hivyo nilipoangushwa na kubaki pale chini.<br />
“Tulistahili kushinda mechi ile, si kwa sababu tuliutawala mchezo – hatukuutawala – lakini hamu yetu ilikuwa nzito kuliko viwango vyao.<br />
“Kidogo niliashangaa waliokuwa wanatukosoa, hata kama ni kweli nilijiangusha. Nilianguka baada ya kuguswa na mtu na kuna faulo zilifanywa lakini mwamuzi hakutoa adhabu,” anajitetea.<br />
Anapoulizwa angependa kumuigiza kwenye filamu ya maisha yake, Drogba anajibu kwa utani: “Jupp Heynckes (kocha wa Bayern Munich) alisema mimi ni mwigizaji mzuri wa filamu, kwa hiyo labda mie!”<br />
Drogba anaondoka Uingereza akiwa kweli mchezaji mwenye kuheshimiwa, kiasi cha kufikia kuomba kuubeba Mwenge wa Olimpiki katika maeneo ya Swindon, Kusini Magharibi mwa England.<br />
“Sikitiko langu ni kwamba sitashiriki kwenye Olimpiki. Natamani ingewezekana Ivory Coast wakaja tukacheza na ingekuwa Wembley, nina uhakika tungeshinda!” anasema kwani amekuwa na kawaida ya ushindi kwenye uwanja huo.<br />
Nyakati zote, Drogba amekuwa mnyenyekevu, akijaribu kuokoa maisha na kupunguza umasikini kwa mchango wake katika Umoja wa Mataifa.<br />
“Nawashukuru wazazi wangu kwa jinsi walivyonifundisha na pia kwa rafiki zangu – rafiki zangu wa kweli. Hawanioni kama nyota,” anasema anapojiandaa kuondoka Uingereza kama bingwa wa Ulaya.<br />
<a href="saria@tanzaniasports.com">saria@tanznaiasports.com</a></p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/qS9fuK6ntv0" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-kama-si-ubingwa-nisingeondoka-chelsea/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-kama-si-ubingwa-nisingeondoka-chelsea</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>Taifa Stars ijiandae vyema kukutana na Ivory Coast yenye DROGBA!</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/eqJULC71nIY/taifa-stars-ijiandae-vyema-kukutana-na-ivory-coast-yenge-drogba</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/taifa-stars-ijiandae-vyema-kukutana-na-ivory-coast-yenge-drogba#comments</comments>
		<pubDate>Tue, 22 May 2012 07:31:15 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6736</guid>
		<description><![CDATA[Kocha mpya wa timu yetu ya taifa ya soka (Taifa Stars), Kim Poulsen ameteua kikosi kilichoingia kambini wiki iliyopita kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia hatua ya makundi dhidi ya Ivory Coast itakayochezwa Juni 2 mwaka huu jijini Abidjan. Uteuzi huo ambao sisi tunaamini kwamba ni bora kabisa, umelalamikiwa na baadhi [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Kocha mpya wa timu yetu ya taifa ya soka (Taifa Stars), Kim Poulsen ameteua kikosi kilichoingia kambini wiki iliyopita kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia hatua ya makundi dhidi ya Ivory Coast itakayochezwa Juni 2 mwaka huu jijini Abidjan.</p>
<p>Uteuzi huo ambao sisi tunaamini kwamba ni bora kabisa, umelalamikiwa na baadhi ya mashabiki ambao hudhani kwamba soka linaendeshwa kisiasa.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/mainland-coach-set-to-be-named-today/attachment/tanzania-celebrate111111ss300-2" rel="attachment wp-att-6357"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2011/12/Tanzania-celebrate111111SS300.jpg" alt="" title="Tanzania-celebrate111111SS300" width="300" height="300" class="aligncenter size-full wp-image-6357" /></a></p>
<p>Kwamba kwa kuwa kutoka Simba wamechaguliwa wachezaji 11 basi ni lazima wachaguliwe idadi kama hiyo kutoka Yanga. Pole yao , kwa sababu soka linazingatia viwango.</p>
<p>Katika msimu uliomalizika ambao Yanga walitumia muda mwingi kulumbana kuliko kupigania ubingwa, wachezaji wao wengi waliong&#8217;aa walikuwa ni wa kigeni. Ungetarajia vipi kocha Kim Poulsen awaite Stars?</p>
<p>Wachezaji wazawa wa Simba na wa Azam ndio waliong&#8217;aa. Isingekuwa haki kama kocha Kim asingewazawadia haki yao ya kucheza kwa bidii kwa kuwaita kwenye timu ya taifa.</p>
<p>Lakini tunaposema wachezaji wetu wameng&#8217;aa kwa viwango, ni vyema tusivimbe vichwa na kudhani kwamba ni viwango vya dunia. Ni kwa viwango vya hapa Tanzania , ambavyo vinaifanya nchi yetu kushika nafasi ya 145 katika viwango vya FIFA vya ubora wa soka duniani.</p>
<p>Tukitambua udhaifu wetu na kuacha kujidanganya kwamba tunaweza, tutajua namna ya kutatua matatizo yetu wakati tunapoenda kuivaa Ivory Coast ya Didier Drogba katika michuano hii mikubwa.</p>
<p>Kwenye Ligi ya Klabu Bingwa UIaya, Chelsea ya Drogba ilifahamu kwamba ni dhaifu mbele ya Barcelona . Ilijua kwamba haipaswi kujidai inajua kumiliki mpira na kupiga chenga nyingi mbele ya akina Lionel Messi, Iniesta na Xavi.</p>
<p>Walikubali kuwa hawawezi kushindana kupiga pasi dhidi ya Barca hivyo wakatafuta mbinu mbadala ya kukabiliana nao. &#8216;Walipaki basi&#8217; langoni mwao. Wakawaacha Barcelona wapasiane, huku Drogba akajifanya ameumia kila dakika, jambo lililoongeza fadhaa kwa Barca kadri muda ulivyokuwa ukienda. Mashambulizi machache ya kustukiza yakawasambaratisha Barca, Chelsea ikasonga mbele.</p>
<p>Na juzi ikacheza kwa mbinu hizo hizo za kuwaruhusu wapinzani wawashambulie, wakae na mpira, wapige kona nyingi, lakini mwisho wa mechi wakaondoka na kombe la Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya kwenda nalo London kwa mara ya kwanza katika historia, kinyume na matarajio ya wengi.</p>
<p>Soka la siku hizi mbinu zinaleta matunda. Hatukatai kwamba bahati pia inahitajika, lakini hata ukiamua kucheza soka la wazi bado unahitaji bahati ili kusonga mbele.</p>
<p>Hivyo basi, tunapaswa kuanza kujiuliza maswali hapa kabla ya kwenda kuikabili Ivory Coast iliyojaa wachezaji nyota na wanaocheza katika ligi kubwa Ulaya kama Drogba na Salomon Kalou (Chelsea), Yaya Toure, Kolo Toure (Manchester City), Cheick Tiote (Newcastle), Gervinho (Arsenal), je sisi ni bora kuliko wao? Tunaweza kucheza pasi nyingi kuliko wao? Tunaweza kukaa na mpira kuliko wao?</p>
<p>Baada ya maswali hayo. Tunachopaswa kufanya ni kutafuta mbinu mbadala ya kuwakabili. Tunafahamu kwamba Drogba wakati akienda kuwakabili Barcelona , alikuwa akijua kwamba yeye ni mnyonge ndio maana akacheza kama alivyocheza.</p>
<p>Lakini akija hapa hatacheza vile, kwa sababu anajua sisi ndio wanyonge kwake.<br />
Je tuingie uwanjani kushindana kucheza soka kama lao? Je wakikaa na mpira, wachezaji wetu wachanganyikiwe kwa hofu ya kupigwa nyingi?</p>
<p>Maswali yote haya yanapaswa kutafutiwa majibu sasa wakati wachezaji wetu wameingia kambini kujiandaa kucheza dhidi yao .</p>
<p>Baada ya Simba kutolewa katika michuano ya Kombe la Shirikisho, kocha wa klabu hiyo, Milovan Cirkovic, alikaririwa akisema ataibomoa safu yake ya ulinzi kufuatia udhaifu ulioruhusu wakafungwa magoli matatu ndani ya dakika 15 na kisha kutolewa kwa penalti na Al Ahly Shandy nchini Sudan . </p>
<p>Kama tunakiri kuwa sisi ni dhaifu, na kama tutafanyia kazi mapema onyo la kocha Milovan kwamba safu yake ya ulinzi ina mapungufu, huku tukitambua kuwa mabeki watano wa safu ya Milovan wameteuliwa katika kikosi cha Stars, tunapaswa tujipange. Tujipange tena sana, kabla ya kuwakabili akina Drogba.</p>
<p>Tunapaswa kutambua kwamba, kama mabeki wa Simba walionekana kusumbuliwa na mipira ya juu dhidi ya Al Ahly Shandy katika mechi waliyolala 3-0 nchini Sudan, tutakuwa na kazi ngumu ya kuwadhibiti wachezaji warefu wa Ivory Coast kama Yaya Toure, au Drogba, ambaye ni mzuri hewani, aliyefunga goli la kichwa lililoiamsha Chelsea hadi kutwaa ubingwa wa UEFA juzi usiku.  </p>
<p>Tunaamini kwamba kocha Kim anatambua kuwa hatuwezi kujilinganisha na Ivory Coast. Basi tusijifanye tunajua sana dhidi yao. Mazoezi ya sasa Stars yalenge kuja kucheza kwa mbinu zaidi.</p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/eqJULC71nIY" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/taifa-stars-ijiandae-vyema-kukutana-na-ivory-coast-yenge-drogba/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/taifa-stars-ijiandae-vyema-kukutana-na-ivory-coast-yenge-drogba</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>Drogba: Chachu ya Chelsea kutwaa Ubingwa wa Ulaya</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/lMNpnSCZ_-0/drogba-chachu-ya-chelsea-kutwaa-ubingwa-wa-ulaya</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-chachu-ya-chelsea-kutwaa-ubingwa-wa-ulaya#comments</comments>
		<pubDate>Sun, 20 May 2012 22:12:07 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6728</guid>
		<description><![CDATA[Wapo walioifananisha safari ya Chelsea kuingia fainali ya Kombe la Mabingwa Ulaya na hadithi ya Cinderella – kutoka kwenye madhila na kutinga katika utukufu. Ushindi wao ulipatikana baada ya kupigiana mikwaju ya penalti na Bayern Munich mbele ya umati wa mashabiki wa klabu hiyo ya Ujerumani katika dimba lao la Allianz Arena, Munich. Chelsea wametawazwa [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p> Wapo walioifananisha safari ya Chelsea kuingia fainali ya Kombe la Mabingwa Ulaya na hadithi ya Cinderella – kutoka kwenye madhila na kutinga katika utukufu.<br />
Ushindi wao ulipatikana baada ya kupigiana mikwaju ya penalti na Bayern Munich mbele ya umati wa mashabiki wa klabu hiyo ya Ujerumani katika dimba lao la Allianz Arena, Munich.<br />
Chelsea wametawazwa rasmi kuwa mabingwa wa Ulaya, ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa klabu hiyo, miaka 107 iliyopita.<a href="info@tanzaniasports.com">info@tanzaniasports.com</a><br />
Ni vigumu kueleza jinsi Bayern walivyosalimu amri na kukubali kichapo, kwa sababu Wajerumani hao walitawala kila idara ya mchezo huo katika muda wa kawaida, lakini mashambulizi yao yakakosa makali wakati wa kumalizia.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-chachu-ya-chelsea-kutwaa-ubingwa-wa-ulaya/attachment/drogba" rel="attachment wp-att-6729"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/Drogba-500x338.jpg" alt="" title="Drogba" width="450" height="304" class="aligncenter size-large wp-image-6729" /></a><br />
Na hatimaye walipofanikisha kile walichodhani ni kulivunja daraja la Chelsea kupitia kwa kichwa cha nguvu cha Thomas Muller, Bayern wakaduwazwa dakika tano tu baadaye na Didier Drogba aliyesawazisha mambo.(www.tanzaniasports.com)<br />
Saa ilonyesha dakika 88 wakati Drogba akijipinda na kuweka bao muhimu kimiani kwa kichwa akiwa yadi sita kutoka golini.<br />
Kichwa kile kilikuwa cha nguvu na katili katika kuwamaliza Wajerumani, hivyo kwamba washabiki wengi wa Bayern walisikilizia maumivu yake vifuani mwao kilivyokuwa kikizifumania nyavu.<br />
Kwa wengine wetu, lile lisiloepukika lilikuwa limejiri. Ni nguvu ile ile ya Chelsea waliopambana kugeuza kipigo cha mabao 3-1 walichokuwa wamekandikwa na Napoli na kuhimili mapigo ya Barcelona nyumbani kwao Camp Nou hadi kufuzu kufika fainali na kustahili sherehe kuu.</p>
<p>Nani Kasema Kugangamala Hakulipi?</p>
<p>Chelsea waliendeleza aina ya uchezaji wa kulinda lango lao kwa kufagia kila aina ya hatari, bila kujielekeza sana kwenye mashambulizi, kama ilivyokuwa mbele ya Barca Stamford Bridge na baadaye Camp Nou.<br />
Alipojikunjua, hakuna aliyeweza kumzuia farasi aliyejiandaa vilivyo kwa mapambano katika vita hii, aitwaye Drogba.<br />
Maana ni raia huyu wa Ivory Coast ambaye amekuwa akisemwa ulikuwa mchezo wake wa mwisho na Chelsea, aliyewaliza Wajerumani kwa kuwanyang’anya tonge mdomoni muda wa kawaida na kupigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza lao kwa penalti yake.<br />
Hata hivyo, nyota yake ilififia na mwenyewe kusononeka alipomkwatua Frank Ribery wakati wa dakika 30 za nyongeza na kuwazawadia penalti<br />
Hapo wengi wakadhani hata zile sala zake za kila mara hazisaidii na ndoto za ushindi kuelekea kufa, kwani mungu wa michezo hawezi kuwa upande wa Chelsea daima.<br />
Mambo hayakuwa kama walivyofikiria wengi, mungu wa michezo alikuwa bado na Chelsea, kwa sababu Arjen Robben alipiga mkwaju dhaifu wa penati na golikipa wa Chelsea, Petr Cech akaufuata vyema na kuudaka.<br />
Hiyo ilikuwa moja ya nafasi nyingi walizopata Wajerumani kupata mabao ya wazi, ambazo kwa kadiri walivyozikosa, mabingwa hao mara nne wa Ulaya walianza kushuka, kutoka nafasi kubwa waliyokuwa wakipewa ya kutwaa kombe.<br />
Katika penalti, kila timu inapewa asilimia 50 ya uwezekano wa kupata au kukosa, na ilikuwa Chelsea iliyoanza kwa kunyong’onyea, pale mkwaju wa Juan Mata ulipopanguliwa na golikipa Manuel Neuer na Bayern kuanza kupanda.<br />
Philipp Lahm, Mario Gomez na Neuer mwenyewe hawakufanya makosa bali walikwamisha penalti zao wavuni, hivyo Chelsea wakawa wanazishika roho zao kwa hofu.<br />
Ndipo ikawa zamu ya shujaa Cech aliyeivusha Chelsea katika majaribu mengi kusimama langoni, na kwa mara nyingine akaokoa mkwaju wa Ivica Olic.<br />
Mkwaju mwingine muhimu ulikuwa wa Bastian Schweinsteiger ambao ulimtoroka Cech, lakini badala ya kutinga nyavuni ukaishia kugonga mwamba, ikiwaacha Wajerumani hawaamini macho yao.<br />
Ilibakia penalti moja kwa Chelsea kutwaa kombe au kuingia kwenye moja moja za ziada, na Drogba hakufanya hiyana, akawapa taji The Blues kwa kuikwamisha wavuni kiufundi na sherehe zikaanza Munich na London.<br />
Mwaka 2008 Drogba altolewa nje kwa kadi nyekundu kwenye fainali dhidi ya Manchester United jijini Moscow, Urusi, ambapo Chelsea ilitolewa kwa penalti. Miaka minne baadaye, ameweka historia kwa kuwa chachu ya ushindi wa timu yake katika usiku ambao Bayern hawatausahau.<br />
Ama kwa kocha wa muda wa Chelsea, Roberto Di Matteo, ushindi wa timu yake ni ushahidi wazi kwamba anastahili kukabidhiwa mikoba hiyo – kuwa kocha wa kudumu wa wababe hao wa Uingereza.<br />
Tangu alipoichukua timu kutoka kwa Kocha Mkuu Mreno Andre Villas-Boas mapema Machi mwaka huu, Di Matteo ameipatia Chelsea Kombe la FA na sasa taji la Ulaya.<br />
Kwa hakika, amekata kiu ya mmiliki wa klabu hiyo, Roman Abramovich, zawadi aliyokuwa akiiwaza na kuitamani siku zote tangu aichukue klabu hiyo – kuwa klabu bora Ulaya.<br />
Kwa upande wa kocha Jupp Heynckes wa Bayern Munich, amebaki akitafakari mwenendo wa mwisho wa timu yake, ambayo imeishia nafasi ya pili kwenye Ligi ya Ujerumani – Bundesliga na Ligi ya Mabingwa.<br />
Kwa klabu ya hadhi ya Bayern Munich, nafasi ya pili si ya kuridhisha sana. Iwe iwavyo, Wajerumani hao itabidi wajilaumu wenyewe kwa sababu kama ni nafasi, basi walikuwa nazo za kumwaga tangu dakika za mwanzo za mchezo.<br />
Gomez alitakiwa afunge walau mabao mawili, Robben alikosa penalti. Munich ilibadilika na mahali fulani ndani mwao palikuwa na woga; walichanganyikiwa na Chelsea walibaini hilo na kuutuia upungufu huo ipasavyo.<br />
Pengine kule kucheza katika uwanja wao wa nyumbani kuliwaongezea shinikizo ambalo hawakuhitaji? Labda uzito wa miaka 11 bila taji la Ulaya ulikuwa mkubwa mno kuhimili?<br />
Hayo ni yao, kwani washabiki wa Chelsea hawatajali kwa lolote lililowasibu wapinzani wao. Ulikuwa ni usiku wao, mafanikio yao na kuwabeza ni sawa na kujidai kutoona jitihada zote walizoonyesha msimu huu na mabonde na milima waliyovuka.<br />
Waliwagonga Barcelona na sasa wamewafyatua Bayern Munich nyumbani kwao Bavaria. Chelsea ndio mabingwa wa Ulaya na wanastahili.<br />
<a href="info@tanzaniasports.com">info@tanzaniasports.com</a></p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/lMNpnSCZ_-0" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-chachu-ya-chelsea-kutwaa-ubingwa-wa-ulaya/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/drogba-chachu-ya-chelsea-kutwaa-ubingwa-wa-ulaya</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>Ricardo Vaz Te fired West Ham into the Premier League</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/S6p3TWWPHkQ/ricardo-vaz-te-fired-west-ham-into-the-premier-league</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/ricardo-vaz-te-fired-west-ham-into-the-premier-league#comments</comments>
		<pubDate>Sat, 19 May 2012 16:21:27 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6721</guid>
		<description><![CDATA[Ricardo Vaz Te fired West Ham into the Premier League with a dramatic late winner against Blackpool in the Championship play-off final at Wembley. Carlton Cole gave the Hammers the lead following Matt Taylor&#8217;s threaded pass before Thomas Ince levelled just after the break with a sublime finish. Blackpool&#8217;s Alex Baptiste then had an effort [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Ricardo Vaz Te fired West Ham into the Premier League with a dramatic late winner against Blackpool in the Championship play-off final at Wembley.<br />
Carlton Cole gave the Hammers the lead following Matt Taylor&#8217;s threaded pass before Thomas Ince levelled just after the break with a sublime finish.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/ricardo-vaz-te-fired-west-ham-into-the-premier-league/attachment/vaz" rel="attachment wp-att-6724"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/Vaz.jpg" alt="" title="Vaz" width="464" height="261" class="aligncenter size-full wp-image-6724" /></a><br />
Blackpool&#8217;s Alex Baptiste then had an effort cleared off the line while West Ham&#8217;s Kevin Nolan rattled the bar.<br />
But Vaz Te&#8217;s finish from six yards secured promotion for the Londoners.</p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/S6p3TWWPHkQ" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/ricardo-vaz-te-fired-west-ham-into-the-premier-league/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/ricardo-vaz-te-fired-west-ham-into-the-premier-league</feedburner:origLink></item>
		<item>
		<title>FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA: Chelsea inavyoweza kuikung’uta Bayern</title>
		<link>http://feedproxy.google.com/~r/tanzaniasports1/~3/0Su8hen4Obk/fainali-ligi-ya-mabingwa-ulaya-chelsea-inavyoweza-kuikunguta-bayern</link>
		<comments>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/fainali-ligi-ya-mabingwa-ulaya-chelsea-inavyoweza-kuikunguta-bayern#comments</comments>
		<pubDate>Fri, 18 May 2012 23:31:35 +0000</pubDate>
		<dc:creator>tanzaniasports.com</dc:creator>
				<category><![CDATA[Featured]]></category>
		<category><![CDATA[Sports News]]></category>

		<guid isPermaLink="false">http://www.tanzaniasports.com/?p=6713</guid>
		<description><![CDATA[Siku zimekwisha, saa na sekunde nazo zinamalizika kupisha mtafutano kati ya Chelsea na Bayern Munich zinazosaka heshima ya Kombe la Ubingwa wa Ulaya. Jumamosi hii, nyasi za uwanja wa Allianz Arena zitawaka moto, huku jiji lote la Munich likitawaliwa na rangi nyeupe na nyekundu zinazotumiwa na timu mwenyeji. Hata hivyo, Chelsea wanaovaa rangi za bluu [...]]]></description>
			<content:encoded><![CDATA[<p>Siku zimekwisha, saa na sekunde nazo zinamalizika kupisha mtafutano kati ya Chelsea na Bayern Munich zinazosaka heshima ya Kombe la Ubingwa wa Ulaya.<br />
Jumamosi hii, nyasi za uwanja wa Allianz Arena zitawaka moto, huku jiji lote la Munich likitawaliwa na rangi nyeupe na nyekundu zinazotumiwa na timu mwenyeji.<br />
Hata hivyo, Chelsea wanaovaa rangi za bluu na nyeupe wanaweza kuwalowesha Bayern, kama walivyoishangaza dunia kwa kuwasukuma pembeni timu bora zaidi duniani, Barcelona.<br />
 Ndani ya kambi ya Bayern lakini, morali imeshuka kiasi, baada ya timu yao kujikuta ikiaibishwa kwenye fainali ya Kombe la Ujerumani.<br />
<a href="http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/fainali-ligi-ya-mabingwa-ulaya-chelsea-inavyoweza-kuikunguta-bayern/attachment/aa" rel="attachment wp-att-6714"><img src="http://www.tanzaniasports.com/wp-content/uploads/2012/05/AA-500x338.jpg" alt="" title="AA" width="450" height="304" class="aligncenter size-large wp-image-6714" /></a><br />
Vigogo hao walioingia fainali kwa kuwatoa Real Madrid kwenye nusu fainali, walipata kipigo kinachotatiza cha mabao 5-2 kutoka kwa Borussia Dortmund Jumamosi iliyopita.<br />
Rais wa Bayern Munich, Uli Hoeness alijaribu kuondoa wingu la huzuni kwa wachezaji wake na kutoa matumaini mapya kwa ajili ya mechi hii muhimu.<br />
“Pengine kuonyesha unyenyekevu si jambo baya sana kwa wakati huu,” Hoeness aliliambia gazeti la kila siku la Ujerumani, Sueddeutsche Zeitung.<br />
Morali ya wachezaji na timu kwa ujumla imeshuka hivyo kwamba vyombo vya habari vya Ujerumani haviipi tena Bayern nafasi kubwa ya kutwaa kombe hilo.<br />
Hali imebadilika na ilivyokuwa pale vijana hao wa Kocha Jupp Heynckes walipoishinda Real Madrid ya Jose Mourinho kwa penalti baada ya kutoshana nguvu kwenye muda wa kawaida.<br />
Pamoja na mwelekeo huo wa vyombo vya habari, ukweli ni kwamba Bayern Munich bado ni timu kubwa na inayotarajiwa kutoa upinzani mkali kwa Chelsea.<br />
Kwamba Bayern ni klabu kubwa na inayoogopewa si jambo lenye ubishani, kwani inajulikana zaidi kwa soka yake ya kitaalamu na yenye mafanikio zaidi nchini Ujerumani.<br />
Wana Bavaria hao wameshatwaa mataji 22 ya kitaifa na vikombe vingine 15, ikifikia kilele cha mafanikio yake chini ya uongozi wa Franz Beckenbauer enzi hizo.<br />
Jumamosi hii, Bayern wanaingia dimbani kutafuta heshima nyingine, kwani ni mara yao ya tisa kutinga fainali ya Kombe la Ulaya/Ligi ya Mabingwa, na wakishinda itakuwa mara ya tano kutwaa taji hilo.<br />
Real Madrid na AC Milan tu ndio wamefika fainali hii mara nyingi kuliko Bayern wanaocheza fainali hii nyumbani mbele ya washabiki wake, hivyo wana kila sababu za kuhakikisha kombe linabaki nyumbani.<br />
Udhaifu unaotarajiwa kwa Bayern katika mechi hii ni kwenye ulinzi wa kati, kwani Daniel Van Buyten ni majeruhi wakati David Alaba na Holger Badstuber wana kadi.<br />
Kiraka katika nafasi ya mkoba anatarajiwa kuwa mchezaji wa Ukraine, Anatoly Tymoshchuk ‘Tymo’ mwenye rekodi ya kutwaa Kombe la UEFA mwaka 2008 alipokuwa nahodha wa timu ya Zenit St Petersburg.<br />
Inawezekana Tymo akawa na kazi ya kumzuia mshambuliaji mkongwe wa The Blues, Didier Drogba aliyewaliza Barcelona katika dimba la Stamford Bridge kwa kuwafunga goli muhimu.<br />
Timu mbili hizi zilikutana kwenye robo fainali ya mashindano kama haya mwaka 2004-05, ambapo Chelsea walishinda kwa uwiano wa mabao 6-5. Mabao matano kati ya hayo sita yalifungwa na wachezaji ambao bado wanakipiga kwenye klabu hiyo ya London.<br />
Wakicheza kwa kumtumbukizia Drogba mipira mirefu, Chelsea walifanikiwa kuwa tishio mbele ya wenyeji wao wa sasa, kiasi kwamba Drogba mwenyewe alifunga mabao mawili.<br />
Hofu nyingine kwa Bayern safari hii ni bahati mbaya aliyo nayo Jerome Boateng ambaye ni sehemu muhimu ya ulinzi kukatika katika nyakati muhimu za mchezo.<br />
Kadhalika, mlinzi huyo wa zamani wa Manchester City hachukuliwi kuwa na uwezo kama wa Badstuber ambaye hatakuwa mchezoni.<br />
Diego Contento anatarajiwa kuchukua nafasi ya Alaba ya beki wa kushoto. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 ni mwepesi wa kubadilika kadiri ya mchezo unavyokwenda, japokuwa udhaifu unaweza kuibukia kwake pia.<br />
Beki wa kulia, Philipp Lahm, akitofautishwa naye, ni mzuri hivyo kwamba hata Kocha wa Chelsea, Roberto Di Matteo alimtaja kama watu wa kutupiwa macho, kwa uzito sawa na Franck Ribery, Arjen Robben na Mario Gomez.<br />
Nahodha wa Bayern na Ujerumani, Philipp Lahm amekuwa mchezaji muhimu katika mechi nyingi kiasi cha kufananishwa na mashine, kwa jinsi anavyohaha kuwalisha mipira washambuliaji wake, hasa Robben.<br />
Chelsea wanatakiwa kufanya kazi ya ziada kumpiga pini tangu dakika za mwanzo na kuhakikisha hawatambi uwanjani.<br />
Imekuwa kawaida yao kuwahisha krosi katika eneo la hatari, hivyo Chelsea watatakiwa kuhakikisha bughudha zote za aina hiyo hazikatizi nyuma ya mabeki wa kati wala kumfikia kipa wao, Petr Chech.<br />
Pamoja na kasi ambayo wamekuwa nayo, kukosekana kwa Luiz Gustavo anayetumikia adhabu kunatarajiwa kuiacha Bayern isiwe na kiungo wa kuaminika kwa vile Tymo atakuwa ameshahamia pembeni kuziba pengo jingine. Ni kweli kwamba kuna akina Toni Kroos na Bastian Schweinsteiger watakaocheza kwa pamoja, lakini huenda wasiweze kutoa ukabaji na utengenezaji nafasi kwa kiasi kinachotakiwa.<br />
Ni kwa sababu hiyo, Juan Mata wa Chelsea atatakiwa kuwa macho ili atumie kila upenyo unaojitokeza katika maeneo hayo kuifaidisha timu yake.<br />
Thomas Mueller atakayecheza nafasi ya Gustavo anajulikana zaidi katika mashambulizi kuliko kwenye kiungo.<br />
Kwa msingi huo, Bayern huenda ikawa nzuri zaidi mbele kuliko katika kiungo, ambako Chelsea wanapewa nafasi kubwa zaidi ya kutawala.<br />
Chelsea hawatakiwi kufurahia mno uimara wao kwenye kiungo, bali wanatakiwa kuwa waangalifu pia kwa sababu Robben na Ribery wanaweza kuwasababishia matatizo makubwa.<br />
Hali hiyo itatokea iwapo mabeki wa Chelsea hawatapata usaidizi kutoka kwa viungo. Jose Bosingwa, beki mtarajiwa wa kulia, anaweza kuwa mwathirika wa hali hiyo.<br />
Mkakati muhimu unaweza ‘kujaza’ watu kwenye sehemu watakazokuwapo Robben, Lahm, Mueller na Ribery, kuwanyima kupumua na pia The Blues wakafanya mashambulizi kutoka upande huo huo.<br />
Chelsea wanatakiwa kujijenga hivyo tangu mwanzo kuhakikisha inawakaba vilivyo wachezaji hao wenye mbio, hata kama mwanzo wataonekana kana kwamba hawaendi popote.<br />
Mario Gomez anaweza kuwa muuaji katika mechi hii kutokana na mtindo anaoutumia katika uchezaji wake.<br />
Ni mchezaji mwenye magoli 41 katika mashindano yote, 12 kati ya hayo kwenye Ligi ya Mabingwa, kwa hiyo ni mtu mwenye ufunguo muhimu.<br />
Mjerumani huyo ni mshambuliaji mwenye kipaji, anayejua kunusa na asiyeachia nafasi inayojitokeza hata katika mazingira magumu kabisa. Hutokea wakati mwafaka kwa timu yake na mara nyingi huizawadia.<br />
Kiufundi hachukuliwi kuwa mchezaji bora sana katika mazingira ya kawaida, lakini kinachompandisha chati ni kwamba hufunga ni kila kiungo cha mwili wake kinachoruhusiwa kufanya hivyo, karibu kama alivyowahi kufanya  Gerd Mueller.<br />
Kwa mtu wa umbo lake, hana nguvu nyingi na huwa hapendi kucheza dhidi ya mabeki imara wa kati na mara nyingi hajishughulishi sana kama ambavyo angepaswa.<br />
Chelsea wakifanikiwa kumnyamazisha, wanaweza kuwa na nafasi nzuri ya kuchukua kombe hilo, kwani Bayern wana nafasi finyu kwa kuangalia mbadala ulio kwenye benchi lao.<br />
Msingi wa mchezo wa Bayern huwa ni katika kumiliki mpira, lakini kwa vile Mueller anapocheza pembeni umiliki wao wa mpira hauwi mzuri.<br />
Kwa hali hiyo Chelsea watatakiwa kujizatiti kwa kutumia mipira mirefu, kuwahadaa viungo wa Bayern na kujaribu kufunga.<br />
Hata hivyo, uzoefu walioupata Bayern kwenye fainali ya Kombe la Uerumani kwa kuchabangwa mabao 5-2 na Borussia Dortmund ni utawasaidia. Vijana hao wa kocha Jupp Heynckes watachukua hadhari kwa vile hawatakuwa na kungo wa uhakika.<br />
Kwa uhakika wa kuzuia mabao dhidi yao, Chelsea wanatakiwa kutibua ushirikiano wa Robben na Ribery kwenye winga, huku wakiziba mianya ya Mueller kupata mipira, kwani ndiye humlisha Gomez mara kwa mara.<br />
Bao la kwanza kwenye mechi ni muhimu sana, lakini sasa Bayern wanalihitaji zaidi ya timu nyingine. Katika msimu mzima, ni mara moja tu walishinda mechi walizoanza kufungwa bao, ukiondoa ushindi wake dhidi ya Real Madrid uliopatikana kwa penalti.<br />
Mara nyingi Bayern wakishatangulia kufungwa, Robben na Ribery hukosa uvumilivu hivyo kucheza hovyo na wakati mwingine kwa hasira na Gomez hubadilika na kuweza kuiumiza timu, hasa mpira unapoelekea kumkataa.<br />
Hata hivyo, wachezaji wa Bayern wametupilia mbali nadharia kwamba kwa vile wanacheza nyumbani, basi patakuwapo shinikizo kubwa upande wao, lakini ukweli ni kwamba sehemu kubwa ya washabiki wake wataishiwa nguvu ikiwa Chelsea wataonyesha uimara mchezoni.<br />
Ipo pia hatari ya mgawanyiko wa chini chini ulio miongoni mwa Bayern ukajitokeza waziwazi. Kwa kadiri Chelsea watakavyoweza kuwabana na matokeo kubaki walau suluhu au sare, ndivyo Bayern watakavyoathirika kwa njia hasi.<br />
Hizo ndizo njia zinazoweza kutumiwa na Chelsea kama watataka kuwakata maini wababe hao wa Bavaria ambao chini ya uongozi wa Beckenbauer walitwaa Kombe la Ulaya kwa miaka mitatu mfululizo kuanzia mwaka 1974.<br />
Upepo unaweza ukaelekea kwingine lakini, hasa ikizingatiwa kwamba Bayern katika miaka ya karibuni imedhihirisha ubora wake kuliko timu nyingine za Ujerumani, ikitwaa ubingwa wa Bundesliga mara sita katika misimu 10 iliyopita.<br />
Taji lake la mwisho katika ngazi ya kimataifa ni Kombe la Mabara ililotwaa mwaka 2001, mwaka ambao pia walitwaa Kombe la Ulaya kwa mara ya nne. Bayern ni klabu inayoendeshwa kwa msingi wa kuwa na wanachama na washabiki wanaosajiliwa rasmi.<br />
<a href="info@tanzaniasports.com">info@tanzaniasports.com</a></p>
<img src="http://feeds.feedburner.com/~r/tanzaniasports1/~4/0Su8hen4Obk" height="1" width="1"/>]]></content:encoded>
			<wfw:commentRss>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/fainali-ligi-ya-mabingwa-ulaya-chelsea-inavyoweza-kuikunguta-bayern/feed</wfw:commentRss>
		<slash:comments>0</slash:comments>
		<feedburner:origLink>http://www.tanzaniasports.com/general-sports-news/fainali-ligi-ya-mabingwa-ulaya-chelsea-inavyoweza-kuikunguta-bayern</feedburner:origLink></item>
	</channel>
</rss>

